Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,360
- 2,269
Umejibu kiume. Umekomaa kifikra. Hongera kaka!Kula ruksa. Kama mliwa kakubali mla amle, sasa kuna tabu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejibu kiume. Umekomaa kifikra. Hongera kaka!Kula ruksa. Kama mliwa kakubali mla amle, sasa kuna tabu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fika Arusha karibu asilimia themanini ya bar na Guest houses Yana majina ya vijjij vya uchagani ie: Machame Luxury, Keni, Rombo, Mkindi, Ngiwaranecha , Marangu, Mrina nk.
Wanaonyooshwa sasa hivi ni wafuasi wa jiweIla bado anawanyoosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpaka wachaga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akina malisa kila kukicha wanalia liaWanaonyooshwa sasa hivi ni wafuasi wa jiwe
Malisa yupi? Analia kunyooshwa na Magufuli?Mpaka wachaga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akina malisa kila kukicha wanalia lia
Miaka ya themanini kuanzia barabara ya kwanza Hadi ya 21 kulikua na bar mbili. Moja TADECO barabara ya nne na Kilimanjaro barabara ya kumi. Sasa hivi Chuda imejaa mabaa Hadi kitimoto ipo.Kule Tanga mjini Wachaga wamenunua zile nyumba za udongo na makuti za Wadigo na wamefanya guest house. Ukitembea katikati ya mji unakuta kuna mbuzi choma na bia, na ukilewa unachukua chumba.
Ndio maana yakeMalisa yupi? Analia kunyooshwa na Magufuli?
Coffee Bar sikuhizi kuna Mchaga anapaendesha, nje kuna mchoma mbuzi. Enzi hizo zamani tulikwenda Tanga kutokea Muheza tukimaliza shopping Rekhana”s tunakwenda Coffee Bar. Palikua so classic.Miaka ya themanini kuanzia barabara ya kwanza Hadi ya 21 kulikua na bar mbili. Moja TADECO barabara ya nne na Kilimanjaro barabara ya kumi. Sasa hivi Chuda imejaa mabaa Hadi kitimoto ipo.
Gesti Tanga zilikuwepo tangu enzi na enzi. Nahisi ni kwasababu dini ya haki inakemea pombe lakini haina shida na wageni wanaotokea Tanga mjini kwenda Tanga mjini.
Sasa atanyooshaje mtu wakati yupo ardhini?Ndio maana yake
Mimi sio Mchaga lakini nina appreciate kwamba Mchaga anazijua simple principles za biashara. Awe amesoms au la. Ukiacha Wachaga, watu wengine wengi hufungua bar kufuata mkumbo au showoff. Mchaga naturally, anajua customer care. Anajishusha kwa mteja. Sasa kwa mfano mdogo bar iwe ya Nshomile. Anawaona wateja kama watu wenye dhiki tu na matendo yake yako wazi kabisa. Kikubwa, Mchaga ana discipline kwenye matumizi ya hela ya biashara iwe bar au genge.Wadau sijui hii kama ni mimi tu nimeliona kuna hili la bar na nyumba za starehe kama clubs na vingine yaani asilimia 70 ya hivi vitu wamiliki ni wachaga yaani kila bar utasikia hiyo ya Kimaro sijui mara sijui Mushi mara sijui Lyimo hivi kuna Siri gani kwenye hili naomba nisieleweke vibaya siwasemi wachaga ila kuna kitu naona huku kwetu ndio nimekaa nawaza tu
Makabila Mengine wanajazana ndugu wasio na faida hadi biashara inazamaHawa jamaa wana upepo sana kila ukikatiza gesti,bar,pub,hotel na groceries ni wao tu huezi sikia mgogo anamiliki au mzigua!
Ndio tatzo ndugu kama mia duka moja wachaga ukiuza duka la ndugu mwaka mwaka mwingine wanamfungulia lakeMakabila Mengine wanajazana ndugu wasio na faida hadi biashara inazama
Shangaa na wewe hapo, sijui kwa nini anawanyoosha na ameshafarikiSasa atanyooshaje mtu wakati yupo ardhini?
Tuanze kwanza na swala la elimu hawa jamaa wamejitahidi kuwekeza katika swala hili vizuri sana shule za secondary zinakimbilia 350 + sasa hapo tuu utaona tofauti kubwa ya hawa jamaa na jamii zingineWadau sijui hii kama ni mimi tu nimeliona kuna hili la bar na nyumba za starehe kama clubs na vingine yaani asilimia 70 ya hivi vitu wamiliki ni wachaga yaani kila bar utasikia hiyo ya Kimaro sijui mara sijui Mushi mara sijui Lyimo hivi kuna Siri gani kwenye hili naomba nisieleweke vibaya siwasemi wachaga ila kuna kitu naona huku kwetu ndio nimekaa nawaza tu
Si waamifu kwenye shughuli zao na janja janja nyingi sana. Wanakutajia bei kutokana na muonekano wako. Ukiwa na muonekano wa ki-sure, utabambikwa bei mara tatu ya bei ya kawaida. Madukani kwao wanatabia kama za ki-machinga. Kitu cha elfu mbili kama wewe una muonekano wa ki-sure, unabambikwa elfu nane. Haya yamenitokea mimi mara nyingi kwenye maduka yao. Taamaa ya kutajirika kwao imevunja mipaka.Wachaga Wana sifa nzuri, hawana majungu wala kuoneana wivu.
Ila ni wakabila balaaa!!
Wewe tu una bahati mbaya mkuu,mchaga hana pigo hizo kabisa, kwanza anakuuzia kitu kwa bei nzuri ili kesho urudi tena na uendelee kuwa mteja wake. Nimemingle nao sana nawajua vizuri hawa watu.Si waamifu kwenye shughuli zao na janja janja nyingi sana. Wanakutajia bei kutokana na muonekano wako. Ukiwa na muonekano wa ki-sure, utabambikwa bei mara tatu ya bei ya kawaida. Madukani kwao wanatabia kama za ki-machinga. Kitu cha elfu mbili kama wewe una muonekano wa ki-sure, unabambikwa elfu nane. Haya yamenitokea mimi mara nyingi kwenye maduka yao. Taamaa ya kutajirika kwao imevunja mipaka.
Walisumbua sana. Cheti chake ni huyo mjomba wake aliyemleta.Ni kweli kwa hili