Hivi uvunguni mwa meli, boat au pantoni kukoje?

My god[emoji134] piston 14?sipati picha pigo moja litakuwa na nguvu gani
 
Kweli mkuu mi sio kwamba sijui meli au boat au pamton naviju sana na nishapanda saana tuu kutokaka na kazi zangu ila nauliza kwa kuwa nilijaribu kuchungulia sikuona ndo maana nimeuliza humu kwa faida ya wengine ambao nao walikuwa hawajui
Mkuu wa stendi[emoji115]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…