Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Nilidhani kichwa cha uzi kimekosewa.Ndiyo,uzi nao una kichwa.🙏😜Marekani watu huwa hawali vikundu vya kuku. Sasa makampuni ya nyama za kuku yakaonelea kuwa kuvitupa ni hasara kubwa. Yakatafuta soko. Yakapata soko huko visiwa vya Samoa. Kwa miaka na miaka Samoa ikawa ndiyo wateja wakubwa wa vikundu kutoka Marekani.
Hivi vikundu vinakafuta mengi kupita kiasi. Hakuna sehemu ya kuku yenye mafuta kama hivyo na ni moja ya sababu Wamarekani walikataa kuvila. Ulaji wake husababisha uzito wa kupitiliza kwa kasi sana. Leo hii Wasamoa ndiyo watu wanaongoza kwa unene duniani na serikali yao inajitahidi kupiga marufuku uingizaji wa vikundu. Ni vidude hatari sana.
View attachment 2611765
Mnakosa utamu.😜Kwa upande wangu ukiacha mafuta mengi, huwa siwezi kula sehemu hiyo ya kuku coz nna kinyaa sana kutokana na nature yake.
Mimi nilipo soma haraka haraka nikajua inacho elezewa ni VIKINDU ya Kule kuelekea KISEMVULE....Marekani watu huwa hawali vikundu vya kuku. Sasa makampuni ya nyama za kuku yakaonelea kuwa kuvitupa ni hasara kubwa. Yakatafuta soko. Yakapata soko huko visiwa vya Samoa. Kwa miaka na miaka Samoa ikawa ndiyo wateja wakubwa wa vikundu kutoka Marekani.
Hivi vikundu vinakafuta mengi kupita kiasi. Hakuna sehemu ya kuku yenye mafuta kama hivyo na ni moja ya sababu Wamarekani walikataa kuvila. Ulaji wake husababisha uzito wa kupitiliza kwa kasi sana. Leo hii Wasamoa ndiyo watu wanaongoza kwa unene duniani na serikali yao inajitahidi kupiga marufuku uingizaji wa vikundu. Ni vidude hatari sana.
View attachment 2611765
Marekani watu huwa hawali vikundu vya kuku. Sasa makampuni ya nyama za kuku yakaonelea kuwa kuvitupa ni hasara kubwa. Yakatafuta soko. Yakapata soko huko visiwa vya Samoa. Kwa miaka na miaka Samoa ikawa ndiyo wateja wakubwa wa vikundu kutoka Marekani.
Hivi vikundu vinakafuta mengi kupita kiasi. Hakuna sehemu ya kuku yenye mafuta kama hivyo na ni moja ya sababu Wamarekani walikataa kuvila. Ulaji wake husababisha uzito wa kupitiliza kwa kasi sana. Leo hii Wasamoa ndiyo watu wanaongoza kwa unene duniani na serikali yao inajitahidi kupiga marufuku uingizaji wa vikundu. Ni vidude hatari sana.
View attachment 2611765
HahahaMimi nilipo soma haraka haraka nikajua inacho elezewa ni VIKINDU ya Kule kuelekea KISEMVULE....
Unafikiri hawa wasamoa wanavipiga hamsini kwa siku?Hatari gani ya kunenepesha?ulafi ndio tatizo hapa yaani ulaji kupitiliza kama mtu unabonya "kikundu" kimoja Kwa siku badala ya hamsini unene utatoka wapi.Mi nikadhani vina bakteria hatari
Mimi pasipo kula hicho kitu naona kama sijakula Kuku, hua naanza na hicho ndo vingine vifuate. Kwa ambao hamjawahi kula yaani ni kitamu balaaMarekani watu huwa hawali vikundu vya kuku. Sasa makampuni ya nyama za kuku yakaonelea kuwa kuvitupa ni hasara kubwa. Yakatafuta soko. Yakapata soko huko visiwa vya Samoa. Kwa miaka na miaka Samoa ikawa ndiyo wateja wakubwa wa vikundu kutoka Marekani.
Hivi vikundu vinakafuta mengi kupita kiasi. Hakuna sehemu ya kuku yenye mafuta kama hivyo na ni moja ya sababu Wamarekani walikataa kuvila. Ulaji wake husababisha uzito wa kupitiliza kwa kasi sana. Leo hii Wasamoa ndiyo watu wanaongoza kwa unene duniani na serikali yao inajitahidi kupiga marufuku uingizaji wa vikundu. Ni vidude hatari sana na bahati mbaya vimejipatia sana umaarufu maeneo ya uswazi.
View attachment 2611765
Nipo sambamba na wewe.Mimi pasipo kula hicho kitu naona kama sijakula Kuku, hua naanza na hicho ndo vingine vifuate. Kwa ambao hamjawahi kula yaani ni kitamu balaa
Mbagala vinaaitwaa ngongingoMarekani watu huwa hawali vikundu vya kuku. Sasa makampuni ya nyama za kuku yakaonelea kuwa kuvitupa ni hasara kubwa. Yakatafuta soko. Yakapata soko huko visiwa vya Samoa. Kwa miaka na miaka Samoa ikawa ndiyo wateja wakubwa wa vikundu kutoka Marekani.
Hivi vikundu vinakafuta mengi kupita kiasi. Hakuna sehemu ya kuku yenye mafuta kama hivyo na ni moja ya sababu Wamarekani walikataa kuvila. Ulaji wake husababisha uzito wa kupitiliza kwa kasi sana. Leo hii Wasamoa ndiyo watu wanaongoza kwa unene duniani na serikali yao inajitahidi kupiga marufuku uingizaji wa vikundu. Ni vidude hatari sana na bahati mbaya vimejipatia sana umaarufu maeneo ya uswazi.
View attachment 2611765