YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
😁😁😁😁Tuache kurafuta hela kwa wakati tukapige mpira mateke?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁😁Tuache kurafuta hela kwa wakati tukapige mpira mateke?
mpira ni formula hakuna njia za mkato mkato, hakuna kufoji, hakuna uchawi wala matambiko haya saidii
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Tumia definition unayoielewa wewe. Ya kwangu itazidi kukupa sababu za kutokujibulabda unipe definition yako ya" kufanikiwa kimaisha" then nitakuwa kwenye nafasi nzuri ya kujibu hilo swali Brother.
Wewe Mataga humjui Christopher Alex Masawe ?Naelewa kabisa michezo iko mingi kama darts, karats, nao, kukimbiza kuku nk ola kwenye kandanda Wachagga hawaonekani sijajua kwanini.
Nimewahi kuwaona akina David Mwakalebela, akina Minziro akina.Masatu na hata.Kibaden Mputa lakini sijamuona Massawe Mushi wala Kavishe
Hata kule Upareni hakunaga wasakata kabumbu
Why?
MsukumaChristopher Alex masawe
Hivi John makelele alikuwa mtu wa wapi nasikia alitokea kaskazini
Ova
Alex Masawe hukumsikia? Kuna dogo kwenye beki ya kulia ya Mtibwa Under20 anaitwa Mosha ni hatari sana.Naelewa kabisa michezo iko mingi kama darts, karats, nao, kukimbiza kuku nk ola kwenye kandanda Wachagga hawaonekani sijajua kwanini.
Nimewahi kuwaona akina David Mwakalebela, akina Minziro akina.Masatu na hata.Kibaden Mputa lakini sijamuona Massawe Mushi wala Kavishe
Hata kule Upareni hakunaga wasakata kabumbu
Why?
Ni mchaga ila alikulia KilosaTenga mpare
Sio ghorofa, ni maghorofa kila kijiji.Ghorofa kila kijiji
Naelewa kabisa michezo iko mingi kama darts, karats, nao, kukimbiza kuku nk ola kwenye kandanda Wachagga hawaonekani sijajua kwanini.
Nimewahi kuwaona akina David Mwakalebela, akina Minziro akina.Masatu na hata.Kibaden Mputa lakini sijamuona Massawe Mushi wala Kavishe
Hata kule Upareni hakunaga wasakata kabumbu
Why?
Kama huyu bingwa hapaIla wewe jamaa una wawaza sana wachaga na Chadema! Mada zako nyingi ni kuhusu Chadema na Wachaga!
Mbona hujatolea mifano ya wanyalukolo wenzako waliowahi kucheza/wanaocheza mpira, kabla ya kukimbilia kwa Wachaga? Au nyinyi fani yenu ni kunywa tu ulanzi na komoni?
Jamaa anataka kuona wachezaji wa Kichaga, na wakati hata huko Iringa aliko kwenyewe hakuna mchezaji mmoja mnyalu anayetambulika kwenye ligi kuu!Kama huyu bingwa hapa
Wale ni milenda sana na ndio sababu kubwa.Mchaga awezi ingia kwenye kitu chenye short life span
Kwamba wachagga wote wana maisha mazuri kuliko Samatta?Haya sasa tuambie mchezaji gani wa kitanzania unaweza kumchukulia kama aliyefanikiwa kimaisha kupitia mpira.... Mjumuishe na Samatta kabisa.
Wewe umeoa wachagga wote??[emoji23]Mimi nadhani ni watu na nusu. Nimeoa uchaggani jamaa wamejipanga