Hivi wabunge wa CCM mnajisikiaje, wananchi hawafuatilii Bunge wanafuatilia kesi ya Mbowe?

Hivi wabunge wa CCM mnajisikiaje, wananchi hawafuatilii Bunge wanafuatilia kesi ya Mbowe?

🤡🤡🤡
EW1pj.jpg
 
Kwanza hawataki tukicheki bunge live eti Nape alisema nimuda wa kazi.
Marudio tukawa hatuangalii maana nimuda wa mapumziko
 
Hata wabunge wenyewe wengi wapo kule kwa sababu ya kutakiwa kuwepo na kupata posho,lakini kiukweli hata wao wapo kule kimwili Ila mawazo na akili zao zipo kwenye kesi ya Mbowe. CCM wanaujua ukweli mchungu huu kuwa Mbowe kasingiziwa Ila hawana pa kusemea.
 
Tuelekee moja kwa moja kwenye swali la msingi. Miaka ile bunge lilipokuwa limechangamka ndipo yakaibuliwa maovu ya serikali watu walikuwa wanaahirisha shughuli zao wanafuatilia bunge.

Leo hii sijui bunge halina mvuto, wananchi wanaahirisha shughuli zao wanafuatilia kesi ya akina Mbowe kama tamthiliya.

Hivi wabunge wa CCM mnajisikiaje wananchi hawafuatilii bunge wanafuatilia kesi ya akina Mbowe? Tuseme serikali IPO clear kabisa hakuna madudu ya kuibua wananchi tuyajue?

Zile ahadi za mafiga matatu yaani rais CCM, mbunge CCM, diwani CCM, watendaji wa mitaa CCM, je mbona hatuyaoni Yale mliyoahidi? Majibu tafadhali wabunge wa CCM.
Kumbe Bunge linaendelea?
 
Tuelekee moja kwa moja kwenye swali la msingi. Miaka ile bunge lilipokuwa limechangamka ndipo yakaibuliwa maovu ya serikali watu walikuwa wanaahirisha shughuli zao wanafuatilia bunge.

Leo hii sijui bunge halina mvuto, wananchi wanaahirisha shughuli zao wanafuatilia kesi ya akina Mbowe kama tamthiliya.

Hivi wabunge wa CCM mnajisikiaje wananchi hawafuatilii bunge wanafuatilia kesi ya akina Mbowe? Tuseme serikali IPO clear kabisa hakuna madudu ya kuibua wananchi tuyajue?

Zile ahadi za mafiga matatu yaani rais CCM, mbunge CCM, diwani CCM, watendaji wa mitaa CCM, je mbona hatuyaoni Yale mliyoahidi? Majibu tafadhali wabunge wa CCM.
Kwani Tanzania tuna bunge ?
 
Nchi ina wakazi watu wazima zaidi ya mil 30 na walioko kwenye mitandao hii hawafiki hata mil 10. Unawezaje kusema watu wanafuatilia sana kesi ya mbowe kuliko Bunge? Hivi mtu ukiwa CHADEMA unakosa AKILI?? Kwenu ninyi HAKI ni KWA UPANDE WENU TU? Wakati mwingine acheni upumbavu.
Mimi ni CCM eroo sioni wanaotuwakilisha wanachokifanya. Maendeleo hayana chama
 
Leo nikiwa kwenye bar moja hapa Kimara wakati nasubiri kitimoto (roast na ndizi 2) mhudumu mmoja alibadilisha channel na kuweka TBCCM. Nilimuona mzee Halima akiweweseka bungeni hata alichoongea hatukusikia maana members walimuamrisha meneja au azime tiivii kabisa au aondoe tbc haraka sana vinginevyo atabaki peke yake.
Dhambi ya usaliti au kushuhudia uongo ni mbaya sana ndio maana hata vitabu vitakatifu vimeilaani sana.
 
Back
Top Bottom