Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ajabu Sana bunge la awamu limetia fora kwa kutofwatiliwa na watanzania nimepitia forum mbalimbali ikiwemo humu jf watu wengi wanashangaa Kama Kuna bunge linaendelea dodoma .
Swali ni je kwanini watanzania wamelisusa bunge Lao?
Mi nadhani sababu ni ligi kuu ya Tanzania bara wewe je?
Mods naomba msiunganishe huu Uzi.
Mazuzu tuNi ajabu Sana bunge la awamu limetia fora kwa kutofwatiliwa na watanzania nimepitia forum mbalimbali ikiwemo humu jf watu wengi wanashangaa Kama Kuna bunge linaendelea dodoma .
Swali ni je kwanini watanzania wamelisusa bunge Lao?
Mi nadhani sababu ni ligi kuu ya Tanzania bara wewe je?
Mods naomba msiunganishe huu Uzi.
Hakuna mwenye muda wa kufatilia mazuzuNi ajabu Sana bunge la awamu limetia fora kwa kutofwatiliwa na watanzania nimepitia forum mbalimbali ikiwemo humu jf watu wengi wanashangaa Kama Kuna bunge linaendelea dodoma .
Swali ni je kwanini watanzania wamelisusa bunge Lao?
Mi nadhani sababu ni ligi kuu ya Tanzania bara wewe je?
Mods naomba msiunganishe huu Uzi.
Jamaa anataka kutuharibua moodNiachee kufwatilia kesi ya mbowe na mpira nijee kufwatilia kikao Cha ccm kwelii??
khaaa!🤣🤣Bunge la akina msuKUMA na kibaJAJI ?!!🤣
Wanavuna walichopandaBunge limepuuzwa kuliko maelezo , Noma kweli !
hehehe🤣🤣
Sasa unataka tuwafuatilie mazuzu? Mimi sitaki hata kuwaona hao inzi wa kijani Wana roho za kishetani shetani tu.
hahahaNi ajabu Sana bunge la awamu limetia fora kwa kutofwatiliwa na watanzania nimepitia forum mbalimbali ikiwemo humu jf watu wengi wanashangaa Kama Kuna bunge linaendelea dodoma .
Swali ni je kwanini watanzania wamelisusa bunge Lao?
Mi nadhani sababu ni ligi kuu ya Tanzania bara wewe je?
Mods naomba msiunganishe huu Uzi.
Prof Assad hakukosea kuwaita MAZUZU.Hakuna mwenye muda wa kupoteza kuangalia Bunge la Ndugai na JIWE......Wao wafanye wanachotaka waendelee kubwia mabilioni yetu ya kodi.