Hivi vinavyopita hewani ni nini?

Hivi vinavyopita hewani ni nini?

20241024_190447.jpg
 
Hivi iko kitendo cha Kupitisha mifumo yake kwenye anga la watu ni sawa kweli...

Huyo Elon anabaraka zote za kufanya hivyo nchini kwetu? naona sio vizuri kwa usalama na harakati zetu kama nchi.

Mi nadhani afuate sheria za nchi, hakukubaliwa kutoa huduma yake nchini si kwa bahati mbaya... Inakua haina maana hana huduma anayotoa lakini vifaa vyake vinaendelea ku-operate.
Huko ni nje ya dunia kwenye orbit ni anga la wote.
 
Habari ya kutwa nzima wana jamvi.

Jioni ya Leo Majira ya saa maja jioni nimeshangaa sana baada ya kuangalia angani upande wa mashariki na kuona vitu mithili ya nyota vikipita, ukivichunguza kwa makini vitu vile utagundua kuwa vimeungana na kutengeneza kitu kama mnyororo unaojongea.

Ili kujiridhisha kuwa nilichokiona ni kweli ama Niko ndatoni nilimpigia jamaa yangu mmoja anayepatikana mkoa mwingine na nikamwuliza kama aliona naye alikiri kuwa ameona na kwamba ameshangazwa sana na kile alichokiona.

Katika harakati za kutaka kujua kiundani nilichokiona niliamua kuwauliza watu tofati tofauti, wakubwa kwa wadogo, wake kwa waume, Watu wa Mungu na wasio wa mungu lakini sikupata majibu yaliyoniridhisha.

Kilichonituma niwaulize wana JF ni majibu niliyopewa na mchungungaji wa kanisa moja lililoko karibu na ninakoishi, yeye alidai kuwa "SIKU ZA MWISHO ZIMEKARIBIA"🤣🤣🤣.

Hivyo basi kama kuna mtu aliyeona kike kilichotokea jioni ya Leo basi atueleze ni nini maana majibu ya mchungungaji sikuyasadiki na sipendi kuyasadiki.

Karibuni.
 
UFO hizo , kaa mbali na hao viumbe watakupoteza
Hao ndio men in black
Aliens hao , kuna jamaa aliwahi toa kisa kimoja humu pale pwani karibia na kambi ya jeshi kwamba huwa flying saucers zinaonekana mlimani jioni .
Hizo ni UFO ,sasa siamini kama jwtz wanaweza kuwa na research programs za vitu complex kama hivi
Probably ni entrance portal ya hao aliens to the underworld ,Maana wanaishi chini ya ardhi
Tufafanulie UFO au type kirfu chake
 
Habari ya kutwa nzima wana jamvi.

Jioni ya Leo Majira ya saa maja jioni nimeshangaa sana baada ya kuangalia angani upande wa mashariki na kuona vitu mithili ya nyota vikipita, ukivichunguza kwa makini vitu vile utagundua kuwa vimeungana na kutengeneza kitu kama mnyororo unaojongea.

Ili kujiridhisha kuwa nilichokiona ni kweli ama Niko ndatoni nilimpigia jamaa yangu mmoja anayepatikana mkoa mwingine na nikamwuliza kama aliona naye alikiri kuwa ameona na kwamba ameshangazwa sana na kile alichokiona.

Katika harakati za kutaka kujua kiundani nilichokiona niliamua kuwauliza watu tofati tofauti, wakubwa kwa wadogo, wake kwa waume, Watu wa Mungu na wasio wa mungu lakini sikupata majibu yaliyoniridhisha.

Kilichonituma niwaulize wana JF ni majibu niliyopewa na mchungungaji wa kanisa moja lililoko karibu na ninakoishi, yeye alidai kuwa "SIKU ZA MWISHO ZIMEKARIBIA"🤣🤣🤣.

Hivyo basi kama kuna mtu aliyeona kike kilichotokea jioni ya Leo basi atueleze ni nini maana majibu ya mchungungaji sikuyasadiki na sipendi kuyasadiki.

Karibuni.
Niliwahi kushuhudia kitu kama hicho kwenye usafirishaji wa madawa ya kulevya na utoroshaji wa madini ..drone inafungiwa vifurushi kwenye kamba na kupaa navyo oupeleka sehemu stahiki. Sasa hivi wauza ngada wame improve sana.
 
Niliwahi kushuhudia kitu kama hicho kwenye usafirishaji wa madawa ya kulevya na utoroshaji wa madini ..drone inafungiwa vifurushi kwenye kamba na kupaa navyo oupeleka sehemu stahiki. Sasa hivi wauza ngada wame improve sana.
Ila kile kifaa kilikuwa mbali na kikubwa hivyo hawezi kubeba ngada coz ni illegal
 
Huko ni nje ya dunia kwenye orbit ni anga la wote.
Anyway kwa scale hiyo ninaona zinaonekana kama ziko jirani...

Na kama zingekatiza kwenye anga la nchi kama China Urusi au Iran ama kinyume chake satellite za mchina zionekane USA kwa ukaribu huo lazima wangereact/wangeshutumiana.
 
Anyway kwa scale hiyo ninaona zinaonekana kama ziko jirani...

Na kama zingekatiza kwenye anga la nchi kama China Urusi au Iran ama kinyume chake satellite za mchina zionekane USA kwa ukaribu huo lazima wangereact/wangeshutumiana.
Satellite yoyote huruka kwenye orbit. Na hakuna nchi inayomiliki orbit. China satellite zake (kama za nchi zingine kibao zote zenye satellite) zinazunguka dunia na kupita usawa wa Marekani ama nchi nyingine yoyote kila leo wala hakuna tatizo.
 
Anyway kwa scale hiyo ninaona zinaonekana kama ziko jirani...

Na kama zingekatiza kwenye anga la nchi kama China Urusi au Iran ama kinyume chake satellite za mchina zionekane USA kwa ukaribu huo lazima wangereact/wangeshutumiana.
Kwa hiyo Sisi watanzania ni domozege siyo.
 
Anyway kwa scale hiyo ninaona zinaonekana kama ziko jirani...

Na kama zingekatiza kwenye anga la nchi kama China Urusi au Iran ama kinyume chake satellite za mchina zionekane USA kwa ukaribu huo lazima wangereact/wangeshutumiana.
Hahahaha!
 
Satellite yoyote huruka kwenye orbit. Na hakuna nchi inayomiliki orbit. China satellite zake (kama za nchi zingine kibao zote zenye satellite) zinazunguka dunia na kupita usawa wa Marekani ama nchi nyingine yoyote kila leo wala hakuna tatizo.
Sawa sawa mkuu.

Kama ni hivi basi tuko uchi zaidi ya hata nilivyokua nafikilia... Anyway hata hivyo hatuna maajabu.
 
Back
Top Bottom