Uchaguzi 2020 Hivi upinzani ukichukua nchi Vyombo vya Habari na Wasanii wa Tanzania watakimbizia wapi nyuso zao?

Uchaguzi 2020 Hivi upinzani ukichukua nchi Vyombo vya Habari na Wasanii wa Tanzania watakimbizia wapi nyuso zao?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Sasa imekuwa rasmi wasanii hasa wanamuziki na tasnia karibu zote nchini wanamuunga mkono Rais. Hii sio dhambi, lakini pale msanii anapoimba nyimbo kupondea upinzani kana kwamba upinzani umeletwa nchini na shetani inashangaza sana.

Vyombo vya Habari munadhani CCM itatawala milele? Kwa bahati nzuri nina certificate ya Journalism, sifa kuu za mwanahabari kuripoti habari bila kuegemea upande fulani. Sasa sijui nyie waandishi wenye bachelor na kuendelea mmesoma zaidi na kukutana na sifa za ziada za mwanahabari.

Mimi siko kwenye tasnia ya habari and am forgot about Journalism, lakini kwenye nafasi yangu ninayofanyia kazi siyumbishwi na sitayumbushwa kirahisi .

Ikiwa upinzani utachukua nchi mtakimbilia wapi nyie wafia tumbo? Je, kwakuwa wasanii ni kioo cha jamii hivyo wanaonyesha yale aliyoyasema Waziri mmoja huko Ng'ambo kuwa Waafrika hawawezi kuona mbali?

Yawezekana ni kweli macho yao hayaoni miaka hata 7 mbele, wanajua wataishi watamwacha Magufuli anaendelea kuitawala Tanzania.
 
Kwa jinsi Watanzania tulivyo wanafiki? Wala hakuna cha kuficha nyuso wala nini ndo utaona ni kiasi gani tunajua kubadilika kufuata upepo

Wote watakua upande huo huo wa washindi

Bongo nyoso bongo maslahi tu😄😄
 
Upinzani unajua vyombo vya habari vimeminywa,Cso sio big deal
 
Upinzani ukichukua nchi kuipeleka wapi? je, endapo huo upinzani unaousema ukichukua nchi sisi tutaishi nchi ya wapi? au tutakua humohumo walimotuchukuliana?

Au ndio utakua mwisho wa dunia?
Au tutakufa?

Dah inasikitisha sana
 
Sasa imekuwa rasmi wasanii hasa wanamuziki na tasnia karibu zote nchini wanamuunga mkono Rais. Hii sio dhambi, lakini pale msanii anapoimba nyimbo kupondea upinzani kana kwamba upinzani umeletwa nchini na shetani inashangaza sana...
Itabidi wajifiche chooni.
 
Sasa imekuwa rasmi wasanii hasa wanamuziki na tasnia karibu zote nchini wanamuunga mkono Rais . Hii sio dhambi, lakini pale msanii anapoimba nyimbo kupondea upinzani kana kwamba upinzani umeletwa nchini na shetani inashangaza sana...
Soma la civics uraia liondolewa mashuleni maana wanao support CCM na wasanii hawajui maanaa Democracy na pillars zake hawajui hata ways za ku improve democracy
 
Sasa imekuwa rasmi wasanii hasa wanamuziki na tasnia karibu zote nchini wanamuunga mkono Rais. Hii sio dhambi, lakini pale msanii anapoimba nyimbo kupondea upinzani kana kwamba upinzani umeletwa nchini na shetani inashangaza sana...
Among of the important way of improving democracy is thorough inceasing role opposition parties lakini Tanzani tunakuwa na viongozi ambao hata civics hawakuisoma vizuri
 
Sasa imekuwa rasmi wasanii hasa wanamuziki na tasnia karibu zote nchini wanamuunga mkono Rais. Hii sio dhambi, lakini pale msanii anapoimba nyimbo kupondea upinzani kana kwamba upinzani umeletwa nchini na shetani inashangaza sana...
wichukue nchi waipeleke wapi??
 
Sasa imekuwa rasmi wasanii hasa wanamuziki na tasnia karibu zote nchini wanamuunga mkono Rais. Hii sio dhambi, lakini pale msanii anapoimba nyimbo kupondea upinzani kana kwamba upinzani umeletwa nchini na shetani inashangaza sana...
Swali la kijinga kidogo.
Pengineungeuliza, kama wapinzani wakichukua nchi, Polisi, Jwtz, Magereza wataenda wapi?
Wote hawataenda popote na hiyo ndio gharama ya demokrasia, kila mtu atawaimba wapinzani, ngoja tu kushinda kama mtaweza.
 
Kitu kisichotakiwa ndicho upendwa sana na watu mfano bangi, kitimoto, makahaba unapoficha sana kitu ndio kwanza watu wanakuwa na shauku ya kukitafuta hivyo hivyo kwa upinzani.

Itafika Wakati watu wataacha kabisa kufatilia media uchwara za bongo wakijitambua sisi ambao tulishajitambua home ni DSTv na tukitaka news ni Jf & social media.

ITV ilizikwa miaka ya 2015 ndio ilikuwa media now ni takataka tu kumtumikia dicteta uchwara.
 
upinzani ukichukua nchi kuipeleka wapi? je, endapo huo upinzani unaousema ukichukua nchi sisi tutaishi nchi ya wapi? au tutakua humohumo walimotuchukuliana?

au ndio utakua mwisho wa dunia?
au tutakufa?

dah inasikitisha sana
Kwani wengine tunaishi wapi .....!? Wote ni Watanzania na tutaendea kubanana humu humu hata as long as the world exist.
 
Sasa imekuwa rasmi wasanii hasa wanamuziki na tasnia karibu zote nchini wanamuunga mkono Rais. Hii sio dhambi, lakini pale msanii anapoimba nyimbo kupondea upinzani kana kwamba upinzani umeletwa nchini na shetani inashangaza sana...
Bongo taifa la wajinga babuuu hapo Kila kitu kitabadili gia
 
Wataendelea kama sasa.. na uhuru walionao.. ni vizuri wengi wakajiongeza.. kwenye kazi zao.. kiujuzi na masomo..
 
Yaani wewe acha tu mkuu Yaani naona kabisa kwamba endapo ikitikea hivyo kuna makampuni na taasisi nyingi yata angamia
 
CCM inapochukua nchi wapinzani nyuso zao huzipeleka wapi? Usiwe na majibu ya wamezoea.

Waandishi wa habari na wasanii wamejikomboa kwa kujua ukweli wa ulaghai wa wanasiasa wa upinzani Tanzania.
 
Back
Top Bottom