Hivi wachaga pekee ndio mnaweza biashara ya bar au nyumba za starehe?

Hivi wachaga pekee ndio mnaweza biashara ya bar au nyumba za starehe?

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Wadau sijui hii kama ni mimi tu nimeliona kuna hili la bar na nyumba za starehe kama clubs na vingine yaani asilimia 70 ya hivi vitu wamiliki ni wachaga yaani kila bar utasikia hiyo ya Kimaro sijui mara sijui Mushi mara sijui Lyimo hivi kuna Siri gani kwenye hili naomba nisieleweke vibaya siwasemi wachaga ila kuna kitu naona huku kwetu ndio nimekaa nawaza tu
 
Siyo baa na guest tu hata biashara nyingine kubwa kubwa wengi ni hao hao [emoji126][emoji126]
Huku zenj wahudumu wa bar na wahudumu wa majikoni wengi ni mabinti wa kichaga single mothers Tena under 25! Nenda Amani CCM.
Ila kwa Sasa bia 4000/- dah, mwezi uendelee!


Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Huku zenj wahudumu wa bar na wahudumu wa majikoni wengi ni mabinti wa kichaga single mothers Tena under 25! Nenda Amani CCM.
Ila kwa Sasa bia 4000/- dah, mwezi uendelee!


Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Karibu Nyama Choma - Mbweni, au hata hapo Nyuki Club... Bei ni zilezile kabla ya Mfungo... Sekta ya msosi imeboresha zaidi!
 
Kwa nini usifikiri kwamba wapo kwenye biashara zote....
 
Nadhani itakua asili yao..mana rombo kila nyumba ina baa na mtambo wake wa kutengenezea pombe.

#MaendeleoHayanaChama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbege?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom