Ahmed Saidi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,588
- 3,487
- Thread starter
- #21
Kabisa yaani Sasa hivi watu wanaangalia pesa Kwanza, ubora haupo kabisaKama nilivyoandika hapo juu, mtaani kumejaa watu wengi wasio na ajira, kinachofanyika ni kuchangamkia fursa mkono uende kinywani.... mwisho wa siku ndio hayo matango pori yanatengenezwa.