Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,435
- 4,662
Hapana, bali kinyume chake ni sahihi.Shida hawajadili matakwa ya waliowapeleka
Waliowapeleka watakuwa wanafuatilia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, bali kinyume chake ni sahihi.Shida hawajadili matakwa ya waliowapeleka
Bunge Zuzu..Ni ajabu Sana bunge la awamu limetia fora kwa kutofwatiliwa na watanzania nimepitia forum mbalimbali ikiwemo humu jf watu wengi wanashangaa Kama Kuna bunge linaendelea dodoma .
Swali ni je kwanini watanzania wamelisusa bunge Lao?
Mi nadhani sababu ni ligi kuu ya Tanzania bara wewe je?
Mods naomba msiunganishe huu Uzi.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kupoteza muda wake kufuatilia kusanyiko la mazuzu.Ni ajabu Sana bunge la awamu limetia fora kwa kutofwatiliwa na watanzania nimepitia forum mbalimbali ikiwemo humu jf watu wengi wanashangaa Kama Kuna bunge linaendelea dodoma .
Swali ni je kwanini watanzania wamelisusa bunge Lao?
Mi nadhani sababu ni ligi kuu ya Tanzania bara wewe je?
Mods naomba msiunganishe huu Uzi.
Aliyewapeleka yuko mjini Jehanam sasaHapana, bali kinyume chake ni sahihi.
Waliowapeleka watakuwa wanafuatilia.
duh!Ni ajabu Sana bunge la awamu limetia fora kwa kutofwatiliwa na watanzania nimepitia forum mbalimbali ikiwemo humu jf watu wengi wanashangaa Kama Kuna bunge linaendelea dodoma .
Swali ni je kwanini watanzania wamelisusa bunge Lao?
Mi nadhani sababu ni ligi kuu ya Tanzania bara wewe je?
Mods naomba msiunganishe huu Uzi.
Halafu si walikatazaga tusiliangalie live? Tulishasahau hata kulifuatilia.Mtu mwenye akili timamu hawezi kupoteza muda wake kufuatilia kusanyiko la mazuzu.
Hivi bunge liko kwenye session??Ni ajabu Sana bunge la awamu limetia fora kwa kutofwatiliwa na watanzania nimepitia forum mbalimbali ikiwemo humu jf watu wengi wanashangaa Kama Kuna bunge linaendelea dodoma .
Swali ni je kwanini watanzania wamelisusa bunge Lao?
Mi nadhani sababu ni ligi kuu ya Tanzania bara wewe je?
Mods naomba msiunganishe huu Uzi.
Waendelee na majadiliano yao ya nguvu za kiume.Sasa unataka tuwafuatilie mazuzu? Mimi sitaki hata kuwaona hao inzi wa kijani Wana roho za kishetani shetani tu.
Yeah, mwanzo mwisho na 'makamanda' wake!Mimi nilishangaa jana katika taarifa ya habari saa 2 kuona bunge limeanza sikuwa na taarifa kabisa.
Kesi ya Mbowe naifuatilia mwanzo mwisho na dhani polisi walifanya vizuri kupiga marufuku watu kwenda makakamani vinginevyo shughuli zote zingesimama.
Take care Covid 19 ni gonjwa mbaya sana please get vaccine!Ila upinzani c upo bungeni jamani halima yupo et al