Hivi vituko vyenu akina dada vitaisha karne ya ngapi?

Ndo maana niliamua kukupotezeaga pm!utoto sana...!km umeona anazengua si ungempotezea tu[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Kumbe kuna watu wanachezea bahat hv acha nitume req ya kuja mim
 
Sioni makosa ya huyo dada maana umemchatisha mwenyewe kwa hayo maswali lazima njaa imuume
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kazi kweli kweli
 
Mtu anafanya kazi alafu analia lia njaa,inakera sana
 
Wanafurahisha sana...

Ashajua unachotaka nini kutoka kwake, ili usijipigishe story nae kakumbia direct anachotaka kutoka kwako...

Umeshindwa kujiongeza tuu...


πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€


Cc: mahondaw
 
Wanafurahisha sana...

Ashajua unachotaka nini kutoka kwake, ili usijipigishe story nae kakumbia direct anachotaka kutoka kwako...

Umeshindwa kujiongeza tuu...


[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]


Cc: mahondaw
Mapenzi ya kwenye mitandao hamna kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…