Hivi ushawahi kuchunguza jinsi hizi dini mbili zinavyofanana?

Hivi ushawahi kuchunguza jinsi hizi dini mbili zinavyofanana?

Tofauti ziko ndogo ndogo tu.
1. Mashekh wanaoa wake wanne, mapadre wanajua na michepuko kibao.
2. Mapadre wanakunywa pombe hadharani, masheikh wanakunywa kwa kujificha.
3. Mapadre wamesoma vyakutosha elimu zote, masheikh wamejikita katika kouran tu.
4. Masheikh wanalia kitimoto sirini wakati wenzao wanakula hadharani.
5. Mapadre wanavishwa na kulishwa bure lkm masheik wajitafutia rizki.
Nani ahangaike na pombe ya Duniani

Peponi kutakuwa na pombe iliyo bora zaidi

Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
 
Screenshot_20231026_025518_Quora.jpg

Screenshot_20231026_025532_Quora.jpg
 
Hizo tsbihi, kuchoma ubani.....vililetwa katika uislam na wakatoliki walioslimu.
Ndo mana kuna ahl Sunna wavipinga
mama hao wakatoliki hawakusilimu, wakatoliki wanaojielewa hawawez kwenda kweny dini walioitengeneza wenyew.

Huo ulikuwa ni mkakati wao, wajifanye waislamu, ili waje humo ndani kweny uislamu iliku introduce hizo practices(tamaduni) kutoka kweny ukatoliki, ni kama tuu walivoingiza tamaduni zao za kipagani kweny ukristo.

Pagani Rome converted into Catholic Rome na kuleta baadhi ya vitabia walivokuwa navyo hapo awali kweny ukristo, na hivohivo ndivo walivowafanyia nyie na huo ubani.
 
Nitajie mtume mmoja tu alotoka Vatican?

Mitume wote wametoka kwa waarabu ety leo hii Rome ndo sehemu takatifu

Wakristo mumepigwa na kitu kizito sanaa polenii
Mzee kama muhammad alikuwa ni mtume wa dini mpya na ya kweli, mbona ameiga vitu vingi sana kutoka kwa wakatoliki, na kuiga sheria za wayahudi walioamini katika old covenant??

Usinambie hii imetokea bahati mbaya tuu au it's just a coincidence, sitokuamini, kwamba hii ni coincidence? au bahati mbaya tuu? hizi imani zinafanana sana.
 
Mzee kama muhammad alikuwa ni mtume wa dini mpya na ya kweli, mbona ameiga vitu vingi sana kutoka kwa wakatoliki, na kuiga sheria za wayahudi walioamini katika old covenant??

Usinambie hii imetokea bahati mbaya tuu au it's just a coincidence, sitokuamini, kwamba hii ni coincidence? au bahati mbaya tuu? hizi imani zinafanana sana.
Umeelewa swali langu lkn?
 
Nitajie mtume mmoja tu alotoka Vatican?

Mitume wote wametoka kwa waarabu ety leo hii Rome ndo sehemu takatifu

Wakristo mumepigwa na kitu kizito sanaa polenii
Hakuna mtume yoyote aliyetoka uarabuni zaidi ya muhamad .kasome vizuri

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
Umeelewa swali langu lkn?
Ndio, si unamaanisha mtume muhammad au nimekosea? Au una maanisha na kina nabii Issa wote waliotokea middle East??

Mm sipo kweny upi mji mtakatifu, mm nipo the fact kwamba huu ufanano wa hizi imani mbili unatisha.
 
Tofauti ziko ndogo ndogo tu.
1. Mashekh wanaoa wake wanne, mapadre wanajua na michepuko kibao.
2. Mapadre wanakunywa pombe hadharani, masheikh wanakunywa kwa kujificha.
3. Mapadre wamesoma vyakutosha elimu zote, masheikh wamejikita katika kouran tu.
4. Masheikh wanalia kitimoto sirini wakati wenzao wanakula hadharani.
5. Mapadre wanavishwa na kulishwa bure lkm masheik wajitafutia rizki.
Sheikh ni mtu mzima yoyote aliyesoma uslam na kuishi na kupractice uislam elewa mtu yoyote yule, ila padre ni yule tu mwenye kibali cha kuendesha misa.
Wengi wanachanga hapa

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
Tofauti ziko ndogo ndogo tu.
1. Mashekh wanaoa wake wanne, mapadre wanajua na michepuko kibao.
2. Mapadre wanakunywa pombe hadharani, masheikh wanakunywa kwa kujificha.
3. Mapadre wamesoma vyakutosha elimu zote, masheikh wamejikita katika kouran tu.
4. Masheikh wanalia kitimoto sirini wakati wenzao wanakula hadharani.
5. Mapadre wanavishwa na kulishwa bure lkm masheik wajitafutia rizki.
Sheikh ni mtu mzima yoyote aliyesoma uslam na kuishi na kupractice uislam elewa mtu yoyote yule, ila padre ni yule tu mwenye kibali cha kuendesha misa.
Wengi wanachanga hapa

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
Tofauti ziko ndogo ndogo tu.
1. Mashekh wanaoa wake wanne, mapadre wanajua na michepuko kibao.
2. Mapadre wanakunywa pombe hadharani, masheikh wanakunywa kwa kujificha.
3. Mapadre wamesoma vyakutosha elimu zote, masheikh wamejikita katika kouran tu.
4. Masheikh wanalia kitimoto sirini wakati wenzao wanakula hadharani.
5. Mapadre wanavishwa na kulishwa bure lkm masheik wajitafutia rizki.
Sheikh ni mtu mzima yoyote aliyesoma uslam na kuishi na kupractice uislam elewa mtu yoyote yule, ila padre ni yule tu mwenye kibali cha kuendesha misa.
Wengi wanachanga hapa

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
Hapa nazungumzia Ukatoliki na Uislamu.

1st similarity

-Wakatoliki hutumia rozari kwenye sala zao.
View attachment 2793017
View attachment 2793018

-Waislamu nao wana kitu kinaitwa misbahah au prayer beads, na wao wanatumia kweny sala zao.
View attachment 2793019
View attachment 2793020

2nd Similarity

-Wakatoliki wana quaresma, kipindi cha kufunga na kufanya toba.
View attachment 2793021

-Waislamu nao wana mwezi wao wa Ramadhani, huu mwezi wanautumia kwa kufunga, sala na kufanya matendo mema.
View attachment 2793022

3rd similarity

-Wakatoliki wana vatican City/Vatican city State, au kwa jina lingine "The Holy see", ni sehemu muhimu sana kweny dini ya wakatoliki na ni kitovu cha roman catholic church, pia ndipo yalipo makazi ya "Pope" kiongozi mkuu wa dini. Wakatoliki wanauita "holy city" maana mji mtakatifu.
View attachment 2793023
View attachment 2793024

-Waislamu nao wana "Mecca", sehemu takatifu kuliko zote kweny dini ya kiislamu ilioko huko Saudi Arabia, Mecca ndipo mtume alipozaliwa na ndipo dini ya ilipozaliwa. Kimsingi ni fahari kwa muislamu kwenda Mecca kuhiji kwasababu ya utakatifu wa huo mji na waislamu tuu ndo wanaoruhusiwa kuingia huo mji, huwez kwenda kufanya utalii kama unavoenda ngorongoro.
View attachment 2793025
View attachment 2793026

-Vitu nilivyoongelea hapa si vitu minor(vidogo) kweny dini hizi mbili, ni vitu muhimu sana kweny hizo dini mbili, inakuaje hizi dini mbili zinafanana sana kiasi hichi.

-Kuna mambo mengi kuhusu hizi dini mbili na jinsi zinavofanana, ukiangalia kwa juujuu unaweza sema hazifanani, ila ukichungulia kwa ndani zaidi utakutana na similarities nyingi zaidi ya hata nilizoandika hapa, sema staki tuu kuziandika maana zinahitaji uwe mtulivu wa akili, mfuatiliaji mzuri wa historia na kutoendeshwa na hisia, lakini nimeachana nazo nimeamua kuweka zilizo dhahiri.

-Wote tunafahamu kwamba Roman Catholic church imeanza zamani kuliko dini ya uislamu.

Sasa mm nina swali moja tuu...

Je, Roman catholic church aliitengeneza dini ya uislamu ili atengeneza jeshi kubwa la waaminio ili alitumie kweny vita zake dhidi ya waliokuwa wanampinga Papa?

View attachment 2793035
View attachment 2793036

Nawasilisha.
Sasa twende kwenye utofauti.
1) Mmoja ana Mungu Baba, Mungu Mtoto na Mungu Roho
Mwengine ana Mungu mmoja tu

2) Mmoja huingia kwenye nyumba ya ibada bila viatu akisema kwamba pengine alikopita amekanyaga uchafu na pale ni mahali patakatifu
Mwengine huingia na viatu, usafi ni ndani ya Mtu.

3) Mmoja huamini katika mavazi yapaswayo kuvaliwa nyumba ya ibada, yasioonyesha sehemu za wazi za mwili.
Mwengine hata kimini poa tu, usafi ni moyon kwako, sio mavazi.

4) Na usafi huu hukataza mwanamke alie katika hedhi kuingia nyumba ya ibada,
Mwengine........

5) Huswali Kwa kusimama, kuinama na kukaa chini
Mwengine hukaa kwenye viti.

6) Kanzu na kibagharashia anavaa muumini yoyote,
Kanzu wanavaa viongozi tu

7) Kuna namna maalum ya kunawa (udhu) unapotaka kuingia nyumba ya ibada.
Hakuna namna maalum ya kunawa unapotaka kuingia nyumba ya ibada, ukioga home inatosha kabisa.

8) Kitabu cha dini yake hufundishwa na kusomwa Kwa lugha moja tu inayoaminika ndio iliyotumika kuteremsha Kitabu hicho. Wanadai kutafsiri kwenda lugha mbalimbali kunaweza kupoteza maana.

Kitabu cha dini yake hufundishwa na kusomwa Kwa lugha mbalimbali za eneo husika. Wanadai hii humsaidia msomaji au mwanafunzi kuelewa vizuri.

......



......
 
Back
Top Bottom