Hivi ushawahi kuchunguza jinsi hizi dini mbili zinavyofanana?

Hivi ushawahi kuchunguza jinsi hizi dini mbili zinavyofanana?

Satirical Yet Awesome

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2023
Posts
629
Reaction score
1,688
Hapa nazungumzia Ukatoliki na Uislamu.

1st similarity

-Wakatoliki hutumia rozari kwenye sala zao.
images - 2023-10-26T014321.549.jpeg

images - 2023-10-26T014407.716.jpeg


-Waislamu nao wana kitu kinaitwa misbahah au prayer beads, na wao wanatumia kweny sala zao.
images - 2023-10-26T014609.050.jpeg

images - 2023-10-26T014819.839.jpeg


2nd Similarity

-Wakatoliki wana quaresma, kipindi cha kufunga na kufanya toba.
images - 2023-10-26T020242.374.jpeg


-Waislamu nao wana mwezi wao wa Ramadhani, huu mwezi wanautumia kwa kufunga, sala na kufanya matendo mema.
images - 2023-10-26T020541.387.jpeg


3rd similarity

-Wakatoliki wana vatican City/Vatican city State, au kwa jina lingine "The Holy see", ni sehemu muhimu sana kweny dini ya wakatoliki na ni kitovu cha roman catholic church, pia ndipo yalipo makazi ya "Pope" kiongozi mkuu wa dini. Wakatoliki wanauita "holy city" maana mji mtakatifu.
images - 2023-10-26T021148.705.jpeg

images - 2023-10-26T021321.324.jpeg


-Waislamu nao wana "Mecca", sehemu takatifu kuliko zote kweny dini ya kiislamu ilioko huko Saudi Arabia, Mecca ndipo mtume alipozaliwa na ndipo dini ya ilipozaliwa. Kimsingi ni fahari kwa muislamu kwenda Mecca kuhiji kwasababu ya utakatifu wa huo mji na waislamu tuu ndo wanaoruhusiwa kuingia huo mji, huwez kwenda kufanya utalii kama unavoenda ngorongoro.
images - 2023-10-26T022226.498.jpeg

Kabah-hajj-pilgrims-Saudi-Arabia-Mecca.jpg


-Vitu nilivyoongelea hapa si vitu minor(vidogo) kweny dini hizi mbili, ni vitu muhimu sana kweny hizo dini mbili, inakuaje hizi dini mbili zinafanana sana kiasi hichi.

-Kuna mambo mengi kuhusu hizi dini mbili na jinsi zinavofanana, ukiangalia kwa juujuu unaweza sema hazifanani, ila ukichungulia kwa ndani zaidi utakutana na similarities nyingi zaidi ya hata nilizoandika hapa, sema staki tuu kuziandika maana zinahitaji uwe mtulivu wa akili, mfuatiliaji mzuri wa historia na kutoendeshwa na hisia, lakini nimeachana nazo nimeamua kuweka zilizo dhahiri.

images - 2023-10-27T012731.718.jpeg

-Wote tunafahamu kwamba Roman Catholic church imeanza zamani kuliko dini ya uislamu.

Sasa mm nina swali moja tuu...

Je, Roman catholic church aliitengeneza dini ya uislamu ili apate jeshi kubwa la waaminio, ili alitumie kweny vita zake dhidi ya waliokuwa wanampinga Papa?

Screenshot_20231026_025142_Quora.jpg

Screenshot_20231026_025220_Quora.jpg

images - 2023-10-27T014114.540.jpeg

images - 2023-10-27T012909.670.jpeg

images - 2023-10-27T013106.887.jpeg


Nawasilisha.
 
Hapa nazungumzia Ukatoliki na Uislamu.

1st similarity

-Wakatoliki hutumia rozari kwenye sala zao.
View attachment 2793017
View attachment 2793018

-Waislamu nao wana kitu kinaitwa misbahah au prayer beads, na wao wanatumia kweny sala zao.
View attachment 2793019
View attachment 2793020

2nd Similarity

-Wakatoliki wana quaresma, kipindi cha kufunga na kufanya toba.
View attachment 2793021

-Waislamu nao wana mwezi wao wa Ramadhani, huu mwezi wanautumia kwa kufunga, sala na kufanya matendo mema.
View attachment 2793022

3rd similarity

-Wakatoliki wana vatican City/Vatican city State, au kwa jina lingine "The Holy see", ni sehemu muhimu sana kweny dini ya wakatoliki na ni kitovu cha roman catholic church, pia ndipo yalipo makazi ya "Pope" kiongozi mkuu wa dini. Wakatoliki wanauita "holy city" maana mji mtakatifu.
View attachment 2793023
View attachment 2793024

-Waislamu nao wana "Mecca", sehemu takatifu kuliko zote kweny dini ya kiislamu ilioko huko Saudi Arabia, Mecca ndipo mtume alipozaliwa na ndipo dini ya ilipozaliwa. Kimsingi ni fahari kwa muislamu kwenda Mecca kuhiji kwasababu ya utakatifu wa huo mji na waislamu tuu ndo wanaoruhusiwa kuingia huo mji, huwez kwenda kufanya utalii kama unavoenda ngorongoro.
View attachment 2793025
View attachment 2793026

-Vitu nilivyoongelea hapa si vitu minor(vidogo) kweny dini hizi mbili, ni vitu muhimu sana kweny hizo dini mbili, inakuaje hizi dini mbili zinafanana sana kiasi hichi.

-Kuna mambo mengi kuhusu hizi dini mbili na jinsi zinavofanana, ukiangalia kwa juujuu unaweza sema hazifanani, ila ukichungulia kwa ndani zaidi utakutana na similarities nyingi zaidi ya hata nilizoandika hapa, sema staki tuu kuziandika maana zinahitaji uwe mtulivu wa akili, mfuatiliaji mzuri wa historia na kutoendeshwa na hisia, lakini nimeachana nazo nimeamua kuweka zilizo dhahiri.

-Wote tunafahamu kwamba Roman Catholic church imeanza zamani kuliko dini ya uislamu.

Sasa mm nina swali moja tuu...

Je, Roman catholic church aliitengeneza dini ya uislamu ili atengeneza jeshi kubwa la waaminio ili alitumie kweny vita zake dhidi ya waliokuwa wanampinga Papa?

View attachment 2793035
View attachment 2793036

Nawasilisha.
Babeli Mkuu Mama wa Makahaba.
 
Nitajie mtume mmoja tu alotoka Vatican?

Mitume wote wametoka kwa waarabu ety leo hii Rome ndo sehemu takatifu

Wakristo mumepigwa na kitu kizito sanaa polenii
 
Ukielewa elimu ya dini na chanzo chake pamoja na matumizi ya sasa, basi huwez kuwa mlevi hata kidogo, na hautokuwa mshamba kuvutia upande fulani kwamba upo sahihi.

Mungu anawatu wake kila kona na hakuna mtu ataokolewa kwa kuwa tuh n muislam am mkatoliki ama mlokole wala msabato na nk
 
Bidhaa ambayo unauziwa kila wiki ya juma maishani mwako mwote na hauto ifaidi mpaka ufe, na mbaya zaidi hakuna aliye kufa akatuambia yaliyojiri kuhusu bidhaa hiyo yakupasa kuwa nayo makini zaidi .
 
Tofauti ziko ndogo ndogo tu.
1. Mashekh wanaoa wake wanne, mapadre wanajua na michepuko kibao.
2. Mapadre wanakunywa pombe hadharani, masheikh wanakunywa kwa kujificha.
3. Mapadre wamesoma vyakutosha elimu zote, masheikh wamejikita katika kouran tu.
4. Masheikh wanalia kitimoto sirini wakati wenzao wanakula hadharani.
5. Mapadre wanavishwa na kulishwa bure lkm masheik wajitafutia rizki.
 
Back
Top Bottom