Hivi wabunge wa CCM mnajisikiaje, wananchi hawafuatilii Bunge wanafuatilia kesi ya Mbowe?

Hivi wabunge wa CCM mnajisikiaje, wananchi hawafuatilii Bunge wanafuatilia kesi ya Mbowe?

Leo nikiwa kwenye bar moja hapa Kimara wakati nasubiri kitimoto (roast na ndizi 2) mhudumu mmoja alibadilisha channel na kuweka TBCCM. Nilimuona mzee Halima akiweweseka bungeni hata alichoongea hatukusikia maana members walimuamrisha meneja au azime tiivii kabisa au aondoe tbc haraka sana vinginevyo atabaki peke yake.
Haaaahaaa members hawataki kuwasikiliza waliowachagua
 
Leo nikiwa kwenye bar moja hapa Kimara wakati nasubiri kitimoto (roast na ndizi 2) mhudumu mmoja alibadilisha channel na kuweka TBCCM. Nilimuona mzee Halima akiweweseka bungeni hata alichoongea hatukusikia maana members walimuamrisha meneja au azime tiivii kabisa au aondoe tbc haraka sana vinginevyo atabaki peke yake.
Yaani believe me CCM wenyewe wanajuta kukosa upinzani,,yaani Bunge limepoa hatari[emoji1]
 
Leo nikiwa kwenye bar moja hapa Kimara wakati nasubiri kitimoto (roast na ndizi 2) mhudumu mmoja alibadilisha channel na kuweka TBCCM. Nilimuona mzee Halima akiweweseka bungeni hata alichoongea hatukusikia maana members walimuamrisha meneja au azime tiivii kabisa au aondoe tbc haraka sana vinginevyo atabaki peke yake.
CCM wanatamani upinzani ungekuwepo Bungeni angalau bunge lichangamke
 
Naomba Bunge waibadili Sheria iliyompa DPP nguvu ya kusema haoni sababu ya kuendelea na kesi, naye aweze kushtakiwa na kulipa fidia kwa mlalamikaji. Vinginevyo ahadi ya kuiona pepo baada ya maisha haya ataikosa yeye na wanaompa nguvu.
Sijui why, wabunge wamepitisha vitu vya ajabu sana.
 
Kwani
Tuelekee moja kwa moja kwenye swali la msingi. Miaka ile bunge lilipokuwa limechangamka ndipo yakaibuliwa maovu ya serikali watu walikuwa wanaahirisha shughuli zao wanafuatilia bunge.

Leo hii sijui bunge halina mvuto, wananchi wanaahirisha shughuli zao wanafuatilia kesi ya akina Mbowe kama tamthiliya.

Hivi wabunge wa CCM mnajisikiaje wananchi hawafuatilii bunge wanafuatilia kesi ya akina Mbowe? Tuseme serikali IPO clear kabisa hakuna madudu ya kuibua wananchi tuyajue?

Zile ahadi za mafiga matatu yaani rais CCM, mbunge CCM, diwani CCM, watendaji wa mitaa CCM, je mbona hatuyaoni Yale mliyoahidi? Majibu tafadhali wabunge wa CCM.
Kwan Mbowe ana kesi mahakani? Mbona mm sijui
 
Leo nikiwa kwenye bar moja hapa Kimara wakati nasubiri kitimoto (roast na ndizi 2) mhudumu mmoja alibadilisha channel na kuweka TBCCM. Nilimuona mzee Halima akiweweseka bungeni hata alichoongea hatukusikia maana members walimuamrisha meneja au azime tiivii kabisa au aondoe tbc haraka sana vinginevyo atabaki peke yake.
Hahaha wanavuna walichopanda. Dhambi ya uchaguzi ccm itawatafuna sana.
 
Ni ajabu Sana bunge la awamu limetia fora kwa kutofwatiliwa na watanzania nimepitia forum mbalimbali ikiwemo humu jf watu wengi wanashangaa Kama Kuna bunge linaendelea Dodoma .
Swali ni je kwanini watanzania wamelisusa bunge Lao?
Mi nadhani sababu ni ligi kuu ya Tanzania bara wewe je?
Mods naomba msiunganishe huu Uzi.
 
Ni ajabu Sana bunge la awamu limetia fora kwa kutofwatiliwa na watanzania nimepitia forum mbalimbali ikiwemo humu jf watu wengi wanashangaa Kama Kuna bunge linaendelea dodoma .
Swali ni je kwanini watanzania wamelisusa bunge Lao?
Mi nadhani sababu ni ligi kuu ya Tanzania bara wewe je?
Mods naomba msiunganishe huu Uzi.


Bunge la CCM halina mvuto wala ladha kwani ni sawa na kula ugali bila mboga, "mboga" walikuwa ni wabunge wa Chadema. Bora kuangalia mdundiko mtu anaweza ku refresh mawazo kuliko kuangalia bunge la aina hiyo.
 
Back
Top Bottom