Hivi vitabu kuvisoma kawaida ni sawa ila sio kwa kumjengea mtu imani ya Yesu Kristo

Hivi vitabu kuvisoma kawaida ni sawa ila sio kwa kumjengea mtu imani ya Yesu Kristo

eden kimario

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
10,356
Reaction score
16,379
vitabu vifuatavyo, wengine wanaita kanuni ya pili, wengine wanaviita apokrifa, nivitabu ambavyo unaweza kuvisoma tu kama kujifunza kitu fulani ambacho kinaweza kuwa kweli au sio kweli.
kwa nini, kwa sababu huwezi kujifunza huko imani ya Yesu Kristo ambayo inatokana na uvuvio wa Roho Mtakatifu.
Vitabu hivyo ni utunzi wa binadamu ambao hawakuwa na Roho Mtakatifu wakati wanavitunga.
Tobiti
Yudithi
hekima ya solomoni
Sira
Baruku
Makabayo
kiufupi vitabu hivi ni hadithi tu zilizotungwa na watu kutufundisha historia zilizopita ambazo watu walipigana vita vya kidini na kisiasa, kinyume kabisa na imani ya Yesu Kristo ambayo inatufundisha kuhubiri injili ya Upendo, Amani, na furaha kwa watu.

kitabu kingine kinachoonekana hakiwezi kumjenga mtu katika imani ya Yesu Kristo ni kitabu kilipewa jina la henoko babu wa 7 kiimani.
hiki kitabu kwa mara ya kwanza kilipatikana huko Ethiopia, kikiwa kinasemekana ni kitabu cha henoko, lakini hakuna uthibitisho mpaka leo.
kitabu hiki kilipelekwa kutafsiriwa huko England na matoleo kadhaa yalitoka kwa sababu kilikuwa katika lugha ya kiethiopia.
Kitabu hiki kina uongo mwingi sana.
mojawapo ni kusema Malaika walishuka kutoka mbinguni kuja kuzaliana na binadamu.
Uongo mwingine ni baada ya kuzaliana eti walikuwa na urefu sawa sawa na gorofa mia nne, huu ni uwongo mkubwa kwa sababu hakuna mwanamke anazaa watu dizaini hii. japokuwa ni kweli walikuwa majitu lakini sio kwa urefu huo.
Kwa hiyo vitabu vingine vipo tuvisome tu lakini ukiwa na Akili ya Roho Mtakatifu unagundua ni utunzi wa binadamu usio na ukweli ndani yake.
nawasilisha na Mungu awabariki mtakaoelewa na msiotaka kuelewa.
 

Attachments

  • Screenshot_20241224-203634.png
    Screenshot_20241224-203634.png
    90.4 KB · Views: 7
  • Screenshot_20241224-202621.png
    Screenshot_20241224-202621.png
    90.5 KB · Views: 5
  • Screenshot_20241224-202544.png
    Screenshot_20241224-202544.png
    64.4 KB · Views: 7
  • Screenshot_20241224-204142.png
    Screenshot_20241224-204142.png
    94.8 KB · Views: 6
  • Screenshot_20241224-204325.png
    Screenshot_20241224-204325.png
    83.1 KB · Views: 8
  • Screenshot_20241224-201743.png
    Screenshot_20241224-201743.png
    86.6 KB · Views: 7
Biblia nzima kwanzia kitabu cha mwanzo mpaka ufunuo ni utunzi wa kibinadamu, Hekaya na Hadithi za kutungwa na kusadikika tu.

Yesu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.

Hakuna Mungu, Yesu wala roho mtakatifu.

Wote hawa wametungwa vichwani mwa watu tu.

Imaginations just an illusion.
 
Biblia nzima kwanzia kitabu cha mwanzo mpaka ufunuo ni utunzi wa kibinadamu, Hekaya na Hadithi za kutungwa na kusadikika tu.

Yesu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.

Hakuna Mungu, Yesu wala roho mtakatifu.

Wote hawa wametungwa vichwani mwa watu tu.

Imaginations just an illusion.
muktasari wa vitabu hivi,hauonyeshi kama watu walioviandika waliona maono au njozi kutakiwa kuviandika.
njia ambayo ni ya kipekee inayojulisha wasomaji kuwa mtu huyu alikuwa mcha Mungu au laah
 
swala kwamba hakuna Mungu utajijibu mwenyewe, kwamba chanzo cha binadamu ni nini.
usijaribu kuwa mjinga na mpumbavu kwa vitu ambavyo vinaeleweka
 
swala kwamba hakuna Mungu utajijibu mwenyewe, kwamba chanzo cha binadamu ni nini.
Na chanzo cha huyo Mungu ni nini?
usijaribu kuwa mjinga na mpumbavu kwa vitu ambavyo vinaeleweka
Wewe ndio mjinga na mpumbavu, Unayefosi na kuamini kwamba binadamu ana chanzo halafu ukiulizwa chanzo cha huyo Mungu ni nini? Hujui.

Unafosi imani na mawazo yenu uchwara ya kidini mliyo pumbazwa, kuaminishwa na kukaririshwa na dini zenu.
 
Na chanzo cha huyo Mungu ni nini?

Wewe ndio mjinga na mpumbavu, Unayefosi na kuamini kwamba binadamu ana chanzo halafu ukiulizwa chanzo cha huyo Mungu ni nini? Hujui.

Unafosi imani na mawazo yenu uchwara ya kidini mliyo pumbazwa, kuaminishwa na kukaririshwa na dini zenu.
nimekuuliza swali hujajibu, mimi sikijui chanzo cha binadamu ndio maana nimekuuliza wewe unijibu
na mimi nitakujibu hayo mengine
 
nimekuuliza swali hujajibu, mimi sikijui chanzo cha binadamu ndio maana nimekuuliza wewe unijibu
na mimi nitakujibu hayo mengine
Kama hujui chanzo cha binadamu, kwa nini unadhani binadamu lazima awe na chanzo?
 
Unaweza kuthibitisha vipi kwamba hivyo vitabu vya biblia ya kawaida ndiyo sahihi na hivyo vingine si sahihi?
 
vitabu vifuatavyo, wengine wanaita kanuni ya pili, wengine wanaviita apokrifa, nivitabu ambavyo unaweza kuvisoma tu kama kujifunza kitu fulani ambacho kinaweza kuwa kweli au sio kweli.
kwa nini, kwa sababu huwezi kujifunza huko imani ya Yesu Kristo ambayo inatokana na uvuvio wa Roho Mtakatifu.
Vitabu hivyo ni utunzi wa binadamu ambao hawakuwa na Roho Mtakatifu wakati wanavitunga.
Tobiti
Yudithi
hekima ya solomoni
Sira
Baruku
Makabayo
kiufupi vitabu hivi ni hadithi tu zilizotungwa na watu kutufundisha historia zilizopita ambazo watu walipigana vita vya kidini na kisiasa, kinyume kabisa na imani ya Yesu Kristo ambayo inatufundisha kuhubiri injili ya Upendo, Amani, na furaha kwa watu.

kitabu kingine kinachoonekana hakiwezi kumjenga mtu katika imani ya Yesu Kristo ni kitabu kilipewa jina la henoko babu wa 7 kiimani.
hiki kitabu kwa mara ya kwanza kilipatikana huko Ethiopia, kikiwa kinasemekana ni kitabu cha henoko, lakini hakuna uthibitisho mpaka leo.
kitabu hiki kilipelekwa kutafsiriwa huko England na matoleo kadhaa yalitoka kwa sababu kilikuwa katika lugha ya kiethiopia.
Kitabu hiki kina uongo mwingi sana.
mojawapo ni kusema Malaika walishuka kutoka mbinguni kuja kuzaliana na binadamu.
Uongo mwingine ni baada ya kuzaliana eti walikuwa na urefu sawa sawa na gorofa mia nne, huu ni uwongo mkubwa kwa sababu hakuna mwanamke anazaa watu dizaini hii. japokuwa ni kweli walikuwa majitu lakini sio kwa urefu huo.
Kwa hiyo vitabu vingine vipo tuvisome tu lakini ukiwa na Akili ya Roho Mtakatifu unagundua ni utunzi wa binadamu usio na ukweli ndani yake.
nawasilisha na Mungu awabariki mtakaoelewa na msiotaka kuelewa.
Inawezekana... Maana hata Biblia ni story tu watu walijitungia kwa maslahi yao binafsi
 
vitabu vifuatavyo, wengine wanaita kanuni ya pili, wengine wanaviita apokrifa, nivitabu ambavyo unaweza kuvisoma tu kama kujifunza kitu fulani ambacho kinaweza kuwa kweli au sio kweli.
kwa nini, kwa sababu huwezi kujifunza huko imani ya Yesu Kristo ambayo inatokana na uvuvio wa Roho Mtakatifu.
Vitabu hivyo ni utunzi wa binadamu ambao hawakuwa na Roho Mtakatifu wakati wanavitunga.
Tobiti
Yudithi
hekima ya solomoni
Sira
Baruku
Makabayo
kiufupi vitabu hivi ni hadithi tu zilizotungwa na watu kutufundisha historia zilizopita ambazo watu walipigana vita vya kidini na kisiasa, kinyume kabisa na imani ya Yesu Kristo ambayo inatufundisha kuhubiri injili ya Upendo, Amani, na furaha kwa watu.

kitabu kingine kinachoonekana hakiwezi kumjenga mtu katika imani ya Yesu Kristo ni kitabu kilipewa jina la henoko babu wa 7 kiimani.
hiki kitabu kwa mara ya kwanza kilipatikana huko Ethiopia, kikiwa kinasemekana ni kitabu cha henoko, lakini hakuna uthibitisho mpaka leo.
kitabu hiki kilipelekwa kutafsiriwa huko England na matoleo kadhaa yalitoka kwa sababu kilikuwa katika lugha ya kiethiopia.
Kitabu hiki kina uongo mwingi sana.
mojawapo ni kusema Malaika walishuka kutoka mbinguni kuja kuzaliana na binadamu.
Uongo mwingine ni baada ya kuzaliana eti walikuwa na urefu sawa sawa na gorofa mia nne, huu ni uwongo mkubwa kwa sababu hakuna mwanamke anazaa watu dizaini hii. japokuwa ni kweli walikuwa majitu lakini sio kwa urefu huo.
Kwa hiyo vitabu vingine vipo tuvisome tu lakini ukiwa na Akili ya Roho Mtakatifu unagundua ni utunzi wa binadamu usio na ukweli ndani yake.
nawasilisha na Mungu awabariki mtakaoelewa na msiotaka kuelewa.
Luka 1:1
Kwa kuwa watu wengi wametia mikono kutunga kwa taratibu habari za mambo yale yaliyotimizwa katikati yetu,
Luka 1:2
kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi wenye kuyaona, na watumishi wa lile neno tokea mwanzo,
Luka 1:3
nimeona vema mimi nami, kwa kuwa nimejitafutia usahihi wa mambo hayo yote tangu mwanzo, kukuandikia kwa taratibu, Theofilo mtukufu,


Kuna roho mtakatifu hapo?
 
vitabu vifuatavyo, wengine wanaita kanuni ya pili, wengine wanaviita apokrifa, nivitabu ambavyo unaweza kuvisoma tu kama kujifunza kitu fulani ambacho kinaweza kuwa kweli au sio kweli.
kwa nini, kwa sababu huwezi kujifunza huko imani ya Yesu Kristo ambayo inatokana na uvuvio wa Roho Mtakatifu.
Vitabu hivyo ni utunzi wa binadamu ambao hawakuwa na Roho Mtakatifu wakati wanavitunga.
Tobiti
Yudithi
hekima ya solomoni
Sira
Baruku
Makabayo
kiufupi vitabu hivi ni hadithi tu zilizotungwa na watu kutufundisha historia zilizopita ambazo watu walipigana vita vya kidini na kisiasa, kinyume kabisa na imani ya Yesu Kristo ambayo inatufundisha kuhubiri injili ya Upendo, Amani, na furaha kwa watu.

kitabu kingine kinachoonekana hakiwezi kumjenga mtu katika imani ya Yesu Kristo ni kitabu kilipewa jina la henoko babu wa 7 kiimani.
hiki kitabu kwa mara ya kwanza kilipatikana huko Ethiopia, kikiwa kinasemekana ni kitabu cha henoko, lakini hakuna uthibitisho mpaka leo.
kitabu hiki kilipelekwa kutafsiriwa huko England na matoleo kadhaa yalitoka kwa sababu kilikuwa katika lugha ya kiethiopia.
Kitabu hiki kina uongo mwingi sana.
mojawapo ni kusema Malaika walishuka kutoka mbinguni kuja kuzaliana na binadamu.
Uongo mwingine ni baada ya kuzaliana eti walikuwa na urefu sawa sawa na gorofa mia nne, huu ni uwongo mkubwa kwa sababu hakuna mwanamke anazaa watu dizaini hii. japokuwa ni kweli walikuwa majitu lakini sio kwa urefu huo.
Kwa hiyo vitabu vingine vipo tuvisome tu lakini ukiwa na Akili ya Roho Mtakatifu unagundua ni utunzi wa binadamu usio na ukweli ndani yake.
nawasilisha na Mungu awabariki mtakaoelewa na msiotaka kuelewa.
Mi naona hata wewe umehukumu kwa akili za mababu,halafu unamsingizia roho MTAKATIFU,haiwezekani vitabu vyote sita walivyokataa Babu zako na wewe usigundue kitu hata kiduchu tuu,eti umeongozwa na roho ,kuwa mkweli umepokea maarifa hujaruhusu akili Yako itende kwa uhuru wa Mungu
 
Unaweza kuthibitisha vipi kwamba hivyo vitabu vya biblia ya kawaida ndiyo sahihi na hivyo vingine si sahihi?
kuna njia tatu za kuthibitisha usahihi wa kitabu alichoandika mtu kuhusu habari za Imani.
njia hizo ni maono, ndoto, na mafunuo.
sasa mktasari wa hivyo vitabu hauna hicho kitu.
 
kuna njia tatu za kuthibitisha usahihi wa kitabu alichoandika mtu kuhusu habari za Imani.
njia hizo ni maono, ndoto, na mafunuo.
sasa mktasari wa hivyo vitabu hauna hicho kitu.
Kwa sababu umezungumzia habari ya IMANI, Mimi najitoa kwenye huu mjadala.
 
Luka 1:1
Kwa kuwa watu wengi wametia mikono kutunga kwa taratibu habari za mambo yale yaliyotimizwa katikati yetu,
Luka 1:2
kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi wenye kuyaona, na watumishi wa lile neno tokea mwanzo,
Luka 1:3
nimeona vema mimi nami, kwa kuwa nimejitafutia usahihi wa mambo hayo yote tangu mwanzo, kukuandikia kwa taratibu, Theofilo mtukufu,


Kuna roho mtakatifu hapo?
luka ana kitu hapo kwenye luka1:2 hasimulii stori zake bali kile alichosikia kutoka kwa waliokuepo na kugundua ni kweli kabisa mambo hayo yalitokea. huyu luka alicopy na kupaste vitu vya ukweli ili kumfundisha theofilo. huyu hakutunga mwenyewe
 
Back
Top Bottom