Hivi vitu ndio vilinifanya nigome kutoka Jiji la Dar es Salaam

Hivi vitu ndio vilinifanya nigome kutoka Jiji la Dar es Salaam

Nani kakudanganya new York ndo kila kitu asikudanganye mtu same kwa china Shanghai ndo mji wa kibiashara

Tunaongelea opportunity we unaongelea mambo ya mpira hivi unaakili timamu kweli, kwakusaidia timu za London ndo zinaongoza kwa kuwa na gharama kubwa za tiketi za kuingia uwanjani lakin point ni opportunity na sio mpira siku nyingine jikite kwenye mada

Unavyosema concentration vip France kila kitu kipo Paris, same kwa Russia kila kitu kipo Moscow ukienda south Korea vitu vingi vipo Seoul na hizo zote ni developed countries
Acha ujinga, ulaya, Asia majiji asilimia kubwa yanajitegemea, karibu kila jiji lina viwanda, International airports, vyuo vikuu, na huduma nyingine nyingi, kama bandari nk mfano Bandari ya Liverpool, manchester nk, nimetolea mfano tuu wa mpira, kibongo bongo ni Simba na yanga tuu za Dar es salaam, wakati wenzetu kuna liverpool, Man united za nje ya london ambazo ndio kubwa pale,

kingine hilo gap la shanghai na Beijing au Mumbai na Delhi ki population nk sio sawa na Dar na Mbeya, ebooo
 
Acha ujinga, ulaya, Asia majiji asilimia kubwa yanajitegemea, karibu kila jiji lina viwanda, International airports, vyuo vikuu, na huduma nyingine nyingi, kama bandari nk mfano Bandari ya Liverpool, manchester nk, nimetolea mfano tuu wa mpira, kibongo bongo ni Simba na yanga tuu za Dar es salaam, wakati wenzetu kuna liverpool, Man united za nje ya london ambazo ndio kubwa pale,

kingine hilo gap la shanghai na Beijing au Mumbai na Delhi ki population nk sio sawa na Dar na Mbeya, ebooo
Unafananisha London mji wenye population ya almost million 10 na hivyo vimji vya Liverpool na Manchester serious
 
Watu wa arusha ule uvaaji wenu sasa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Sio kweli mkuu twende taratibu tu,

vijana wanaofanya vizuri katika entrainment umaarufu wao wameupatia wapi?

Ni Mkoa Gani una unafuu wa bidhaa kama Dar es salaam?

Ni Mkoa Gani una ajira nyingi ambazo ni rasmi na hata zile zisizo rasmi kama Dar es salaam?

Mkoa Gani una Taasisi nyingi za elimu za kujiendeleza katika field yoyote zaidi ya Dar es salaam?

Mkoa Gani unamzunguko mkubwa wa pesa kushinda Dar es salaam.?

Mkuu hauitaji hata elimu ya darasa la saba kuziona hizi facts.
Wasanii wengi sana wa mikoani walikuja kupata umaarufu tanzania nzima baada ya kuja dar.....kupigiwa ngoma zao redioni
 
Ukiondoa maisha ya unga mwana niliyonayo kitu kingine kinachonipa msongo wa mawazo ni kutokuishi Dar es salaam. Nilikuwa nikisikia na kushuhudia watu wameacha kazi kisa tu wamepangiwa vituo vya kazi vya mikoani nilikuwa nawaona kama ni mental case kumbe mimi ndiye nilikuwa sijui what it means to live in city of Dar es salaam. Now I Know licha ya udogo wa geographical area ya Dar es salaam still ndio Mkoa wenye population kubwa compared to other places in Tanzania.

Once my father told me alikuwa akiishi Ubungo Maziwa miaka 1980, ni miongoni mwa stori zinazoniumiza sana mimi na kunifanya nijiulize maswali mengi na kuhitimisha kuwa at some point kila mtu kwenye maisha yake anafanya mistake kama sio mistakes. It's doesn't make any sense miaka ya 80 unahama Dar es salaam unaenda kuishi Namtumbo ambako mpaka leo kuna mapori je miaka ya 80 it's means jirani zetu walikuwa wanyama pori, baba nakupenda sana ila kwa hili you deserve to be blamed.

Hii ni list ya vitu vilivyonifanya nigome kutoka Dar es salaam.

1. Dar es salaam ndio sehemu pekee inayokupa easy access ya kuchase dreams zako jaribu kufanya utafiti mdogo watu wengi waliofanikiwa kwenye nyanja tofauti nchini Tanzania makazi yao ni wapi(tofautisha kati ya asili na makazi).

2. Ile interaction ya kukutana na watu wa aina tofauti inakufanya uchangamke na uwe extra care maanake unajua ukizubaa umepigwa.

3. Naomba hapa nikazie kama wewe ni Mwanaume mtafutaji basi sehemu sahihi ya kuwepo ni Dar es salaam. Why kusuuza rungu ni moja kati ya basic need ya Mwanaume yoyote bila kujali financial status yake(tajiri & masikini) sasa jijini Kila kata Kuna danguro, bajeti ya kuosha rungu inakuwa chini compared to other places In Tanzania.

4. Zamani nilikuwa naamini jijini chakula ni bei ghali kumbe zilikuwa ni propaganda za watu wa binafsi wasio penda watu wa mikoani tuje Dar. Ni wapi Tanzania hii unapata Ugali na mboga drafts kwa shilling za kitanzania 1000 tu believe me hakuna hata kule panapotoka mazao yenyewe. Wigo mpana wa kuchagua ule nini. kuna mikoa kama sio mlaji wa ugali au wali basi jiandae kulala njaa.

5. Kupendeza ni jambo jepesi kuliko kutopendeza Kila sehemu zinauzwa nguo tena latest kwa cheap price. Mimi katika maisha yangu sikuwahi kuwa na nguo begi mbili lakini Dar es salaam mtu ambaye ni Jobless ana mabegi 5 ya nguo.

Mwisho Asante sana shemeji kunifukuza kwako ila just believe me next year nitakuwa huko kuanza maisha yangu Mimi kama BabaMorgan. Tena usije ukashangaa nimepata apartment Posta afu wewe utabaki huko huko kwenye Panyaroad.
Ndio shida ya kua na jiji moja nchi nzima

Yote haya ni by design,hujatoa msimamo wako kutokana na upenzi wa moyo wako,by design ni effect ya kua na sehemu moja tu yenye hadhi ya jiji kwenye nchi,hivyo best life inapatikana sehemu moja tu hakuna kwingine.

Kwenye nchi wangefanya balancing,pwani jiji moja central jiji moja,north jiji moja,south jiji moja na west jiji moja.Haya majiji yawe na hadhi moja,yenye nguvu moja yasipishane....

Shida iliyopo ni nchi nzima kukimbilia Dar es Salaam,maana hakuna majiji yenye hadhi sawa ku absorb these extra people....

Ni kama China kona zote za nchi kuna majiji yenye hadhi sawa,central Beijing,Pwani kuna Shanghai,south kuna Guanghzou,west kuna Urumqi,etc...Majiji yote yanameza idadi sawa za watu na opportunities ni sawa...

Tukiendelea hivi itafika kipindi Dar itameza nusu ya population ya Tanzania na the rest isambae mikoani put together...Yaani Dar imeze 30mil and another 30mil ibakie mikoani kote kwa pamoja,hiyo ni stupidity na inequality ya ajabu..

Nchi haina jiji jingine ukiacha Dar.....itafika kipindi kila anaetaka kuhamia Dar akate passport maalumu,otherwise urudi ulipotoka maana jiji halitaweza ku handle population kubwa hivyo,infrastructure hazitaweza,jiji litavunjika na ku collapse!
 
Ndio shida ya kua na jiji moja nchi nzima

Yote haya ni by design,hujatoa msimamo wako kutokana na upenzi wa moyo wako,by design ni effect ya kua na sehemu moja tu yenye hadhi ya jiji kwenye nchi,hivyo best life inapatikana sehemu moja tu hakuna kwingine.

Kwenye nchi wangefanya balancing,pwani jiji moja central jiji moja,north jiji moja,south jiji moja na west jiji moja.Haya majiji yawe na hadhi moja,yenye nguvu moja yasipishane....

Shida iliyopo ni nchi nzima kukimbilia Dar es Salaam,maana hakuna majiji yenye hadhi sawa ku absorb these extra people....

Ni kama China kona zote za nchi kuna majiji yenye hadhi sawa,central Beijing,Pwani kuna Shanghai,south kuna Guanghzou,west kuna Urumqi,etc...Majiji yote yanameza idadi sawa za watu na opportunities ni sawa...

Tukiendelea hivi itafika kipindi Dar itameza nusu ya population ya Tanzania na the rest isambae mikoani put together...Yaani Dar imeze 30mil and another 30mil ibakie mikoani kote kwa pamoja,hiyo ni stupidity na inequality ya ajabu..

Nchi haina jiji jingine ukiacha Dar.....itafika kipindi kila anaetaka kuhamia Dar akate passport maalumu,otherwise urudi ulipotoka maana jiji halitaweza ku handle population kubwa hivyo,infrastructure hazitaweza,jiji litavunjika na ku collapse!
Mkuu hapo south tu majiji kiboa Yana hadhi sawa ila bongo nimzunguka IL dar hakuna hata inafika nusu kwa ule ukweli hapo Kenya wanatushinda mombasa ni sehemu ya biashara kwa vile Kuna bandari, Nairobi napo ni mji mkali sana kwa biashara pia ila njoo bongo dar ndo kila kitu bandari kubwa, airport kubwa, kila aina ya huduma ipo
 
Kwani uko ilipo hakua mitumba classic au kwanini wanawake wa mikoani hawajui kuvaa utakuta wana vaa magauni makubwa .
Magunia makubwa ndo nini? Acha kashfa.... mitumba ipo ila sio ya viwango au sio mingi kama Dar.
 
Mkuu hapo south tu majiji kiboa Yana hadhi sawa ila bongo nimzunguka IL dar hakuna hata inafika nusu kwa ule ukweli hapo Kenya wanatushinda mombasa ni sehemu ya biashara kwa vile Kuna bandari, Nairobi napo ni mji mkali sana kwa biashara pia ila njoo bongo dar ndo kila kitu bandari kubwa, airport kubwa, kila aina ya huduma ipo
Kenya wamebalance vizuri.....Coast wana Mombasa ina hadhi nearly Nairobi

Central ndio wana Nairobi kama Nairobi

West wana Kisumu walao inasaidia kupunguza wakazi...

Shida ya Tanzania Dar ni too big yaani jiji linalofatia ni Mwanza ambayo GDP yake Dar imeizunguka mara tatu...what a joke!

Effect yake kila mtu anataka kuja Dar....infrastructure haitatosha kabisa...kuzuia itabidi waweke kipande system,kwamba anaetaka kuhamia Dar akate kipande au passport maalumu..Ukihamia kienyeji hutaweza kupata huduma za kijamii kama shule,etc maana huna kipande.Hii walifanya China miaka ya 80 maana walikua na Jiji moja tu lenye hadhi Shanghai.

Yaani Dar inabeba wakazi nearly 10mil,ni kama 20% ya population yote ya TZ.....na wanaongezeka....jiji la Mwanza linalofatia eti lina 1.2mil,what an imbalance aiseee?

Hili ni bomu halafu wanasiasa hawalioni.....

Yaani ni shida mpaka serikali kuhamia Dodoma bado ni mtihani,effect ni hii...waweke infrastructures watu watahamia...hela ndio hakuna!
 
Kenya wamebalance vizuri.....Coast wana Mombasa ina hadhi nearly Nairobi

Central ndio wana Nairobi kama Nairobi

West wana Kisumu walao inasaidia kupunguza wakazi...

Shida ya Tanzania Dar ni too big yaani jiji linalofatia ni Mwanza ambayo GDP yake Dar imeizunguka mara tatu...what a joke!

Effect yake kila mtu anataka kuja Dar....infrastructure haitatosha kabisa...kuzuia itabidi waweke kipande system,kwamba anaetaka kuhamia Dar akate kipande au passport maalumu..Ukihamia kienyeji hutaweza kupata huduma za kijamii kama shule,etc maana huna kipande.Hii walifanya China miaka ya 80 maana walikua na Jiji moja tu lenye hadhi Shanghai.

Yaani Dar inabeba wakazi nearly 10mil,ni kama 20% ya population yote ya TZ.....na wanaongezeka....jiji la Mwanza linalofatia eti lina 1.2mil,what an imbalance aiseee?

Hili ni bomu halafu wanasiasa hawalioni.....

Yaani ni shida mpaka serikali kuhamia Dodoma bado ni mtihani,effect ni hii...waweke infrastructures watu watahamia...hela ndio hakuna!
Yaani we acha tu!! Dar imekuwa ndo kila kitu mavyuo yote huko soko kuu huko Ina hadhi tofauti na majiji mengine wala hamna uwiano.
 
Mkuu ulichoandika una uhakika nacho? Nina evidence za kutosha kuhusu waliozaliwa na kukulia Dar na kugoma kwenda mikoani
Na mimi nina evidence za kutosha za watu waliokulia na kuzaliwa dar ila hawapataki mpaka likizo wanapita mbio mbio mji vurugu tupu kila kitu shida tu
 
Magunia makubwa ndo nini? Acha kashfa.... mitumba ipo ila sio ya viwango au sio mingi kama Dar.
Wanawake na wanaume wa mikoani wanavaa manguo makubwa, Wanawake wavaa magauni makubwa
 
Ripoti ya repoa inaonesha asilimia 85 ya vijana wa Dar wanaishi kwa kipato cha chini ya laki tatu.
 
Unaelewa maana ya harakati? Wapi nimetaja fly over au bahari...jikite kwenye point mkuu...sehemu rahisi kutoboa ukiwa na connection sahihi ni DSM...na DSM ndo Tanzania mzee...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
You are right,huwa nikiwa natoka mkoa nawaaga watu kuwa naenda Tanzania [emoji137]
 
IMG-20220929-WA0016.jpg
 
Back
Top Bottom