Ahmed Saidi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,588
- 3,487
Nilikuwa namfundisha mtoto wa sister mara nikafika kwenye jedwali hilo hapo chini, Sasa kila nikitafuta majibu naona chenga,dah sijui ni mimi kilaza au kitabu ndio kina shida?
Kama kitabu ndio kina shida kwanini hivi vitabu vipo mashuleni?
Kama kitabu ndio kina shida kwanini hivi vitabu vipo mashuleni?