Pre GE2025 Hivi vile vyama 13 vya upinzani, vilivyoamua kuungana na CCM, kuwapinga Chadema, wanajisikiaje hivi sasa baada ya kuona maandamano hayo yamefanikiwa?

Pre GE2025 Hivi vile vyama 13 vya upinzani, vilivyoamua kuungana na CCM, kuwapinga Chadema, wanajisikiaje hivi sasa baada ya kuona maandamano hayo yamefanikiwa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Baada ya Mwenyekiti wa Chadema kuutangazia Umma kuwa chama chake kinategemea kufanya maandamano ya amani jijini Dar tarehe 24 mwezi huu, kama kawaida viliibuka baadhi ya vyama, wakiongozwa na CCM kuyapinga maandamano hayo.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti Freeman Mbowe, maandamano hayo ya amani, yalikuwa na madhumuni yafuatayo:-

1. Kuitaka serikali kuiondosha miswada 3 ya uchaguzi, ambayo hivi sasa imefikishwa bungeni, kutokana na wananchi walio wengi, kutosikikilizwa hoja zao.

2. Kuwataka serikali kuangalia gharama za maisha, zinazopanda kila kukicha, zikiwemo bei za sukari, bei ya nauli na gharama nyingine, wakati kipato cha mtanzania, kimebaki palepale.

3. Serikali hii ya CCM iweze kuondoa matumizi ya anasa katika serikali yake, wakati wananchi walio wengi, wakiishi katika maisha ya ufukara wa kutisha!

Kwanza aliibuka Mkuu wa Mkoa wa Dar, Albert Chalamila, aliyedai kuwa askari wa JWTZ zaidi ya 8,000 na askari 5,000 wa Jeshi la Polisi, siku hiyo iliyotangazwa maandano, tarehe 24, watashiriki kufanya usafi jijini Dar

Sikushangazwa na kauli hiyo ya Mkuu wa Mkoa wa Dar kuyapinga maandamano hayo, kwa kuwa ni kawaida ya viongozi wa CCM, kutumia mbinu hiyo ya kuwatisha wananchi wake, kila pale yanapotangazwa maandamano ya amani.

Hata hivyo ndani ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya mwaka 1977, ibara ya 18(1)(2) maandamano hayo ya amani yanaruhusiwa kwa mujibu wa Katiba hiyo.

Lakini kilichonishangaza zaidi, ni pale vyama 13 vinavyojiita ni vya upinzani, kujitokeza hadharani na kuyapinga maandamano hayo ya amani!

Niviulize hivyo vyama vinavyojiita ni vyama vya upinzani (wakati katika hali halisi, hivyo vyama tunapaswa kuviita ni CCM -B) je nyinyi hamuoni hoja za msingi zikizotolewa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ya kuitaka serikali hii ya CCM, kutafakari kwa makini jinsi wanavyotutawala, kwa kuwa hivi sasa, maisha ni magumu mno kwa mwananchi wa kawaida, kutokana na kupandisha kila wakati gharama za maisha, mathalani kupanda kwa bei ya sukari na kupanda kwa nauli za mabasi na kukatika kwa umeme bila mpangilio?

Najua kuwa chama tawala kina mbinu nyingi, zikiwemo za kugawa (maokoto) kwa baadhi ya vyama vya upinzani, ili ionekane, hizo hoja zilizotolewa na Chadema, zionekane kuwa siyo za watanzania walio wengi.

Hata hivyo baada ya maandamano hayo ya amani ya Chadema, kufanikiwa sana hapo jana, vyama hivyo vinavyojiita vya upinzani, vijaandalie makaburi yao, kwa kuwa wananchi tumebaini kuwa, wao si watetezi wetu, badala yake, vimeungana na CCM, katika kuyaangamiza maisha ya umma wa watanzania wanyonge!

Mungu ibariki Tanzania
Umoja wa Kazi iendelee
 
Baada ya Mwenyekiti wa Chadema kuutangazia Umma kuwa chama chake kinategemea kufanya maandamano ya amani jijini Dar tarehe 24 mwezi huu, kama kawaida viliibuka baadhi ya vyama, wakiongozwa na CCM kuyapinga maandamano hayo.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti Freeman Mbowe, maandamano hayo ya amani, yalikuwa na madhumuni yafuatayo:-

1. Kuitaka serikali kuiondosha miswada 3 ya uchaguzi, ambayo hivi sasa imefikishwa bungeni, kutokana na wananchi walio wengi, kutosikikilizwa hoja zao.

2. Kuwataka serikali kuangalia gharama za maisha, zinazopanda kila kukicha, zikiwemo bei za sukari, bei ya nauli na gharama nyingine, wakati kipato cha mtanzania, kimebaki palepale.

3. Serikali hii ya CCM iweze kuondoa matumizi ya anasa katika serikali yake, wakati wananchi walio wengi, wakiishi katika maisha ya ufukara wa kutisha!

Kwanza aliibuka Mkuu wa Mkoa wa Dar, Albert Chalamila, aliyedai kuwa askari wa JWTZ zaidi ya 8,000 na askari 5,000 wa Jeshi la Polisi, siku hiyo iliyotangazwa maandano, tarehe 24, watashiriki kufanya usafi jijini Dar

Sikushangazwa na kauli hiyo ya Mkuu wa Mkoa wa Dar kuyapinga maandamano hayo, kwa kuwa ni kawaida ya viongozi wa CCM, kutumia mbinu hiyo ya kuwatisha wananchi wake, kila pale yanapotangazwa maandamano ya amani.

Hata hivyo ndani ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya mwaka 1977, ibara ya 18(1)(2) maandamano hayo ya amani yanaruhusiwa kwa mujibu wa Katiba hiyo.

Lakini kilichonishangaza zaidi, ni pale vyama 13 vinavyojiita ni vya upinzani, kujitokeza hadharani na kuyapinga maandamano hayo ya amani!

Niviulize hivyo vyama vinavyojiita ni vyama vya upinzani (wakati katika hali halisi, hivyo vyama tunapaswa kuviita ni CCM -B) je nyinyi hamuoni hoja za msingi zikizotolewa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ya kuitaka serikali hii ya CCM, kutafakari kwa makini jinsi wanavyotutawala, kwa kuwa hivi sasa, maisha ni magumu mno kwa mwananchi wa kawaida, kutokana na kupandisha kila wakati gharama za maisha, mathalani kupanda kwa bei ya sukari na kupanda kwa nauli za mabasi na kukatika kwa umeme bila mpangilio?

Najua kuwa chama tawala kina mbinu nyingi, zikiwemo za kugawa (maokoto) kwa baadhi ya vyama vya upinzani, ili ionekane, hizo hoja zilizotolewa na Chadema, zionekane kuwa siyo za watanzania walio wengi.

Hata hivyo baada ya maandamano hayo ya amani ya Chadema, kufanikiwa sana hapo jana, vyama hivyo vinavyojiita vya upinzani, vijaandalie makaburi yao, kwa kuwa wananchi tumebaini kuwa, wao si watetezi wetu, badala yake, vimeungana na CCM, katika kuyaangamiza maisha ya umma wa watanzania wanyonge!

Mungu ibariki Tanzania
Ule ulikuwa mradi wa Makomda. Hakuna mwingine ndani ya ccm anaweza kubuni mpango ubume zaidi ya huyu jamaa.
 
Baada ya Mwenyekiti wa Chadema kuutangazia Umma kuwa chama chake kinategemea kufanya maandamano ya amani jijini Dar tarehe 24 mwezi huu, kama kawaida viliibuka baadhi ya vyama, wakiongozwa na CCM kuyapinga maandamano hayo.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti Freeman Mbowe, maandamano hayo ya amani, yalikuwa na madhumuni yafuatayo:-

1. Kuitaka serikali kuiondosha miswada 3 ya uchaguzi, ambayo hivi sasa imefikishwa bungeni, kutokana na wananchi walio wengi, kutosikikilizwa hoja zao.

2. Kuwataka serikali kuangalia gharama za maisha, zinazopanda kila kukicha, zikiwemo bei za sukari, bei ya nauli na gharama nyingine, wakati kipato cha mtanzania, kimebaki palepale.

3. Serikali hii ya CCM iweze kuondoa matumizi ya anasa katika serikali yake, wakati wananchi walio wengi, wakiishi katika maisha ya ufukara wa kutisha!

Kwanza aliibuka Mkuu wa Mkoa wa Dar, Albert Chalamila, aliyedai kuwa askari wa JWTZ zaidi ya 8,000 na askari 5,000 wa Jeshi la Polisi, siku hiyo iliyotangazwa maandano, tarehe 24, watashiriki kufanya usafi jijini Dar

Sikushangazwa na kauli hiyo ya Mkuu wa Mkoa wa Dar kuyapinga maandamano hayo, kwa kuwa ni kawaida ya viongozi wa CCM, kutumia mbinu hiyo ya kuwatisha wananchi wake, kila pale yanapotangazwa maandamano ya amani.

Hata hivyo ndani ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya mwaka 1977, ibara ya 18(1)(2) maandamano hayo ya amani yanaruhusiwa kwa mujibu wa Katiba hiyo.

Lakini kilichonishangaza zaidi, ni pale vyama 13 vinavyojiita ni vya upinzani, kujitokeza hadharani na kuyapinga maandamano hayo ya amani!

Niviulize hivyo vyama vinavyojiita ni vyama vya upinzani (wakati katika hali halisi, hivyo vyama tunapaswa kuviita ni CCM -B) je nyinyi hamuoni hoja za msingi zikizotolewa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ya kuitaka serikali hii ya CCM, kutafakari kwa makini jinsi wanavyotutawala, kwa kuwa hivi sasa, maisha ni magumu mno kwa mwananchi wa kawaida, kutokana na kupandisha kila wakati gharama za maisha, mathalani kupanda kwa bei ya sukari na kupanda kwa nauli za mabasi na kukatika kwa umeme bila mpangilio?

Najua kuwa chama tawala kina mbinu nyingi, zikiwemo za kugawa (maokoto) kwa baadhi ya vyama vya upinzani, ili ionekane, hizo hoja zilizotolewa na Chadema, zionekane kuwa siyo za watanzania walio wengi.

Hata hivyo baada ya maandamano hayo ya amani ya Chadema, kufanikiwa sana hapo jana, vyama hivyo vinavyojiita vya upinzani, vijaandalie makaburi yao, kwa kuwa wananchi tumebaini kuwa, wao si watetezi wetu, badala yake, vimeungana na CCM, katika kuyaangamiza maisha ya umma wa watanzania wanyonge!

Mungu ibariki Tanzania
Vipi hivyo? vyama VIKOBA vile🤣🤣🤣🤣
 
..angalau Act wamemsimamisha Mwenyekiti wao wa mkoa wa Dodoma ambaye aliaandaa press conference na kupinga maandamano ya Cdm.
Zzk ni mnafiki sana yaani hapendi kuiona CDM inafanya jambo likafanikiwa
 
Sijui vinateseka vikiwa wapi muda huu na yule kiongozi wa dini marasuser

Sent using Jamii Forums mobile app
miaka ya 2000 nikiwa form five kuna bro wangu alikuwa UDSM nilitamani kuwa kama yeye na muda mwingi tukikaa pamoja na kubadilishana mawazo aliniambia " ikifika 2020 watu wasiojua kusoma na kuandika watakuwa kama vichaa" niambieni pale kwenye lile kundi nani hata alisha maliza form 6?
 
..angalau Act wamemsimamisha Mwenyekiti wao wa mkoa wa Dodoma ambaye aliaandaa press conference na kupinga maandamano ya Cdm.

Na wamesema kesho watakaa kikao kumsikiliza ilikuwaje akawa na ajenda binafsi. Nadhani kwakuwa maandamano ya cdm yamefanyika kwa mafanikio, huenda wakamchukulia hatua Kali ili kujisafisha.
 
Hiv maandamano yalifanikiwa au yalifanyika??
Tuliza akili mkuu, kufanyika ni tukio ( event) kufanyikiwa ( success) na kukamilisha lengo. Chadema walifanikiwa sababu wakifikisha ujumbe UN. Bahati mbaya haujui UN inafanyaje kazi. Ina jumuia zaidi ya 12 chini yake zonazofanya evaluation kwa kila nchi mwanachama wa UN. Taarifa zake zinatumika na development partner ktk vigezo vya usaidizi na ukopaji wa mifuko na taasisi za kifedha duniani. Kilichofanyika ni kikubwa kuliko unavyobagaza. Angalia tuvuti za CNN, BBC na ALJAZIRA nilivyopost taarifa ya maandamano ya Chadema ndo utajua how it impacted Tanzania political image across the globe. Mengi tafuta kwa ufupi darasa ilo nimekumegea kiduchu.
 
Tuliza akili mkuu, kufanyika ni tukio ( event) kufanyikiwa ( success) na kukamilisha lengo. Chadema walifanikiwa sababu wakifikisha ujumbe UN. Bahati mbaya haujui UN inafanyaje kazi. Ina jumuia zaidi ya 12 chini yake zonazofanya evaluation kwa kila nchi mwanachama wa UN. Taarifa zake zinatumika na development partner ktk vigezo vya usaidizi na ukopaji wa mifuko na taasisi za kifedha duniani. Kilichofanyika ni kikubwa kuliko unavyobagaza. Angalia tuvuti za CNN, BBC na ALJAZIRA nilivyopost taarifa ya maandamano ya Chadema ndo utajua how it impacted Tanzania political image across the globe. Mengi tafuta kwa ufupi darasa ilo nimekumegea kiduchu.
Sawa mkuu..nimekupata na sikuuliza kwa ubaya maana siasa now days zilishanichosha
 
Back
Top Bottom