Nani ahangaike na pombe ya DunianiTofauti ziko ndogo ndogo tu.
1. Mashekh wanaoa wake wanne, mapadre wanajua na michepuko kibao.
2. Mapadre wanakunywa pombe hadharani, masheikh wanakunywa kwa kujificha.
3. Mapadre wamesoma vyakutosha elimu zote, masheikh wamejikita katika kouran tu.
4. Masheikh wanalia kitimoto sirini wakati wenzao wanakula hadharani.
5. Mapadre wanavishwa na kulishwa bure lkm masheik wajitafutia rizki.
mama hao wakatoliki hawakusilimu, wakatoliki wanaojielewa hawawez kwenda kweny dini walioitengeneza wenyew.Hizo tsbihi, kuchoma ubani.....vililetwa katika uislam na wakatoliki walioslimu.
Ndo mana kuna ahl Sunna wavipinga
Mzee kama muhammad alikuwa ni mtume wa dini mpya na ya kweli, mbona ameiga vitu vingi sana kutoka kwa wakatoliki, na kuiga sheria za wayahudi walioamini katika old covenant??Nitajie mtume mmoja tu alotoka Vatican?
Mitume wote wametoka kwa waarabu ety leo hii Rome ndo sehemu takatifu
Wakristo mumepigwa na kitu kizito sanaa polenii
Aisee, Ahsante.Ukisoma sala ya babayetu ,na surat fat'ha zinafanana
Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
Wasabato kwenye moja na mbili.Babeli Mkuu Mama wa Makahaba.
Evidence zinajieleza.Usifananishe ukatolic na dini inayofundisha ugaidi
Umeelewa swali langu lkn?Mzee kama muhammad alikuwa ni mtume wa dini mpya na ya kweli, mbona ameiga vitu vingi sana kutoka kwa wakatoliki, na kuiga sheria za wayahudi walioamini katika old covenant??
Usinambie hii imetokea bahati mbaya tuu au it's just a coincidence, sitokuamini, kwamba hii ni coincidence? au bahati mbaya tuu? hizi imani zinafanana sana.
Ambayo haileweshi sio??Nani ahangaike na pombe ya Duniani
Peponi kutakuwa na pombe iliyo bora zaidi
Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
Hakuna mtume yoyote aliyetoka uarabuni zaidi ya muhamad .kasome vizuriNitajie mtume mmoja tu alotoka Vatican?
Mitume wote wametoka kwa waarabu ety leo hii Rome ndo sehemu takatifu
Wakristo mumepigwa na kitu kizito sanaa polenii
Ndio, si unamaanisha mtume muhammad au nimekosea? Au una maanisha na kina nabii Issa wote waliotokea middle East??Umeelewa swali langu lkn?
Sheikh ni mtu mzima yoyote aliyesoma uslam na kuishi na kupractice uislam elewa mtu yoyote yule, ila padre ni yule tu mwenye kibali cha kuendesha misa.Tofauti ziko ndogo ndogo tu.
1. Mashekh wanaoa wake wanne, mapadre wanajua na michepuko kibao.
2. Mapadre wanakunywa pombe hadharani, masheikh wanakunywa kwa kujificha.
3. Mapadre wamesoma vyakutosha elimu zote, masheikh wamejikita katika kouran tu.
4. Masheikh wanalia kitimoto sirini wakati wenzao wanakula hadharani.
5. Mapadre wanavishwa na kulishwa bure lkm masheik wajitafutia rizki.
Sheikh ni mtu mzima yoyote aliyesoma uslam na kuishi na kupractice uislam elewa mtu yoyote yule, ila padre ni yule tu mwenye kibali cha kuendesha misa.Tofauti ziko ndogo ndogo tu.
1. Mashekh wanaoa wake wanne, mapadre wanajua na michepuko kibao.
2. Mapadre wanakunywa pombe hadharani, masheikh wanakunywa kwa kujificha.
3. Mapadre wamesoma vyakutosha elimu zote, masheikh wamejikita katika kouran tu.
4. Masheikh wanalia kitimoto sirini wakati wenzao wanakula hadharani.
5. Mapadre wanavishwa na kulishwa bure lkm masheik wajitafutia rizki.
Sheikh ni mtu mzima yoyote aliyesoma uslam na kuishi na kupractice uislam elewa mtu yoyote yule, ila padre ni yule tu mwenye kibali cha kuendesha misa.Tofauti ziko ndogo ndogo tu.
1. Mashekh wanaoa wake wanne, mapadre wanajua na michepuko kibao.
2. Mapadre wanakunywa pombe hadharani, masheikh wanakunywa kwa kujificha.
3. Mapadre wamesoma vyakutosha elimu zote, masheikh wamejikita katika kouran tu.
4. Masheikh wanalia kitimoto sirini wakati wenzao wanakula hadharani.
5. Mapadre wanavishwa na kulishwa bure lkm masheik wajitafutia rizki.
Ahsante.Wakatolik wanatumia sanamu ya msalaba na Maria..inakuwa na jua behind
Waislamu wanatumia mwezi na nyota
Sasa twende kwenye utofauti.Hapa nazungumzia Ukatoliki na Uislamu.
1st similarity
-Wakatoliki hutumia rozari kwenye sala zao.
View attachment 2793017
View attachment 2793018
-Waislamu nao wana kitu kinaitwa misbahah au prayer beads, na wao wanatumia kweny sala zao.
View attachment 2793019
View attachment 2793020
2nd Similarity
-Wakatoliki wana quaresma, kipindi cha kufunga na kufanya toba.
View attachment 2793021
-Waislamu nao wana mwezi wao wa Ramadhani, huu mwezi wanautumia kwa kufunga, sala na kufanya matendo mema.
View attachment 2793022
3rd similarity
-Wakatoliki wana vatican City/Vatican city State, au kwa jina lingine "The Holy see", ni sehemu muhimu sana kweny dini ya wakatoliki na ni kitovu cha roman catholic church, pia ndipo yalipo makazi ya "Pope" kiongozi mkuu wa dini. Wakatoliki wanauita "holy city" maana mji mtakatifu.
View attachment 2793023
View attachment 2793024
-Waislamu nao wana "Mecca", sehemu takatifu kuliko zote kweny dini ya kiislamu ilioko huko Saudi Arabia, Mecca ndipo mtume alipozaliwa na ndipo dini ya ilipozaliwa. Kimsingi ni fahari kwa muislamu kwenda Mecca kuhiji kwasababu ya utakatifu wa huo mji na waislamu tuu ndo wanaoruhusiwa kuingia huo mji, huwez kwenda kufanya utalii kama unavoenda ngorongoro.
View attachment 2793025
View attachment 2793026
-Vitu nilivyoongelea hapa si vitu minor(vidogo) kweny dini hizi mbili, ni vitu muhimu sana kweny hizo dini mbili, inakuaje hizi dini mbili zinafanana sana kiasi hichi.
-Kuna mambo mengi kuhusu hizi dini mbili na jinsi zinavofanana, ukiangalia kwa juujuu unaweza sema hazifanani, ila ukichungulia kwa ndani zaidi utakutana na similarities nyingi zaidi ya hata nilizoandika hapa, sema staki tuu kuziandika maana zinahitaji uwe mtulivu wa akili, mfuatiliaji mzuri wa historia na kutoendeshwa na hisia, lakini nimeachana nazo nimeamua kuweka zilizo dhahiri.
-Wote tunafahamu kwamba Roman Catholic church imeanza zamani kuliko dini ya uislamu.
Sasa mm nina swali moja tuu...
Je, Roman catholic church aliitengeneza dini ya uislamu ili atengeneza jeshi kubwa la waaminio ili alitumie kweny vita zake dhidi ya waliokuwa wanampinga Papa?
View attachment 2793035
View attachment 2793036
Nawasilisha.
Na hawa je, si sanamu "kalba" wanayoibusu?Wakatolik wanatumia sanamu ya msalaba na Maria..inakuwa na jua behind
Waislamu wanatumia mwezi na nyota