Hivi ungejaaliwa kuipata blioni moja ungeitumiaje?.

Hivi ungejaaliwa kuipata blioni moja ungeitumiaje?.

Nimejikuta wivu umenishika utafikili umezipata kweli hizo pesa hebu fikilia unaanzaje kutoa milion100 fungu lakumi kanisani? daah boraa tu iishie kua ni stori tu kua tunaongea hayawez kutokea maana nimestuka
Hahahahaa. Tunajifariji tu na hizo namba. Ila Mimi hela ambayo sijaitolea jasho kuitoa hata nusu yake sioni hasara. Ningetoa 100M kwa roho moja ikasaidie kueneza neno
 
Kiukweli pesa hiyo ningeipata msingekua mnaniona humu jf mngekua mnaniona kwenye yale majarida ya kimarekani ambayo yanatangazaga habari za wasanii na watu wakubwa wakubwa
 
Kiukweli pesa hiyo ningeipata msingekua mnaniona humu jf mngekua mnaniona kwenye yale majarida ya kimarekani ambayo yanatangazaga habari za wasanii na watu wakubwa wakubwa
Hahahahaaa. Tungekua tunakuona ukiwa unafanya nini?
 
Kwa kweli mimi ningeiga mfumo wa china!! Sababu serikali inapenda mikopo basi ningeikopesha, alafu bondi nataka waweke rehani uwanja wa chato ili wakishindwa kulipa ni upige mnada!!
Hahahaaa! duh..
 
I was going to build biiiiiiig houses for homeless.

I was going to build more mental hospitals sababu currently they are few,

ninge support wakulima wa nchi hii,sababu watanzania hasa vijijini wengi ni wakulima,

ningejenga maktaba(library) nyingi,watanzania wengi wasome wawe knowledgeable hasa wale ambao hawakupata formal education,

YA MWISHO NINGEIPINDUA SERIKALI YA CCM,IPO HAPO KWA SABABU ZA KIDHALIMU,HASA NA MIMI NIKIWA NA MADORALI YA KUTOSHA NITAINUNUA NCHI(kweli hizi ni ndoto,billioni moja sidhani kama nitafikisha million kumi in my entire life lols 🙄🙄🙄🙄
Sawa da mkubwa, lakini hiyo ya mwisho ni hatari kwa afya yako, dont try at home.
 
Back
Top Bottom