Ahmed Saidi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,588
- 3,487
Kabla sija jibu. Nikuulize kwani wewe una taaluma ya ualimu?Nilikuwa namfundisha mtoto wa sister mara nikafika kwenye jedwali hilo hapo chini, Sasa kila nikitafuta majibu naona chenga,dah sijui ni mimi kilaza au kitabu ndio kina shida?
Kama kitabu ndio kina shida kwanini hivi vitabu vipo mashuleni?
View attachment 1818330
Wewe ni mwalimu?Kabla sija jibu. Nikuulize kwani wewe una taaluma ya ualimu?
ndiyoWewe ni mwalimu?
Ndio ni mwalimuKabla sija jibu. Nikuulize kwani wewe una taaluma ya ualimu?
Cha darasa la sita, publisher wake ni maarufu tu ila nadhani so vyema kuwatajaMmh hicho kitabu ni level gani...
Pia sio kila kitabu kinafaa, watu hawana ajira wanachofanya ni kutafuta tu hela.
Hamna kitabu hapoCha darasa la sita, publisher wake ni maarufu tu ila nadhani so vyema kuwataja
Sijui ila ila publisher wa iko kitabu ana-series nyingi za vitabu ambavyo vinatumika level ya primary.Hicho ni kitabu rasmi kilichopitishwa kwenye mitaala au ni kitabu cha ziada watu wanajinunulia tu?
Sasa mkuu unachohofia kumtaja ni nini?Sijui ila ila publisher wa iko kitabu ana-series nyingi za vitabu ambavyo vinatumika level ya primary.
Mwanzo educational publisher- MEP, nadhan si taasisi ya serikali ni ya mtu binafsi ila Kuna vitabu vingi vya MEP kwa shule za English medium kwa primarySasa mkuu unachohofia kumtaja ni nini?
Ni somo gani? Darasa la ngapi?Nilikuwa namfundisha mtoto wa sister mara nikafika kwenye jedwali hilo hapo chini, Sasa kila nikitafuta majibu naona chenga,dah sijui ni mimi kilaza au kitabu ndio kina shida?
Kama kitabu ndio kina shida kwanini hivi vitabu vipo mashuleni?
View attachment 1818330
Darasa la ngapi??
English darasa la sitaDarasa la ngapi??
Kama nilivyoandika hapo juu, mtaani kumejaa watu wengi wasio na ajira, kinachofanyika ni kuchangamkia fursa mkono uende kinywani.... mwisho wa siku ndio hayo matango pori yanatengenezwa.Sijui ila ila publisher wa iko kitabu ana-series nyingi za vitabu ambavyo vinatumika level ya primary.
Wasamehe hao watoto, hawana hatia🤣🤣Ngoja niwape vijana wangu homework, wakirudi wana zero tuu 😀😀