Hivi vituko vyenu akina dada vitaisha karne ya ngapi?

Katika maisha ya binadamu na ubinadamu wake ni vyema na busara kutunza siri ya mtu hata iwe mbaya kiasi gani na ndo maana conversation zote za kutongozana hufanyika inbox na si vinginevyo.

Binafsi niwe mkweli niseme tu wanaume tubadilike tuache utoto wa kuweka siri za mwenzako hadharani najua Kuna watakao kusifu huku wakikudharau. Point yangu iko hivyo why usingetulia tu na kumwacha na mapungufu yake au hilo povu msimalizane inbox?

Ndugu kiukweli umemkosea heshima sana huyo dada na hana kosa kukuomba maana kwa inavyoonyesha mlifikia pazuri huko inbox na pia inategemea we alienda kwa kiki gani kwake.

Pole mtendwa na pole mtendewa kwa kujiona upo sahihi kutoa siri za ndani hadharani. Kuna haja elimu ya JANDO irudishwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wewe usitake kujifanya mwema kisa kutafuta sifa kwa madem humu... Na wewe huna lolote kavu wewe.
 
Uchumi wa viwanda na elimu ya jando ni mbingu na ardhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…