Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Hata ivyo wale wote walio hama vyama hasa walioliingizia taifa hasara kwa kuama kabla ya kipindi cha uchaguzi wapigwe chini tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye hayo hayo majina matatu hawatapita kwa wapiga kura mkuu. Labda majina yote matatu yawe ya wahamiaji haramu jambo ambalo litaipasua pasua CCM kila kona.
Kuna kale kabwana mdogo ka kilombero, kwanza kana shule ya wasiwasi pili kanadai kaliiba kura, sijaona takukuru au DCI akihangaika nako, tusubiri mtiti wa kura za maoni
Atafute bwana aolewe tu hana namna nyingine.
Sasa wewe mtandaoni unafanya nnAcheni kujifariji mtandaoni ndo washahama hivyo.. Na ni muendelezo!
Watasombwa kwenye majukwa kuwapigia debe wagombea,si tuliona kina Juliana Shonza.Hakika umenena mkuu...watajikuta hawamo ndani na nje hawatakiwi kuonekana...malipo ni hapa hapa duniani
Hujaelewa tatizoSasa wewe mtandaoni unafanya nn
Kwani ccm Asilia hawataki nao nafasi hizoManeno ya mfa maji
Ungewauliza labda wao
Mbeleko itawaokoa.Mkuu G Sam, wahamiaji hawatapata taabu kwasababu CCM imebadili utaratibu, unaanza uteuzi kwanza wa majina matatu ndio yanakwenda kupigiwa kura.
Hivyo wale wanaotakiwa, watabebwa.
P
Lakini Mkuu hawa Wasaliti si wamelipwa kwa kazi maalum?? Kuna wa fedha taslim na wengine wa kwa Kuahidiwa kurudishiwa Ubunge na wengine ikiwa vyote vitashindikana basi Mzee ana vyeo mkononi.Hawa watu uwezo wao wa kuona mbali ni mdogo mno!!
Wivu tuMbunge umehamia CCM tena unawatukana waliokupa ridhaa ya chama kugombea. Unatukana sana huku unajisahau kuwa unaenda kugombea ubunge kwa tiketi ya chama ambacho umehamia juzi. Chama ambacho unaenda kukutana na magwiji ha propaganda chafu yaliyojipanga tangia 2016.
Nawaambieni mtapata tabu sana. Kwanza mtatukanwa matusi haya haya mnayotukana sasa! Mtachambwa na mwisho hamtapita hata mmoja wenu kwenye kura za maoni.
Mnajisahau sana, mnapata kiburi sana ila muda utaongea. Nyie ni mazuzu yasiyoona mbele na kwa hakika mtakuja kujikuta mnamlalamikia tena huyu huyu anayewaita kwake ila kwa wakati huo hakuna wa kuwasikilizeni maana kila mtu atakuwa anapambana na hali yake. Kwa sasa nyie jitoeni ufahamu vya kutosha kabisa!
Na ikiwa kamati kuu itajifanya ubabe na kuwapa ugombea kinguvu basi yatakayofuatia yatafurahisha sana.
Nimwambie tu Rais Magufuli kuwa anachokijenga sasa na kwa miaka minne iliyopita ndicho atakachokiona kwenye uchaguzi mkuu na kuanzia mwaka 2021. Hapo ndipo atajua kuwa kumbe ubabe si kitu chochote mbele ya siasa! Tukutane ulingoni palipojaa umamluki, fitina, uchawi, uuwaji na kila aina ya takataka linalojulikana.
Ulingoni si mbali kutoka sasa.
Acha uboyaWewe ni liccm lipi?
Sasa mnaomba huruma ya Nani?Mbunge umehamia CCM tena unawatukana waliokupa ridhaa ya chama kugombea. Unatukana sana huku unajisahau kuwa unaenda kugombea ubunge kwa tiketi ya chama ambacho umehamia juzi. Chama ambacho unaenda kukutana na magwiji ha propaganda chafu yaliyojipanga tangia 2016.
Nawaambieni mtapata tabu sana. Kwanza mtatukanwa matusi haya haya mnayotukana sasa! Mtachambwa na mwisho hamtapita hata mmoja wenu kwenye kura za maoni.
Mnajisahau sana, mnapata kiburi sana ila muda utaongea. Nyie ni mazuzu yasiyoona mbele na kwa hakika mtakuja kujikuta mnamlalamikia tena huyu huyu anayewaita kwake ila kwa wakati huo hakuna wa kuwasikilizeni maana kila mtu atakuwa anapambana na hali yake. Kwa sasa nyie jitoeni ufahamu vya kutosha kabisa!
Na ikiwa kamati kuu itajifanya ubabe na kuwapa ugombea kinguvu basi yatakayofuatia yatafurahisha sana.
Nimwambie tu Rais Magufuli kuwa anachokijenga sasa na kwa miaka minne iliyopita ndicho atakachokiona kwenye uchaguzi mkuu na kuanzia mwaka 2021. Hapo ndipo atajua kuwa kumbe ubabe si kitu chochote mbele ya siasa! Tukutane ulingoni palipojaa umamluki, fitina, uchawi, uuwaji na kila aina ya takataka linalojulikana.
Ulingoni si mbali kutoka sasa.