UgandaChristopher Alex masawe
Hivi John makelele alikuwa mtu wa wapi nasikia alitokea kaskazini
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UgandaChristopher Alex masawe
Hivi John makelele alikuwa mtu wa wapi nasikia alitokea kaskazini
Ova
Ghorofa kila kijijiMimi nadhani ni watu na nusu. Nimeoa uchaggani jamaa wamejipanga
ukitaja wachezi walifanikia ulaya utakua unakosea, Wachaga hawapo ulaya.Kwa kweli hawawezi kuwa kama kina Ronaldo na Messi etc, kuwa unafanya kitu chenye short life span halafu unagain/unakuwa tajiri for the rest of your life span. Nimependa sana ulivyo comment yani umeona mbali sana.uko Very Visionary Brother.
Tenga mpareWatakuwepo mkuu, mfano yupo mkongwe Leodegar Tenga.
labda unipe definition yako ya" kufanikiwa kimaisha" then nitakuwa kwenye nafasi nzuri ya kujibu hilo swali Brother.Haya sasa tuambie mchezaji gani wa kitanzania unaweza kumchukulia kama aliyefanikiwa kimaisha kupitia mpira.... Mjumuishe na Samatta kabisa.
Uko sahihi ingekuwa uchawi unasaidia timu za Simba na Yanga zingechukua kombe la dunia!!!mpira ni formula hakuna njia za mkato mkato, hakuna kufoji, hakuna uchawi wala matambiko haya saidii
Mpira ukichezwa kwa nusu saa utatuona lakini dakika 90 biashara tutafanya saa ngapi, tulikataa uwanja wa mpira tulitaka uwe nusu kwingine tulime kahawa na migomba wakatugomea nasisi tukasema hatuutaki.Naelewa kabisa michezo iko mingi kama darts, karats, nao, kukimbiza kuku nk ola kwenye kandanda Wachagga hawaonekani sijajua kwanini.
Nimewahi kuwaona akina David Mwakalebela, akina Minziro akina.Masatu na hata.Kibaden Mputa lakini sijamuona Massawe Mushi wala Kavishe
Hata kule Upareni hakunaga wasakata kabumbu
Why?
Naelewa kabisa michezo iko mingi kama darts, karats, nao, kukimbiza kuku nk ola kwenye kandanda Wachagga hawaonekani sijajua kwanini.
Nimewahi kuwaona akina David Mwakalebela, akina Minziro akina.Masatu na hata.Kibaden Mputa lakini sijamuona Massawe Mushi wala Kavishe
Hata kule Upareni hakunaga wasakata kabumbu
Why?
Sekilojo Chambua ni mchagga?Musa msangi ilikipiga Simba
Sekilojo chambua
Wachaga once again...Watakuwepo mkuu, mfano yupo mkongwe Leodegar Tenga.
Ni kweli kilimanjaro hakuna uwanja wa maana wa soka uko sahihiMpira ukichezwa kwa nusu saa utatuona lakini dakika 90 biashara tutafanya saa ngapi, tulikataa uwanja wa mpira tulitaka uwe nusu kwingine tulime kahawa na migomba wakatugomea nasisi tukasema hatuutaki.
Wapare utakuwa unawaonea bure kwani wao wanamaumbile madogo na ni wafupi, mipira ya juu hawataiweza na mtawavunja miguu.
Umejemsha mwabaa.. Unataka kusema timu ikiwa Iringa inakuwa na wachezaji where pekee..???Unawajua Wana Paluhengo Lipuli FC?
Unacheza soka kisha unajipoza na Bamboo juice!
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Tuache kurafuta hela kwa wakati tukapige mpira mateke?