Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Labda wanakua washatumiana picha mi sijui huwa inakuaje kuaje hataHivi ni kweli Watu wanadate mpk kufikia kufanyana? Vipi mkionana afu Hana vigezo inakuaje?[emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda wanakua washatumiana picha mi sijui huwa inakuaje kuaje hataHivi ni kweli Watu wanadate mpk kufikia kufanyana? Vipi mkionana afu Hana vigezo inakuaje?[emoji848]
Sawasijatongozwa nimetongoza.
Mkuu usitafute balaa sio huyo😬Bila shaka
Unamwongelea yule Mwenye ua wake[emoji850]View attachment 2481007
Kumbe muoga hivo,nilitaka kumtagMkuu usitafute balaa sio huyo[emoji51]
😬😁😁😁Shida ya kudate humu ni moja tu, yani kutangazwa ni sekunde kuna siku kinembe/ kibolo cha mtu kinageuka topic....inataka moyo sana
Nyie wadada mtakua na experience,Labda wanakua washatumiana picha mi sijui huwa inakuaje kuaje hata
We mtag ila upambane nae kama ndio huyo una maanisha mimi simooo🤷🏼♀️😁😁Kumbe muoga hivo,nilitaka kumtagView attachment 2481034
Ha ha ha ...Si ni bora hiyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna ile umemkimbia mtu na ID yake A
Akakujia na ID B halafu unaenda kukutana nae unakuta ni same person
Jamani kuna watu hawakimbiliki [emoji23][emoji23][emoji23]
Too many options/altermstives. Not a prophesyEither anakupenda kweli umemvutia kwa mara nyingine, au ni kitombi anatongoza tu kila mtu
Kutongozwa sio shida shida ni mtu mmoja kutongoza jukwaa zima 🤣🤣🤣🤣 swali la "umejuaje' naomba ulielekeze kwa HornetNyie wadada mtakua na experience,
Baada ya kupitia comment nmegundua kumbe wadada wa humu mnatongozwa sn uko pm[emoji4]
Nyie huyo mtu mnaye msengenya akija kwenye huu uzi mtaukimbia [emoji51][emoji16][emoji16][emoji16]
Dah 🤣😂😂Shida ya kudate humu ni moja tu, yani kutangazwa ni sekunde kuna siku kinembe/ kibolo cha mtu kinageuka topic....inataka moyo sana
Wenzako wanajilipuaga hivyo hivyoSijui kwann,
Sijawahi kua iman na I'd yoyote mpya,
Hasa ile inayonifata pm kwa Jambo lolote lile
Yupo hapa kwa id yake nyingine anangoja mtu amtaje kwa ufasaha atajutaa yeye na kundi lake😬😬😁😁😁Mi nshaleft nimekaa juu ya jiwe nawaangalia tu[emoji23][emoji23]
Weeee 😂Yupo hapa kwa id yake nyingine anangoja mtu amtaje kwa ufasaha atajutaa yeye na kundi lake😬😬😁😁😁
Endelea kucheka si mnachokoza balaa🤣🤣Weeee 😂
😂😂😂😂 bwanaEndelea kucheka si mnachokoza balaa🤣🤣