Hivi ushawahi kuchunguza jinsi hizi dini mbili zinavyofanana?

Hivi ushawahi kuchunguza jinsi hizi dini mbili zinavyofanana?

Elewa kitu kimoja, uislamu ni imani za ukatoliki + imani za wayahudi wanaoamini katika agano la kale (Mungu mmoja), sasa hawawez kubuni dini mpya alaf kuifanya ifanane na yao 100%, hio itakuwa ukatoliki part 2
1) Mmoja ana Mungu Baba, Mungu Mtoto na Mungu Roho
Mwengine ana Mungu mmoja tu
Hii sawa, ila hii imekopiwa kwa wayahudi ambao ndo waliokuwa wana imani ya mungu mmoja, baada ya kumkataa yesu.
2) Mmoja huingia kwenye nyumba ya ibada bila viatu akisema kwamba pengine alikopita amekanyaga uchafu na pale ni mahali patakatifu
Mwengine huingia na viatu, usafi ni ndani ya Mtu.
Hapa mmekopi Imani za kiyahudi, kweny hekalu makuhani walikuwa hawaingii na viatu, haswa sehemu ya hekalu ilikuwa ikiitwa patakatifu zaidi.
4) Na usafi huu hukataza mwanamke alie katika hedhi kuingia nyumba ya ibada,
Mwengine........
Hizi nazo sheria za wayahudi, tena kuna sura nzima kweny biblia(agano la kale) inaelezea mwanamke asiingie hekaluni akiwa hedhi.
5) Huswali Kwa kusimama, kuinama na kukaa chini
Mwengine hukaa kwenye viti.
Hapana, mm sio mkatoliki ila kweny misiba naingiaga kweny misa zao, wanasimama na wanapiga magoti muda wa kusali.
6) Kanzu na kibagharashia anavaa muumini yoyote,
Kanzu wanavaa viongozi tu
Zile ni nguo za kuongozea ibada, sasa ukivaa mtaani utakuwa kituko na joto lote hili, ila hamna mtu anayekatazwa hata ww unaweza kwenda kushona fresh tuu.
7) Kuna namna maalum ya kunawa (udhu) unapotaka kuingia nyumba ya ibada.
Hakuna namna maalum ya kunawa unapotaka kuingia nyumba ya ibada, ukioga home inatosha kabisa.
Sheria za majirani wenu wayahudi ambao mnaowachukia sana, wayahudi alikuwa haingii hekaluni bila kutawaza, tena kulikuwa kuna sehemu kabisa maji yametunzwa mengi nje ya hekalu kwa ajili ya kujitawaza.
8) Kitabu cha dini yake hufundishwa na kusomwa Kwa lugha moja tu inayoaminika ndio iliyotumika kuteremsha Kitabu hicho. Wanadai kutafsiri kwenda lugha mbalimbali kunaweza kupoteza maana.
Hii imekuwa hivi ili kuifanya dini iwe inaongozwa na tamaduni za kiarabu tuu, kuanzia lugha, mavazi na baadhi ya aspect zingine.

Hao wayahudi ambao mnawachukia sana hadi qur'an inasema ni maadui wa uislamu chakushangaza ndo mmetoa imani nyingi sana kutoka kwao plus imani za kikatoliki.
 
Hii siyo ajabu maana mke wa kwanza wa Muhammad pamoja na uncle wake walaka waliompa utume baada ya kupigwa roba pangoni na kupata maruweruwe walikuwa wakatoliki
 
Wakatolik wanatumia sanamu ya msalaba na Maria..inakuwa na jua behind
Waislamu wanatumia mwezi na nyota
Wakatoliki wanatumia ile ishara ya maria amekanyaga mwezi na mng'ao jua kweny kichwa chake, ipo hata kweny masanamu yao
images - 2023-11-30T234615.850.jpeg


Waislamu wanatumia symbol ya mwezi na nyota.
images - 2023-11-30T235044.231.jpeg


Wote wanatumia symbol za heavenly bodies(sun, moon and stars) na kimsingi tunajua kwamba dini nyingi za kipagani wanatumia hizi symbol za heavenly bodies, katoliki imekuwa hivi kwasababu rumi ya kipagani(pagan rome) waliokuwa waabudu jua na mwezi walivoingia kweny ukristo ndo wakaleta na tamaduni zao za kipagani, kwaio ukristo plus tamaduni za kipagani za pagan rome ndo unapata roman catholic.

Kwa upande wa waislamu hizo symbol wamezitoa kutokana na makabila ya kipagani ya kiarabu waliokuwa wanaabudu jua na mwezi, ambayo kweny makabila hayohayo ndo mtume ametokea, kiufupi Allah was a moon god from Muhammad's pagan tribe, Much like "YHWH/Yahweh/Jehovah" is the personal name of the God of the Bible, "Allah" was also the personal name given to the moon god, the highest of the 360 pagan idols worshipped in Mecca, Muhammad's home town.

What evidence is there that Islam's "Allah" is the pagan moon god of ancient Mecca??
Well Consider what the pagan Arabians did to worship their moon god, Allah; they prayed while bowing towards K'abah, the "house of Allah" in Mecca that houses a meteorite a stone from space several times a day, visited it once a year, and walked around it several times during their visit.
Muhammad chose his tribe's moon god "Allah" as his god. He picked the crescent moon as his symbol because it's Allah's symbol.
Allah as a lunar deity - Wikipedia.
 
Mzee kama muhammad alikuwa ni mtume wa dini mpya na ya kweli, mbona ameiga vitu vingi sana kutoka kwa wakatoliki, na kuiga sheria za wayahudi walioamini katika old covenant??

Usinambie hii imetokea bahati mbaya tuu au it's just a coincidence, sitokuamini, kwamba hii ni coincidence? au bahati mbaya tuu? hizi imani zinafanana sana.
Kumbe zinafanana na mungu wenu yesu nyie muunde uislam hovyo kabisa leta ushahidi sio eti kufanana ndio ushahidi hamjui kuanzia mtu wa kwanza kuumbwa aliagizwa ujumbe mmoja wa dini moja?
 
Kumbe zinafanana na mungu wenu yesu nyie muunde uislam hovyo kabisa leta ushahidi sio eti kufanana ndio ushahidi hamjui kuanzia mtu wa kwanza kuumbwa aliagizwa ujumbe mmoja wa dini na Mungu mmoja?
 
Kumbe zinafanana na mungu wenu yesu nyie muunde uislam hovyo kabisa leta ushahidi sio eti kufanana ndio ushahidi hamjui kuanzia mtu wa kwanza kuumbwa aliagizwa ujumbe mmoja wa dini moja?
Soma vizur thread mkuu.

Na wewe naomba ulete ushahidi kwamba uislamu ulikuwepo before Muhammad, namaanisha 7th century, sio unasema tuu binadamu wa kwanza alikuwa muislamu, ushahidi uko wapi?? Story za Adam, Ibrahim, Isaka, Yakobo, Suleiman zilikuwa zikiimbwa na kufundishwa kwa miaka na miaka Yerusalem alaf anakuja warlord mmoja kutoka Mecca anasema hao wote walikuwa waislamu? Like how nigga?? Mambo yametokea kweny ardhi yao palepale Israel, wewe ulikuwa huko Mecca na Umezaliwa not more 60years ago alaf useme kila mtu pale yerusalem amekosea wewe ndo upo sahihi, Ibrahim alikuwa muislamu.
WTF! Broo??
 
Abrahamic religions - Judaism ni Mama yao, Christianity imekopi kwa Judaism na Uislam umekopi kwa Ukristu na dini zote hizi chimbuko lao ni Afrika ambako Judaism ilikopi toka kwa Kemit Civilization (Misri, si hii Misri ya Waarab, hapana). Tatizo unakutana na mtu mpuuzi kama Ali Kiba asiyejuwa chochote zaidi ya kubana pua akiimba anakuja ambia watu kuwa kila mtu kazaliwa kuwa Muislam wakati Uislam ni dini iliyokuja baadaye tena kimabavu ikiongozwa na Muddy.

Waafrika wasiojuwa historia ya hizi dini ni hatari shinda shetani mwenyewe aliyempa Muddy Qur'an
 
Ukatoliki haujaanzisha Uislam.
Dini ya kiislam iliibuka kuja kuwaadhibu wakatoliki.
Warumi walioua wakristo wa kwanza,ndio walioanzisha ukatoliki.

Baada ya mbinu ya kuua wakristo kuonekana kuwa mkakati uliofeli kwani walizidi kuongezeka,ndipo warumi wakaanzisha ukatoliki ili kuua "ukristo" kama mkakati mpya.Mbinu hii ilikuwa hatari zaidi kwani ilianza kufanikiwa kwa kasi kubwa mno kwa kuingiza ibada za kipagani kwenye ukristo.Baadhi ya waliopingana na ukatoliki na ibada zake za sanamu waliteswa na kuuwawa.

Ndipo Mungu aliruhusu uislam kuibuka ili kuuadhibu ukatoliki.Waliibuka na kuwaadhibu waabudu sanamu vikali.Askari wa kiislam( maswahaba) wametajwa kama nzige waliopewa nguvu ya nge.Ufunuo 9:1-12 inaongelea kuibuka kwa uislam.

Biblia inauongelea uislam kama nyota iliyoanguka kutoka mbinguni,ambayo ni mafundisho mazuri,lakini pia kibaya zaidi ni kwamba yalichanganyika na mafundisho ya kuzimu ambapo kitabu cha ufunuo,kinaonesha kwa kusema moshi uliopanda kutoka kuzimu.

Kwa sasa ninachoweza kusema,ibilisi kupitia illuminats,anatumia dini hizi mbili kwa makusudi yake.

Sio dini hizi tu,bali dini karibu zote unazozijua hapa duniani,mwovu amepanda magugu.

Kwa sasa,ninachowasihi tu,sikiliza sauti ya Mungu.Ukitulia utaisikia inasema na wewe ndani yako.Ni sauti ya upole sana.

Kwa maana jinsi hii,Mungu aliupenda ulimwengu,hata akamtoa mwanaye pekee,ili kila amwaminiye asipotee,bali awe na uzima wa milele.Yoh 3:16

Mwamini Kristo inatosha.Mengine yeye atakuongoza kupitia roho wake.Achana na masharti ya kidini yanayokufanya uiache kweli.
 
Back
Top Bottom