Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama limefika mahali linalalamikia sheria walizotunga na kuzipitisha, lanini sasa.Hii thread ndio imenijulisha kuwa Bunge lipo live.
NOMA SANA.Hakuna Bunge Tz,kuna majambazi wapo kwenye jengo la serikali wanajambia viti na kupiga meza plus full kulala...hao watu wananchi hawawezi kuwafuatilia kwa kuwa hawakuwachagua!
Ukoo wa mazuzulile sio bunge tena ni kikao cha ukoo
Kumbe Bunge linaendelea?Tuelekee moja kwa moja kwenye swali la msingi. Miaka ile bunge lilipokuwa limechangamka ndipo yakaibuliwa maovu ya serikali watu walikuwa wanaahirisha shughuli zao wanafuatilia bunge.
Leo hii sijui bunge halina mvuto, wananchi wanaahirisha shughuli zao wanafuatilia kesi ya akina Mbowe kama tamthiliya.
Hivi wabunge wa CCM mnajisikiaje wananchi hawafuatilii bunge wanafuatilia kesi ya akina Mbowe? Tuseme serikali IPO clear kabisa hakuna madudu ya kuibua wananchi tuyajue?
Zile ahadi za mafiga matatu yaani rais CCM, mbunge CCM, diwani CCM, watendaji wa mitaa CCM, je mbona hatuyaoni Yale mliyoahidi? Majibu tafadhali wabunge wa CCM.
Aliyewapelekea kesha................................Shida hawajadili matakwa ya waliowapeleka
Kwani Tanzania tuna bunge ?Tuelekee moja kwa moja kwenye swali la msingi. Miaka ile bunge lilipokuwa limechangamka ndipo yakaibuliwa maovu ya serikali watu walikuwa wanaahirisha shughuli zao wanafuatilia bunge.
Leo hii sijui bunge halina mvuto, wananchi wanaahirisha shughuli zao wanafuatilia kesi ya akina Mbowe kama tamthiliya.
Hivi wabunge wa CCM mnajisikiaje wananchi hawafuatilii bunge wanafuatilia kesi ya akina Mbowe? Tuseme serikali IPO clear kabisa hakuna madudu ya kuibua wananchi tuyajue?
Zile ahadi za mafiga matatu yaani rais CCM, mbunge CCM, diwani CCM, watendaji wa mitaa CCM, je mbona hatuyaoni Yale mliyoahidi? Majibu tafadhali wabunge wa CCM.
Mimi ni CCM eroo sioni wanaotuwakilisha wanachokifanya. Maendeleo hayana chamaNchi ina wakazi watu wazima zaidi ya mil 30 na walioko kwenye mitandao hii hawafiki hata mil 10. Unawezaje kusema watu wanafuatilia sana kesi ya mbowe kuliko Bunge? Hivi mtu ukiwa CHADEMA unakosa AKILI?? Kwenu ninyi HAKI ni KWA UPANDE WENU TU? Wakati mwingine acheni upumbavu.
Dhambi ya usaliti au kushuhudia uongo ni mbaya sana ndio maana hata vitabu vitakatifu vimeilaani sana.Leo nikiwa kwenye bar moja hapa Kimara wakati nasubiri kitimoto (roast na ndizi 2) mhudumu mmoja alibadilisha channel na kuweka TBCCM. Nilimuona mzee Halima akiweweseka bungeni hata alichoongea hatukusikia maana members walimuamrisha meneja au azime tiivii kabisa au aondoe tbc haraka sana vinginevyo atabaki peke yake.