Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa sio lazima ufuate wanavyoamini wao.Wachagga sio wakabila ila kuna vile wanaamini ambapo ni tofauti na jamii nyingine, ni wewe ufuate wanavyo amini wao au uwaite wakabila.
MI zamani nilidhani ni wamoja kumbe wapo tofauti tena kudhauliana eti huyu wa rombo mshamba hapo mchaga wa marangu anamwambia mwenzie ivyo kabila lao kubwa sana kama la pili ukiachana na wasukumaUkiona mtu mkabila nawe muoneshe ukabila. Unaonekana hujakaa na Wachagga, hata wenyewe wanaoneana wivu
Tatizo huna exposure. Umeishia kuwaona Wachagga wauza nyanya tuHata sio wivu. Tunatazama uhalisia mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wale wauza nyanya wengi barabarani ni wachagga pia
Kutambika wachaga kila mwaka wanaenda kutambika makwao wanachinja wanafanya mila za kuwakumbuka ancestors wao.... nyie mko mwaka wa kumi huu dar hutak kurud kwenu kila kitu lzma kiwe ovyo!!!Wadau sijui hii kama ni mimi tu nimeliona kuna hili la bar na nyumba za starehe kama clubs na vingine yaani asilimia 70 ya hivi vitu wamiliki ni wachaga yaani kila bar utasikia hiyo ya Kimaro sijui mara sijui Mushi mara sijui Lyimo hivi kuna Siri gani kwenye hili naomba nisieleweke vibaya siwasemi wachaga ila kuna kitu naona huku kwetu ndio nimekaa nawaza tu
Sawa mkuu😁Elimu elimu elimu! Umeshaambiwa 70% hivyo hesabu bar 10 bila kubagua. Ukipata 7 kati ya hizo ni za wachaga ndo 70% yenyewe. Rudia tena zoezi mara nyingi kadri uwezavyo
Kabisa na ndicho kilichopoMI zamani nilidhani ni wamoja kumbe wapo tofauti tena kudhauliana eti huyu wa rombo mshamba hapo mchaga wa marangu anamwambia mwenzie ivyo kabila lao kubwa sana kama la pili ukiachana na wasukuma
Mmmh kwa Dar kuna machimbo ya namna hiyo mkuu? Nikapate manka, nipe muongozo kakaIts true kabisa hata wauza papuchi wengi ndio hao hao , utaskia manka sijui uwoya etc wako kila kona
Wengine wauza baa, wengi balaa na kila weeknd tunawala sanaTatizo huna exposure. Umeishia kuwaona Wachagga wauza nyanya tu
Hivi kisuma yupo hai mpaka leo?Kuna kipindi mabega yalipanda yakata kutoboa koti na shatiKISUMA NAE NI MCHAGA NINI? HAO WANAHAMA KUENDENA NA UPEPO, ZAMANI WALIKUWA WANA MADUKA HADI NA DALADALA MIXER UKONDA
Na sasa hivi Amekufa😆 😆 hapa ndo mzee baba magu alipoanza kuchukiwa alijua jinsi ya kuwamaliza watani zake
Kula ruksa. Kama mliwa kakubali mla amle, sasa kuna tabu?Wengine wauza baa, wengi balaa na kila weeknd tunawala sana
Ila bado anawanyoosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na sasa hivi Amekufa