Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,553
ItajeKuna Id humu imetongoza jf nzima kama haujatongozwa nayo jipige kifuani useme mimi ni mwamba....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ItajeKuna Id humu imetongoza jf nzima kama haujatongozwa nayo jipige kifuani useme mimi ni mwamba....
Huyo dogo kuna kitu kamiss aseme tu😁Ah unataka kujisogezea au
Nianze kutafuta mshono 😛
Me namsaidia kaka angu kumpigia debe ukishaingia lain anamalizia tuuAh unataka kujisogezea au
Nianze kutafuta mshono 😛
Msichokoze mambo huyo huwa hakopeshi mtaukimbia uzi😅😅Fungua code vizuri basi wengine tubelight
😂😂😂😂me nakutafutia bana nakuona ulivyo mpweke na me sipendi kaka jamanUsiniletee uphaller nani alikwambia natafuta? Ntakufinya dogo😁
Kama umeniona mpweke mbona hujaja?😂😂😂😂me nakutafutia bana nakuona ulivyo mpweke na me sipendi kaka jaman
Sawa nduguOooh okay tupo pamoja
Nshawahi kuwa nazo mbili moja ya kike nyingine ya Kiume [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila yakanishinda
Ushasema ninyamaze nishanyamaza mieKama umeniona mpweke mbona hujaja?
Asante kwa utii barikiwaUshasema ninyamaze nishanyamaza mie
Asante kwa kutiiNimenyamaza kaka nisamehe mie😪
Katika vitu vimenishinda ni kumiliki laini ya simu zaidi ya 1 na id mbili, najiona najulikana I can't act kuwa mtu mwingine halafu naogopa aibu ya id kuunganishwaInaonyesha una ma id kibao🤣
Kwani tatizo lipo wapi cha maingi hatujavunja sheria za nchiNdo utongoze kila mtu
Mweusi ee 😎🥱Nishamuona na ID A nikachomoka
Karudi na ID B
Same person different ID
Hahahhahaha Hornet hebu niache kidogo hadi nimepaliwaTukianza na Yule Dakitari [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie ntakuja kusutwa