PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,181
- 20,148
Kwani vipi mkuu!
Kwasababu mimi na jamaa zangu tunatumia hizi simu kwa mawasiliano, sio mtu anakuja tu nyumbani kwangu kama mwaka 1979.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani vipi mkuu!
Sawa classmateOna sasa unavyo foka....
Tulisha kubaliana, msianzishe nyuzi kama upo Bar mazeeee.....😜
Never!Ukitaka kumpata mke wa mtu kirahisi wewe wapende tu watoto wake, vijipipi vya hapa na pale, anko anko, mwisho wa siku inazamishwa shwaaa. Kaa macho mkuu piga marufuku.
"Huyo mtoto kakiacha sehemu si salama kikaibiwa!". Kama kiliibiwa shida iko wapi! Ampe hicho kitu chake kilichobaki.Kuna jamaa mmoja mtaani tukajenga mazoea! Mara hayo mazoea kayapeleka kwa mtoto wangu kiasi cha kumuachia kitu cha thamani ya kwamba atakipitia. Huyo mtoto kakiacha sehemu si salama kikaibiwa! Japo jamaa kaonyesha kutomind, lakini kwa uthamani wa hicho kitu nathani sijui itakuwaje! Sasa nikajiuliza! Urafiki ni kati yangu na wewe! Imekuwaje unamwachia mtoto wakati ulipokuja uliambiwa sipo? Kwanini hukuondoka zako wakati mimi mwenyenyumba sipo? Ujasiri wa kumuachia mtoto ili hali hatuna mazoea ya muda mrefu kati yetu na familia zetu umeutoa wapi? Ama nasema uongo wana jamvi?
We Mtanzania, haya maneno ulimwambia muhusika ama unamuogopa? Huyo mwanao ana umri gani mpaka kuja kusahau kitu cha thamani hivyo? Inawezekana jamaa ana malengo mabaya kwani si kawaida mtu mwenye akili timamu kufanya haya kwa mtoto, usikute jamaa anamjengea mazingira ya uaminifu ili hapo baadaye aje kula tunda kimasihara. Chunga sana urafiki wa namna hii.Kuna jamaa mmoja mtaani tukajenga mazoea! Mara hayo mazoea kayapeleka kwa mtoto wangu kiasi cha kumuachia kitu cha thamani ya kwamba atakipitia. Huyo mtoto kakiacha sehemu si salama kikaibiwa! Japo jamaa kaonyesha kutomind, lakini kwa uthamani wa hicho kitu nathani sijui itakuwaje! Sasa nikajiuliza! Urafiki ni kati yangu na wewe! Imekuwaje unamwachia mtoto wakati ulipokuja uliambiwa sipo? Kwanini hukuondoka zako wakati mimi mwenyenyumba sipo? Ujasiri wa kumuachia mtoto ili hali hatuna mazoea ya muda mrefu kati yetu na familia zetu umeutoa wapi? Ama nasema uongo wana jamvi?
Kitu gani ampe? Kwanini amwachie mtoto wakati kaja kauliza baba yuko wapi kamwambia hayupo? Kwanini akuondoka?"Huyo mtoto kakiacha sehemu si salama kikaibiwa!". Kama kiliibiwa shida iko wapi! Ampe hicho kitu chake kilichobaki.
Badalisha heading huo sio urafiki bali tafuta neno lingine maana maelezo yako yanaonyesha hamna mazoea ya muda mrefu (how come awe rafiki yako maana rafiki ni neno la thamani sana)Kuna jamaa mmoja mtaani tukajenga mazoea! Mara hayo mazoea kayapeleka kwa mtoto wangu kiasi cha kumuachia kitu cha thamani ya kwamba atakipitia. Huyo mtoto kakiacha sehemu si salama kikaibiwa! Japo jamaa kaonyesha kutomind, lakini kwa uthamani wa hicho kitu nathani sijui itakuwaje! Sasa nikajiuliza! Urafiki ni kati yangu na wewe! Imekuwaje unamwachia mtoto wakati ulipokuja uliambiwa sipo? Kwanini hukuondoka zako wakati mimi mwenyenyumba sipo? Ujasiri wa kumuachia mtoto ili hali hatuna mazoea ya muda mrefu kati yetu na familia zetu umeutoa wapi? Ama nasema uongo wana jamvi?
Nyumbani kwako alipajuaje mpaka kuingia ndani? Ulimkaribisha? Mimi kwenye mambo ya urafiki niko very strict, katika maisha yangu nina marafiki, ambao kwa sasa ni family friends, 2 . Hao tumetoka mbali sanaa tokea chuo, kazini and many others. Hawa ni zaidi ya ndugu, lakini the rest sitaki mazoea.Mimi hapo nimeishampa red card!
Sio shemeji tu,sasa hivi usimwamini mtu yeyote.Basi jamaa atakuwa anamlia timing shemeji yetu
Unataka msaada wa mawazo alafu mambo unayaficha ficha, sasa kuna maani gani ya wewe kuomba msaada wakitu ambacho huwezi ukaeleza kwauwazi mtu ajue anakusaidia vipiKuna jamaa mmoja mtaani tukajenga mazoea! Mara hayo mazoea kayapeleka kwa mtoto wangu kiasi cha kumuachia kitu cha thamani ya kwamba atakipitia. Huyo mtoto kakiacha sehemu si salama kikaibiwa! Japo jamaa kaonyesha kutomind, lakini kwa uthamani wa hicho kitu nathani sijui itakuwaje! Sasa nikajiuliza! Urafiki ni kati yangu na wewe! Imekuwaje unamwachia mtoto wakati ulipokuja uliambiwa sipo? Kwanini hukuondoka zako wakati mimi mwenyenyumba sipo? Ujasiri wa kumuachia mtoto ili hali hatuna mazoea ya muda mrefu kati yetu na familia zetu umeutoa wapi? Ama nasema uongo wana jamvi?
Kile kitu alichokabidhiwa hakijaibwa ila kimeibiwa kiambatanishi chake.Kitu gani ampe? Kwanini amwachie mtoto wakati kaja kauliza baba yuko wapi kamwambia hayupo? Kwanini akuondoka?