Hivi urafiki wangu na wewe, unaletaje mazoea kwa wanangu?

Hivi urafiki wangu na wewe, unaletaje mazoea kwa wanangu?

Kuna jamaa mmoja mtaani tukajenga mazoea! Mara hayo mazoea kayapeleka kwa mtoto wangu kiasi cha kumuachia kitu cha thamani ya kwamba atakipitia. Huyo mtoto kakiacha sehemu si salama kikaibiwa! Japo jamaa kaonyesha kutomind, lakini kwa uthamani wa hicho kitu nathani sijui itakuwaje! Sasa nikajiuliza! Urafiki ni kati yangu na wewe! Imekuwaje unamwachia mtoto wakati ulipokuja uliambiwa sipo? Kwanini hukuondoka zako wakati mimi mwenyenyumba sipo? Ujasiri wa kumuachia mtoto ili hali hatuna mazoea ya muda mrefu kati yetu na familia zetu umeutoa wapi? Ama nasema uongo wana jamvi?
"Huyo mtoto kakiacha sehemu si salama kikaibiwa!". Kama kiliibiwa shida iko wapi! Ampe hicho kitu chake kilichobaki.
 
Kuna jamaa mmoja mtaani tukajenga mazoea! Mara hayo mazoea kayapeleka kwa mtoto wangu kiasi cha kumuachia kitu cha thamani ya kwamba atakipitia. Huyo mtoto kakiacha sehemu si salama kikaibiwa! Japo jamaa kaonyesha kutomind, lakini kwa uthamani wa hicho kitu nathani sijui itakuwaje! Sasa nikajiuliza! Urafiki ni kati yangu na wewe! Imekuwaje unamwachia mtoto wakati ulipokuja uliambiwa sipo? Kwanini hukuondoka zako wakati mimi mwenyenyumba sipo? Ujasiri wa kumuachia mtoto ili hali hatuna mazoea ya muda mrefu kati yetu na familia zetu umeutoa wapi? Ama nasema uongo wana jamvi?
We Mtanzania, haya maneno ulimwambia muhusika ama unamuogopa? Huyo mwanao ana umri gani mpaka kuja kusahau kitu cha thamani hivyo? Inawezekana jamaa ana malengo mabaya kwani si kawaida mtu mwenye akili timamu kufanya haya kwa mtoto, usikute jamaa anamjengea mazingira ya uaminifu ili hapo baadaye aje kula tunda kimasihara. Chunga sana urafiki wa namna hii.
 
"Huyo mtoto kakiacha sehemu si salama kikaibiwa!". Kama kiliibiwa shida iko wapi! Ampe hicho kitu chake kilichobaki.
Kitu gani ampe? Kwanini amwachie mtoto wakati kaja kauliza baba yuko wapi kamwambia hayupo? Kwanini akuondoka?
 
Kuna jamaa mmoja mtaani tukajenga mazoea! Mara hayo mazoea kayapeleka kwa mtoto wangu kiasi cha kumuachia kitu cha thamani ya kwamba atakipitia. Huyo mtoto kakiacha sehemu si salama kikaibiwa! Japo jamaa kaonyesha kutomind, lakini kwa uthamani wa hicho kitu nathani sijui itakuwaje! Sasa nikajiuliza! Urafiki ni kati yangu na wewe! Imekuwaje unamwachia mtoto wakati ulipokuja uliambiwa sipo? Kwanini hukuondoka zako wakati mimi mwenyenyumba sipo? Ujasiri wa kumuachia mtoto ili hali hatuna mazoea ya muda mrefu kati yetu na familia zetu umeutoa wapi? Ama nasema uongo wana jamvi?
Badalisha heading huo sio urafiki bali tafuta neno lingine maana maelezo yako yanaonyesha hamna mazoea ya muda mrefu (how come awe rafiki yako maana rafiki ni neno la thamani sana)
 
Mimi hapo nimeishampa red card!
Nyumbani kwako alipajuaje mpaka kuingia ndani? Ulimkaribisha? Mimi kwenye mambo ya urafiki niko very strict, katika maisha yangu nina marafiki, ambao kwa sasa ni family friends, 2 . Hao tumetoka mbali sanaa tokea chuo, kazini and many others. Hawa ni zaidi ya ndugu, lakini the rest sitaki mazoea.
 
Kuna jamaa mmoja mtaani tukajenga mazoea! Mara hayo mazoea kayapeleka kwa mtoto wangu kiasi cha kumuachia kitu cha thamani ya kwamba atakipitia. Huyo mtoto kakiacha sehemu si salama kikaibiwa! Japo jamaa kaonyesha kutomind, lakini kwa uthamani wa hicho kitu nathani sijui itakuwaje! Sasa nikajiuliza! Urafiki ni kati yangu na wewe! Imekuwaje unamwachia mtoto wakati ulipokuja uliambiwa sipo? Kwanini hukuondoka zako wakati mimi mwenyenyumba sipo? Ujasiri wa kumuachia mtoto ili hali hatuna mazoea ya muda mrefu kati yetu na familia zetu umeutoa wapi? Ama nasema uongo wana jamvi?
Unataka msaada wa mawazo alafu mambo unayaficha ficha, sasa kuna maani gani ya wewe kuomba msaada wakitu ambacho huwezi ukaeleza kwauwazi mtu ajue anakusaidia vipi
 
Back
Top Bottom