komasalonde
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,783
- 2,479
Kama tumeshindwa tu kulinda rasilimali za bure alizotupatia MUNGU huo ugunduzi tutautoa wapi. North Korea walipewa vikwazo nchi ikawa kama imefungiwa kila kitu, lakini wametengeneza mpaka nuklia, silaha nk. Na tusiseme mwafrika tuseme sisi watu weusi.Habari za ijumaa wanajamiiforums?
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni kwanini hatuna akili?
Siongelei akili ya darasani, Bali naongelea akili yenye impact katika maisha ya binadamu.
Hakuna teknolojia yoyote ambayo mwafrika amefanikiwa kuanzisha, Yani inshort ni kuwa sisi Waafrika huenda tupo hivi kiasili.
Mwafrika mtu asiyekuwa na akili zaidi katika uso wa dunia.
Kama tumeshindwa tu kulinda rasilimali za bure alizotupatia MUNGU huo ugunduzi tutautoa wapi. North Korea walipewa vikwazo nchi ikawa kama imefungiwa kila kitu, lakini wametengeneza mpaka nuklia, silaha nk. Na tusiseme mwafrika tuseme sisi watu weusi.
Ugunduzi wa mtu mweusi unajulikana dunia nzima na orodha ipo. Lakini hao sio waafrika. Ni ama wamekulia Uingereza, Ufaransa ama Marekani. Ndani ya Africa yetu hakuna ugunduzi wa maana. Sababu zipo. Watu wenye, moyo, akili, uzalendo na utashi inawauma kuona waafrika weusi tuko hivi.
Elon Musk ni muAfrika? Maana amezaliwa na kukulia Afrika, USA kaenda ukubwani. Kumbe unaataka kusema waAfrika wana Akili, tatizo ni mazingira waliyonayo hapa Afrika, sivyo?Ugunduzi wa mtu mweusi unajulikana dunia nzima na orodha ipo. Lakini hao sio waafrika. Ni ama wamekulia Uingereza, Ufaransa ama Marekani. Ndani ya Africa yetu hakuna ugunduzi wa maana. Sababu zipo. Watu wenye, moyo, akili, uzalendo na utashi inawauma kuona waafrika weusi tuko hivi.
Mkuu ila Elon Musk kasomea USA na project zake kaanzisha hukohuko USA na si South Africa.Elon Musk ni muAfrika? Maana amezaliwa na kukulia Afrika, USA kaenda ukubwani. Kumbe unaataka kusema waAfrika wana Akili, tatizo ni mazingira waliyonayo hapa Afrika, sivyo?
Kwahiyo Elon Musk ni MuAfrika? Na hao WaAfrika nje ya Afrika wanaofanya hizo gunduzi ina maana waAfrika wanazo akili, tatizo ni mazingira magumu ndani ya Afrika sio?Mkuu ila Elon Musk kasomea USA na project zake kaanzisha hukohuko USA na si South Africa.
Ndio.Kwahiyo Elon Musk ni MuAfrika? Na hao WaAfrika nje ya Afrika wanaofanya hizo gunduzi ina maana waAfrika wanazo akili, tatizo ni mazingira magumu ndani ya Afrika sio?
Basi mleta mada alione hili na ajue kwamba hoja yake ni utaahira, waAfrika wanazo akili, ahsante.Ndio.
Nahisi pia mfumo wa elimu unachangia.Kwahiyo Elon Musk ni MuAfrika? Na hao WaAfrika nje ya Afrika wanaofanya hizo gunduzi ina maana waAfrika wanazo akili, tatizo ni mazingira magumu ndani ya Afrika sio?
Hiyo ni sawaElon Musk ni muAfrika? Maana amezaliwa na kukulia Afrika, USA kaenda ukubwani. Kumbe unaataka kusema waAfrika wana Akili, tatizo ni mazingira waliyonayo hapa Afrika, sivyo?
Africa, Bwana mkubwa. Hakuna ajuaye hata jina wala HISTORIA yakekuna jamaa aligundua umeme wa kutumia sumaku
na aliwashangaza hata ma injinia wetu wa Tannesco
Hivi aliishia wapi?
tunawaza kununua sola kutoka china na wabunifu tunao hapa hapa bongoAfrica, Bwana mkubwa. Hakuna ajuaye hata jina wala HISTORIA yake
1. Siyo kweli kabisa kwamba Waafrika hawana akili na siyo kweli kabisa kwamba hakuna teknolojia yoyote ambayo mwafrika amefanikiwa kuanzisha.Habari za ijumaa wanajamiiforums?
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni kwanini hatuna akili?
Siongelei akili ya darasani, Bali naongelea akili yenye impact katika maisha ya binadamu.
Hakuna teknolojia yoyote ambayo mwafrika amefanikiwa kuanzisha, Yani inshort ni kuwa sisi Waafrika huenda tupo hivi kiasili.
Mwafrika mtu asiyekuwa na akili zaidi katika uso wa dunia.
unapoteza muda kiongozi. ukishaona mtu yoyote yule idol wake ni magu aisee kaa mbali sana. hao wanakuwaga kama wamekatwa vichwa.Mkuu ila Elon Musk kasomea USA na project zake kaanzisha hukohuko USA na si South Africa.
augundue umeme leo hii?aligundua umeme
unapoteza muda kiongozi. ukishaona mtu yoyote yule idol wake ni magu aisee kaa mbali sana. hao wanakuwaga kama wamekatwa vichwa.
unapoteza muda kiongozi. ukishaona mtu yoyote yule idol wake ni magu aisee kaa mbali sana. hao wanakuwaga kama wamekatwa vichwa.
Tunazo, tunafanya maombi bado tushushiwe mzigo toka mbinguni, usitishwe na wazungu, wale hawamjui mungu bana, nchi zao zilimkataa yesu wetu na wala hawamjui, so tunasugua goti na wale wasabato masalia wanajipanga upya kupanda ndege bure na bila visa kwenda nchi mbalimbali kuwafundisha waache hayo mateknolojia yao wafanye pia maombi wasituletee maugunduzi yao ya kishetani bana!Habari za ijumaa wanajamiiforums?
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni kwanini hatuna akili?
Siongelei akili ya darasani, Bali naongelea akili yenye impact katika maisha ya binadamu.
Hakuna teknolojia yoyote ambayo mwafrika amefanikiwa kuanzisha, Yani inshort ni kuwa sisi Waafrika huenda tupo hivi kiasili.
Mwafrika mtu asiyekuwa na akili zaidi katika uso wa dunia.