Hivi vituko vyenu akina dada vitaisha karne ya ngapi?

Sasa kama hulumbani na mimi kelele za nini au mwanamke ni wewe peke yako humu?
 
Hatuna chatt zozote nilizochat nae ambazo zinamfanya na yeye ajione mwanamke. Anajishauwa et ananifaham muulize nikoje na aliniona wapi?
 
I meant ungemkubalia mchat alikuwa anatafuta akupost like Happy ukamstukia!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama ningechat nae vitu vya ajabu sikupanga hata siku moja kuja kumuweka hapa... Nishachat na wengi sana humu JF tena maarufu sana na sijaona cha ziada. Sana sana kupotezeana mda tu siku ziende. Wananifaham wengi humu hata kwa picha lakini sijaona wakilalamika kama yeye, aseme kinachosumbua. Maumivu yakizidi amuone daktari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…