Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio povu wanasema ukweli wao. Mbona Dar uswahili, ujinga na umasikini ni mkubwa. Watu wengi afya mbovu, lishe duni.Jamaa washavamia uziiii na povuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mpigaji anajulikana mzee, na mtishaji kucheza na akili ana julikana.Siku nyingine usijaribu huo mchezo.
Hata kama unajiamini kiasi gani zuia mdomo wako unaposimama mbele ya mtu mwenye silaha ya Moto kama bastola. Hata Kama ni mtoto mdogo
Hata kama anakutania.
Ni hatari Sana. Pia ni ujinga na ushamba kuchimbana mikwala na mtu aliyeyashika maisha yako Kwa hizo dakika
amesahau huko dar ni matukio mangp yametokea hivi karibuni ya watu kupigwa risasi kisa ubishi na kujiona mwamba mbele ya chuma..Siku nyingine usijaribu huo mchezo.
Hata kama unajiamini kiasi gani zuia mdomo wako unaposimama mbele ya mtu mwenye silaha ya Moto kama bastola. Hata Kama ni mtoto mdogo
Hata kama anakutania.
Ni hatari Sana. Pia ni ujinga na ushamba kuchimbana mikwala na mtu aliyeyashika maisha yako Kwa hizo dakika
Poa kamanda.. DSM ni kila kitu Tanzania, ni wewe ku tune frequency zako mahala sahihi, unabutua.mkuu mm sina mguu wa kuku ila kwa tahadhari tu nakuonya usifanye mzaha na mtu akiwa na silaha..utakufa kizembe
turudi kwenye mada...
SitakiiiiiKaribu mjini
Sasa mbona hujanitag 🤣Subiri waje washamba wa Arusha wanavyotoa povu
Nilikuwa huko km mwezi hivi isee sikupaelewa kabisa mzunguko wa pesa ni mdogo sana mikoani..Subiri waje washamba wa Arusha wanavyotoa povu
Mpigaji anajulikana mzee, na mtishaji kucheza na akili ana julikana.
Muongo huyoSiku nyingine usijaribu huo mchezo.
Hata kama unajiamini kiasi gani zuia mdomo wako unaposimama mbele ya mtu mwenye silaha ya Moto kama bastola. Hata Kama ni mtoto mdogo
Hata kama anakutania.
Ni hatari Sana. Pia ni ujinga na ushamba kuchimbana mikwala na mtu aliyeyashika maisha yako Kwa hizo dakika
Geneva ya konyooo 😄😄😄 mandina wa africa sawaaaSasa mbona hujanitag 🤣
Unatuogopa washamba wa Arusha, The Geneva of Africa 🔥
Nitafutie nyumba huko, soon nahamia ChugaSitakiiiii
Arusha bado sana mkuu, machalii wa kule wanakelele nyingi sanaNilikuwa huko km mwezi hivi isee sikupaelewa kabisa mzunguko wa pesa ni mdogo sana mikoani..
Me nilitaka kukutag nikajikuta nimesahau user name yako etiSasa mbona hujanitag 🤣
Unatuogopa washamba wa Arusha, The Geneva of Africa 🔥
Dar imekuwa overrated kinyama
Sijui labda sababu nimezaliwa na kukulia Dar nimepazoea sana lakini sionagi uspesho wake
Hamia jiji lenye raha zakeeNitafutie nyumba huko, soon nahamia Chuga
Muongo huyo
Hela zipo, sio la kuuliza hiloHamia jiji lenye raha zakee
Karaha za kuhesabu
Huku uje na helaa
Hamna kuunga unga sana