Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆 😆 hapa ndo mzee baba magu alipoanza kuchukiwa alijua jinsi ya kuwamaliza watani zakeYeah vyeti kesi viliwapuputisha sana sema wengne walkua washawekeza
Hahahahah ila hawa jamaa wananichekesha sana na drama zao[emoji23]Yeah vyeti kesi viliwapuputisha sana sema wengne walkua washawekeza
Hahahahah na kweli alichukiwa aisee daaaah.[emoji38] [emoji38] hapa ndo mzee baba magu alipoanza kuchukiwa alijua jinsi ya kuwamaliza watani zake
Hili la vyeti feki kuna namna vilaza walijazwa kwa kuchomekwa na ndugu zao......mtu anatumwa tu kafuate cheti, ukifikria kero za kufanya kazi na mtu asiye na weledi unaweza usimlaumu magu kwa kuwafyatua vyeti feki...Pia vyeti fake wengi walikuwa hao(tetesi). Wazee wa madili[emoji23][emoji23]
Ni kweli kwa hiliHili la vyeti feki kuna namna vilaza walijazwa kwa kuchomekwa na ndugu zao......mtu anatumwa tu kafuate cheti, ukifikria kero za kufanya kazi na mtu asiye na weledi unaweza usimlaumu magu kwa kuwafyatua vyeti feki...
Nilichukia tu alipoacha Askari na Makonda.😆 😆 hapa ndo mzee baba magu alipoanza kuchukiwa alijua jinsi ya kuwamaliza watani zake
tulikuwa tunafanya nao mtihani wa mock kanda moja lazima uvunje huko kwao kila mwaka mpaka tukajitoa yaani paper lazima livuje tena mock yaani 😀 😀 wazazi hata wa shule za government jamaa wa huko anakwambia wanajichanga kununua paperHahahahah na kweli alichukiwa aisee daaaah.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata sio wivu. Tunatazama uhalisia mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wale wauza nyanya wengi barabarani ni wachagga pia
Kufa basiNilichukia tu alipoacha Askari na Makonda.
Duuuuh sasa hapo tuseme wanatafuta elimu kweli?tulikuwa tunafanya nao mtihani wa mock kanda moja lazima uvunje huko kwao kila mwaka mpaka tukajitoa yaani paper lazima livuje tena mock yaani 😀 😀 wazazi hata wa shule za government jamaa wa huko anakwambia wanajichanga kununua paper
elimu ya bongo rahisi sana kwa ujanja ndo maana unashangaa ile mikoa yenye elimu haina hata ugunduzi maana wanajifunza kingereza ili waje kuingia kweny siasa tu basiDuuuuh sasa hapo tuseme wanatafuta elimu kweli?
Kabisaelimu ya bongo rahisi sana kwa ujanja ndo maana unashangaa ile mikoa yenye elimu haina hata ugunduzi maana wanajifunza kingereza ili waje kuingia kweny siasa tu basi
Ukiona mtu mkabila nawe muoneshe ukabila. Unaonekana hujakaa na Wachagga, hata wenyewe wanaoneana wivuWachaga Wana sifa nzuri, hawana majungu wala kuoneana wivu.
Ila ni wakabila balaaa!!
Elimu elimu elimu! Umeshaambiwa 70% hivyo hesabu bar 10 bila kubagua. Ukipata 7 kati ya hizo ni za wachaga ndo 70% yenyewe. Rudia tena zoezi mara nyingi kadri uwezavyoHesabu yako ya asilimia 70 umetumia njia gani kuipata?au ni makadirio?
Wewe ndio unapaswa kuwa shahidi namba moja..mana una ushahidi wa kutosha kuhusiana na suala la wachaga kuiba mitihani.tulikuwa tunafanya nao mtihani wa mock kanda moja lazima uvunje huko kwao kila mwaka mpaka tukajitoa yaani paper lazima livuje tena mock yaani 😀 😀 wazazi hata wa shule za government jamaa wa huko anakwambia wanajichanga kununua paper
Wazee wa mishe mishe so drama lazmaHahahahah ila hawa jamaa wananichekesha sana na drama zao[emoji23]