πππππππππππLimbwata Kali Sana hili ila nguvu yake inakaribia kuisha mechi ijayo na police akipigwa tu patachimbika pale Jangwani
Mimi nimegundua uzuri wa Zahera ni ile michirizi utamu ya nyuma ya magoti ndo maana anapendelea sana vipensi... hahahaHuwa wanaposema simba ni mbumbumbu basi bila shaka mtoa mada anathibitisha hilo.Sema kwanza ubovu wa zahera ni upi na ndipo uulize ni kwa nini Yanga wanaendelea kumshikilia.sasa unamtuhumu zahera halafu hujaona kosa hata moja kwake.
Kuna mmoja alianzisha uzi kuhusu eti Zahera havai mavazi anayotaka yeye huku alifananisha na wa simba lakin sa simba juzi kaka benchi na jinsi.sasa simba sijui mnakwama wapi?
kama huna cha kuandika sio lazima uandike uzi ili uonekane umeandika.kaa kimya tu maana mpira ni data na fact wewe unaleta umbumbumbu kweli Rage hakukosea.
ππππMimi nimegundua uzuri wa Zahera ni ile michirizi utamu ya nyuma ya magoti ndo maana anapendelea sana vipensi... hahaha
Masikini weeee
ππππMasikini weeeeView attachment 1255170
πππTimu ya Yanga imewahi kuwa na na Makocha wengi sana wazuri kabisa na walioipa mafanikio makubwa sana timu hii , ikiwemo kubeba vikombe kadhaa lakini hawajawahi kusifiwa kama anavyosifiwa huyu kocha mbovu asiye na mafanikio yoyote aitwaye Mwinyi Zahera , hajawahi hata kubeba kikombe cha kunywea kahawa .
Amewapa nini wanayanga huyu mcongo ? au ni kweli kwamba Wacongo wanatumia ndumba kupumbaza wengine ? Huyu kiuwezo yuko nyuma mno kumlinganisha na Kataraiya Minziro lakini sifa anazopewa hata Man U hawakuwahi kumpa Alex Ferguson .
UPDATES
.................
View attachment 1254584
Eti Simba nayo leo inamtaka Zahera !Ajabu wanoteseka ni mashabiki wa Simba.
Endelea kudemka hizo ngoma za mitandaoni kuhusu Zahera[emoji1].Eti Simba nayo leo inamtaka Zahera !