Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
Sasa unasemaje tuna mainjinia na bado tunatumia mainjinia wa nje?Sawa kabuni mzungu ila elimu yetu imepitwa na wakati tunatumia elimu iliyoletwa na mzungu miaka ya 1900 unategemea iendane na mahitaji ya dunia ya 2000.