Hivi ushawahi kukutana na hii?

sasa wewe leejay unaonekana una utoto mwingi afu una bwana mwenye gari kabisa, maanake ana vihela! hivi mabwana zebu wanawaProgram vp?
Mbona umeenda op,. Thanks anyways
 
Kwakweli
 
So unaishi kwenu mpaka sasa? We eleza tu kwani wakijua unaliwa na huyo kigogo au unaliwa kwenye mahoteli makubwa shida iko wapi.
Hapana sio kweli
 
Wewe ndo umefafanua uhalisia wenyewe
 
Mkuu unainekana una umri mdogo lakini mambo yako ni makubwa sana. Hongera kwa kuijua dunia mapema.
 
Duuh mwanangu hujatulia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…