Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks mkuu.Ni kweli. Hata mimi nimeviona majira ya daa moja jioni. Nilivipiga picha. Ngoja niviweke hapoView attachment 3134484
Hizo ukiziona kwa mara ya kwanza lazima ushituke. Ila ni satellite train za starlink kama alivosema Abou ShaymaaKwa hiyo mchungaji anataka kujizolea points 3 kutoka kwangu kwa kuniambia ni dalili za siku za mwisho🥱
Huko ni nje ya dunia kwenye orbit ni anga la wote.Hivi iko kitendo cha Kupitisha mifumo yake kwenye anga la watu ni sawa kweli...
Huyo Elon anabaraka zote za kufanya hivyo nchini kwetu? naona sio vizuri kwa usalama na harakati zetu kama nchi.
Mi nadhani afuate sheria za nchi, hakukubaliwa kutoa huduma yake nchini si kwa bahati mbaya... Inakua haina maana hana huduma anayotoa lakini vifaa vyake vinaendelea ku-operate.
Habari ya kutwa nzima wana jamvi.
Jioni ya Leo Majira ya saa maja jioni nimeshangaa sana baada ya kuangalia angani upande wa mashariki na kuona vitu mithili ya nyota vikipita, ukivichunguza kwa makini vitu vile utagundua kuwa vimeungana na kutengeneza kitu kama mnyororo unaojongea.
Ili kujiridhisha kuwa nilichokiona ni kweli ama Niko ndatoni nilimpigia jamaa yangu mmoja anayepatikana mkoa mwingine na nikamwuliza kama aliona naye alikiri kuwa ameona na kwamba ameshangazwa sana na kile alichokiona.
Katika harakati za kutaka kujua kiundani nilichokiona niliamua kuwauliza watu tofati tofauti, wakubwa kwa wadogo, wake kwa waume, Watu wa Mungu na wasio wa mungu lakini sikupata majibu yaliyoniridhisha.
Kilichonituma niwaulize wana JF ni majibu niliyopewa na mchungungaji wa kanisa moja lililoko karibu na ninakoishi, yeye alidai kuwa "SIKU ZA MWISHO ZIMEKARIBIA"🤣🤣🤣.
Hivyo basi kama kuna mtu aliyeona kike kilichotokea jioni ya Leo basi atueleze ni nini maana majibu ya mchungungaji sikuyasadiki na sipendi kuyasadiki.
Karibuni.
Usilolijua ni kama usiku wa giza mkuuHizo ukiziona kwa mara ya kwanza lazima ushituke. Ila ni satellite train za starlink kama alivosema Abou Shaymaa
Anha, nikajua kitendo kilichofanyika ni kisa sawasawa na kontena la wahabeshi kukatiza TZ kwenda South Africa.Huko ni nje ya dunia kwenye orbit ni anga la wote.
Tufafanulie UFO au type kirfu chakeUFO hizo , kaa mbali na hao viumbe watakupoteza
Hao ndio men in black
Aliens hao , kuna jamaa aliwahi toa kisa kimoja humu pale pwani karibia na kambi ya jeshi kwamba huwa flying saucers zinaonekana mlimani jioni .
Hizo ni UFO ,sasa siamini kama jwtz wanaweza kuwa na research programs za vitu complex kama hivi
Probably ni entrance portal ya hao aliens to the underworld ,Maana wanaishi chini ya ardhi
Unidentified flying objectTufafanulie UFO au type kirfu chake
Niliwahi kushuhudia kitu kama hicho kwenye usafirishaji wa madawa ya kulevya na utoroshaji wa madini ..drone inafungiwa vifurushi kwenye kamba na kupaa navyo oupeleka sehemu stahiki. Sasa hivi wauza ngada wame improve sana.Habari ya kutwa nzima wana jamvi.
Jioni ya Leo Majira ya saa maja jioni nimeshangaa sana baada ya kuangalia angani upande wa mashariki na kuona vitu mithili ya nyota vikipita, ukivichunguza kwa makini vitu vile utagundua kuwa vimeungana na kutengeneza kitu kama mnyororo unaojongea.
Ili kujiridhisha kuwa nilichokiona ni kweli ama Niko ndatoni nilimpigia jamaa yangu mmoja anayepatikana mkoa mwingine na nikamwuliza kama aliona naye alikiri kuwa ameona na kwamba ameshangazwa sana na kile alichokiona.
Katika harakati za kutaka kujua kiundani nilichokiona niliamua kuwauliza watu tofati tofauti, wakubwa kwa wadogo, wake kwa waume, Watu wa Mungu na wasio wa mungu lakini sikupata majibu yaliyoniridhisha.
Kilichonituma niwaulize wana JF ni majibu niliyopewa na mchungungaji wa kanisa moja lililoko karibu na ninakoishi, yeye alidai kuwa "SIKU ZA MWISHO ZIMEKARIBIA"🤣🤣🤣.
Hivyo basi kama kuna mtu aliyeona kike kilichotokea jioni ya Leo basi atueleze ni nini maana majibu ya mchungungaji sikuyasadiki na sipendi kuyasadiki.
Karibuni.
Hatary mno.Unidentified flying object
Ila kile kifaa kilikuwa mbali na kikubwa hivyo hawezi kubeba ngada coz ni illegalNiliwahi kushuhudia kitu kama hicho kwenye usafirishaji wa madawa ya kulevya na utoroshaji wa madini ..drone inafungiwa vifurushi kwenye kamba na kupaa navyo oupeleka sehemu stahiki. Sasa hivi wauza ngada wame improve sana.
Anyway kwa scale hiyo ninaona zinaonekana kama ziko jirani...Huko ni nje ya dunia kwenye orbit ni anga la wote.
Satellite yoyote huruka kwenye orbit. Na hakuna nchi inayomiliki orbit. China satellite zake (kama za nchi zingine kibao zote zenye satellite) zinazunguka dunia na kupita usawa wa Marekani ama nchi nyingine yoyote kila leo wala hakuna tatizo.Anyway kwa scale hiyo ninaona zinaonekana kama ziko jirani...
Na kama zingekatiza kwenye anga la nchi kama China Urusi au Iran ama kinyume chake satellite za mchina zionekane USA kwa ukaribu huo lazima wangereact/wangeshutumiana.
Kwa hiyo Sisi watanzania ni domozege siyo.Anyway kwa scale hiyo ninaona zinaonekana kama ziko jirani...
Na kama zingekatiza kwenye anga la nchi kama China Urusi au Iran ama kinyume chake satellite za mchina zionekane USA kwa ukaribu huo lazima wangereact/wangeshutumiana.
Hahahaha!Anyway kwa scale hiyo ninaona zinaonekana kama ziko jirani...
Na kama zingekatiza kwenye anga la nchi kama China Urusi au Iran ama kinyume chake satellite za mchina zionekane USA kwa ukaribu huo lazima wangereact/wangeshutumiana.
Duh, ama kweli kitu kikiwa katika anga za juu kinaweza kuonekana popote ilimradi Kiwe kinang'aa. imagine kuna mtu alikiona akiwa Tanga halafu muda ni huohuo.Mimi pia nimeziona majira ya saa moja jioni musoma mjini
Sawa sawa mkuu.Satellite yoyote huruka kwenye orbit. Na hakuna nchi inayomiliki orbit. China satellite zake (kama za nchi zingine kibao zote zenye satellite) zinazunguka dunia na kupita usawa wa Marekani ama nchi nyingine yoyote kila leo wala hakuna tatizo.