Huku zenj wahudumu wa bar na wahudumu wa majikoni wengi ni mabinti wa kichaga single mothers Tena under 25! Nenda Amani CCM.Siyo baa na guest tu hata biashara nyingine kubwa kubwa wengi ni hao hao [emoji126][emoji126]
Not!Siyo baa na guest tu hata biashara nyingine kubwa kubwa wengi ni hao hao [emoji126][emoji126]
Nyie ni wachuuzi tu.Siyo baa na guest tu hata biashara nyingine kubwa kubwa wengi ni hao hao [emoji126][emoji126]
Umejibu kwa wivu sana hahahaNyie ni wachuuzi tu.
Hata sio wivu. Tunatazama uhalisia mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wale wauza nyanya wengi barabarani ni wachagga piaUmejibu kwa wivu sana hahaha
Karibu Nyama Choma - Mbweni, au hata hapo Nyuki Club... Bei ni zilezile kabla ya Mfungo... Sekta ya msosi imeboresha zaidi!Huku zenj wahudumu wa bar na wahudumu wa majikoni wengi ni mabinti wa kichaga single mothers Tena under 25! Nenda Amani CCM.
Ila kwa Sasa bia 4000/- dah, mwezi uendelee!
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Unawachukiaee... Au nyanya sio biashara!🤣🤣Hata sio wivu. Tunatazama uhalisia mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wale wauza nyanya wengi barabarani ni wachagga pia
Wanyakyusa na wakurya pia wanafanya japo sio kwa kasi kubwaHawa jamaa wana upepo sana kila ukikatiza gesti,bar,pub,hotel na groceries ni wao tu huezi sikia mgogo anamiliki au mzigua!
Pia vyeti fake wengi walikuwa hao(tetesi). Wazee wa madili[emoji23][emoji23]Hawa jamaa wana upepo sana kila ukikatiza gesti,bar,pub,hotel na groceries ni wao tu huezi sikia mgogo anamiliki au mzigua!
Washamba somehowKwa nini usifikiri kwamba wapo kwenye biashara zote....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbege?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nadhani itakua asili yao..mana rombo kila nyumba ina baa na mtambo wake wa kutengenezea pombe.
#MaendeleoHayanaChama
Yeah vyeti kesi viliwapuputisha sana sema wengne walkua washawekezaPia vyeti fake wengi walikuwa hao(tetesi). Wazee wa madili[emoji23][emoji23]