Hivi utajisikiaje mbunge umehamia CCM halafu unaenda kukataliwa na wanaccm kwenye kura za maoni? Angalizo: mtatukanwa sana na wapinzani wenu chamani!

Hivi utajisikiaje mbunge umehamia CCM halafu unaenda kukataliwa na wanaccm kwenye kura za maoni? Angalizo: mtatukanwa sana na wapinzani wenu chamani!

Hata ivyo wale wote walio hama vyama hasa walioliingizia taifa hasara kwa kuama kabla ya kipindi cha uchaguzi wapigwe chini tu.
 
Muulize Mayalla yeye atagombea kama mhamiaji haramu au atategemea kabila?
Kwenye hayo hayo majina matatu hawatapita kwa wapiga kura mkuu. Labda majina yote matatu yawe ya wahamiaji haramu jambo ambalo litaipasua pasua CCM kila kona.
 
Kale kashajitoa kwenye uringo wa siasa za kiushindani
Kuna kale kabwana mdogo ka kilombero, kwanza kana shule ya wasiwasi pili kanadai kaliiba kura, sijaona takukuru au DCI akihangaika nako, tusubiri mtiti wa kura za maoni
 
Hakika umenena mkuu...watajikuta hawamo ndani na nje hawatakiwi kuonekana...malipo ni hapa hapa duniani
Watasombwa kwenye majukwa kuwapigia debe wagombea,si tuliona kina Juliana Shonza.
 
Hawa watu uwezo wao wa kuona mbali ni mdogo mno!!
Lakini Mkuu hawa Wasaliti si wamelipwa kwa kazi maalum?? Kuna wa fedha taslim na wengine wa kwa Kuahidiwa kurudishiwa Ubunge na wengine ikiwa vyote vitashindikana basi Mzee ana vyeo mkononi.
 
Huwa najiuliza sana🤔🤔hivi hawa jamaa uzuzu umewaingia lini hadi ufahamu waliokuwa nao miaka kadhaa nyuma uwayeyuke kiasi hiki....huwa hadi naona aibu kuwasikiliza🙉🙉
 
Mbunge umehamia CCM tena unawatukana waliokupa ridhaa ya chama kugombea. Unatukana sana huku unajisahau kuwa unaenda kugombea ubunge kwa tiketi ya chama ambacho umehamia juzi. Chama ambacho unaenda kukutana na magwiji ha propaganda chafu yaliyojipanga tangia 2016.

Nawaambieni mtapata tabu sana. Kwanza mtatukanwa matusi haya haya mnayotukana sasa! Mtachambwa na mwisho hamtapita hata mmoja wenu kwenye kura za maoni.

Mnajisahau sana, mnapata kiburi sana ila muda utaongea. Nyie ni mazuzu yasiyoona mbele na kwa hakika mtakuja kujikuta mnamlalamikia tena huyu huyu anayewaita kwake ila kwa wakati huo hakuna wa kuwasikilizeni maana kila mtu atakuwa anapambana na hali yake. Kwa sasa nyie jitoeni ufahamu vya kutosha kabisa!

Na ikiwa kamati kuu itajifanya ubabe na kuwapa ugombea kinguvu basi yatakayofuatia yatafurahisha sana.

Nimwambie tu Rais Magufuli kuwa anachokijenga sasa na kwa miaka minne iliyopita ndicho atakachokiona kwenye uchaguzi mkuu na kuanzia mwaka 2021. Hapo ndipo atajua kuwa kumbe ubabe si kitu chochote mbele ya siasa! Tukutane ulingoni palipojaa umamluki, fitina, uchawi, uuwaji na kila aina ya takataka linalojulikana.

Ulingoni si mbali kutoka sasa.
Wivu tu
 
Ni hatari kwenye chama kua na mtu ambae hakujengwa kiitikadi ya chama hicho, leo utamuona mtu lakin kesho nafsi yake itarudi kule ilikotoka.
Tusubiri........
 
siikubali CCM, na siwezi kuikubali, lakini natamani sana wawashughulikie yudas wote! Natamani iwe wametumiwa tu alafu, tupa kule!!😂😂. Nawaahidi, mkifanya hivyo nitafurahi, lakini msimamo wangu kiitikadi ntabaki nao!!
 
Mbunge umehamia CCM tena unawatukana waliokupa ridhaa ya chama kugombea. Unatukana sana huku unajisahau kuwa unaenda kugombea ubunge kwa tiketi ya chama ambacho umehamia juzi. Chama ambacho unaenda kukutana na magwiji ha propaganda chafu yaliyojipanga tangia 2016.

Nawaambieni mtapata tabu sana. Kwanza mtatukanwa matusi haya haya mnayotukana sasa! Mtachambwa na mwisho hamtapita hata mmoja wenu kwenye kura za maoni.

Mnajisahau sana, mnapata kiburi sana ila muda utaongea. Nyie ni mazuzu yasiyoona mbele na kwa hakika mtakuja kujikuta mnamlalamikia tena huyu huyu anayewaita kwake ila kwa wakati huo hakuna wa kuwasikilizeni maana kila mtu atakuwa anapambana na hali yake. Kwa sasa nyie jitoeni ufahamu vya kutosha kabisa!

Na ikiwa kamati kuu itajifanya ubabe na kuwapa ugombea kinguvu basi yatakayofuatia yatafurahisha sana.

Nimwambie tu Rais Magufuli kuwa anachokijenga sasa na kwa miaka minne iliyopita ndicho atakachokiona kwenye uchaguzi mkuu na kuanzia mwaka 2021. Hapo ndipo atajua kuwa kumbe ubabe si kitu chochote mbele ya siasa! Tukutane ulingoni palipojaa umamluki, fitina, uchawi, uuwaji na kila aina ya takataka linalojulikana.

Ulingoni si mbali kutoka sasa.
Sasa mnaomba huruma ya Nani?
 
Back
Top Bottom