Hivi Uongozi Wa Taji Media, Hua Unasikiliza Kipindi Chao Cha Michezo Cha Asubuhi...???

Hivi Uongozi Wa Taji Media, Hua Unasikiliza Kipindi Chao Cha Michezo Cha Asubuhi...???

Dialogist

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2014
Posts
1,167
Reaction score
1,872
Wakuu Habarini...

Wakati Hii Redio Inakuja, Ilianza Kwa Kishindo Sana Na Wengi Tukafurahi Kwamba Sasa Tunapata Uwanda Mpana Wa Kupata Habari Toka Vyanzo Na Redio Mbalimbali.

Ila Kuna Mbinu Ambayo Waliitumia Kwa Kushawishi Na Kuiba Wafanyakazi Wenye Uzoefu Toka Redio Zingine. Ni swala zuri lakini Kati ya Mistake Kubwa Waliyofanya Ni Kuwachukua Baadhi Ya Watangazaji Ambao Walikua iiFM Akiwemo Huyo Anaitwa Jembedari Ambae Alisababisha Tuache Kusikiliza Ile Redio. Sababu Ya Kutokua Mchambuzi Sahihi Wa Mpira Bali Mnazi Wa Timu Moja.

Hayo Hayo Aliyoyafanya iiFM ndio Hayo Hayo Anayaleta TajiFM... Ukisikiliza Hiki Kipindi Jembedari Hua Sio Muongeaji Sana, Hapewi Airtime kama Anayopewa Po Mkali au Kamanda Jofi AnaLea, Lakini Inapokua Mada Ya Kuhusu Kuiponda Yanga, Kipindi Chote Ataongea Jemedari. Yaani Yote Maovu Na Hata Yasiyo Maovu Msemaji Ni Jembedari. Hata Maisha Binafsi Ya Wachezaji Wa Yanga Na Rais Wake, Bado Msemaji Ni Jemedari...

Huyu Jamaa Ni muuaji Wa Vipindi Vya Michezo Redioni.. Sasa Tunahamia Rasmi BONGO FM, 90.0 Mhz Kuanzia Asubuhi Saa Moja. Baada Ya Hapo Tunaenda Kazini.
 
SHIDA YA WATANZANIA WANATAKA KUAMBIWA MAZURI TU JUU YA KITU ANACHOKIPENDA

HATUPENDI KUAMBIWA UKWELI

KAMA KUNA JAMBO LOLOTE LA UONGO ANALOSEMA HUYO BWANA SHERIA ZIPO
 
Wakuu Habarini...

Wakati Hii Redio Inakuja, Ilianza Kwa Kishindo Sana Na Wengi Tukafurahi Kwamba Sasa Tunapata Uwanda Mpana Wa Kupata Habari Toka Vyanzo Na Redio Mbalimbali.

Ila Kuna Mbinu Ambayo Waliitumia Kwa Kushawishi Na Kuiba Wafanyakazi Wenye Uzoefu Toka Redio Zingine. Ni swala zuri lakini Kati ya Mistake Kubwa Waliyofanya Ni Kuwachukua Baadhi Ya Watangazaji Ambao Walikua iiFM Akiwemo Huyo Anaitwa Jembedari Ambae Alisababisha Tuache Kusikiliza Ile Redio. Sababu Ya Kutokua Mchambuzi Sahihi Wa Mpira Bali Mnazi Wa Timu Moja.

Hayo Hayo Aliyoyafanya iiFM ndio Hayo Hayo Anayaleta TajiFM... Ukisikiliza Hiki Kipindi Jembedari Hua Sio Muongeaji Sana, Hapewi Airtime kama Anayopewa Po Mkali au Kamanda Jofi AnaLea, Lakini Inapokua Mada Ya Kuhusu Kuiponda Yanga, Kipindi Chote Ataongea Jemedari. Yaani Yote Maovu Na Hata Yasiyo Maovu Msemaji Ni Jembedari. Hata Maisha Binafsi Ya Wachezaji Wa Yanga Na Rais Wake, Bado Msemaji Ni Jemedari...

Huyu Jamaa Ni muuaji Wa Vipindi Vya Michezo Redioni.. Sasa Tunahamia Rasmi BONGO FM, 90.0 Mhz Kuanzia Asubuhi Saa Moja. Baada Ya Hapo Tunaenda Kazini.
Jentamisini
 
SHIDA YA WATANZANIA WANATAKA KUAMBIWA MAZURI TU JUU YA KITU ANACHOKIPENDA

HATUPENDI KUAMBIWA UKWELI

KAMA KUNA JAMBO LOLOTE LA UONGO ANALOSEMA HUYO BWANA SHERIA ZIPO
Inawezekana hujanielewa Mkuu... Sidhani kwa Tanzania kwamba ni timu moja tu ndio ina mabaya... unless otherwise kuna unazi wa upande mmoja.. Yaani huyu Jembedari huwezi msikia akizungumzia makosa hayo Hayo au ya namna hiyo yanayofanywa na timu yake Pendwa. Tena Inawezekana hata asiwepo katika studio... Itakua huwafuatilii vyema..
 
Taji media kwa maana ya crown media au yule mtangazaji master T?
 
iiFM =EFM
Taji = Crown FM
Kulikuwa na haja gani kuweka hivyo. Au Utoto?
 
iiFM =EFM
Taji = Crown FM
Kulikuwa na haja gani kuweka hivyo. Au Utoto?
Mkuu ukikua utajua kwanini nimeandika nilivyoandika... Na utagundua kwanini Pascal Mayala pamoja na kua na miaka 50+ bado namba moja wa huku anamuita Dada na Namba moja wa kule anamuita Kaka.
 
Huna sababu za msingi. This is JF
Mkuu narudia vyema, pamoja na kua platinum member na senior journalist na kua na miaka 50+ bado Pascal Mayala anamuita namba moja wa huku kama Dada na wa Kule kama Kaka...

How old are you??
 
Fisiem ndio wanapenda story hz kwa vijana w Tanganyika.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Back
Top Bottom