Hivi wachambuzi wa bongo huwa mnawaelewa kweli?

Hivi wachambuzi wa bongo huwa mnawaelewa kweli?

Kwani ni Morocco tu ndio kacheza WC qualification matches peke mbona hauja ulizia Senegal, Kenya,Ivory coast, Nigeria what so special for Morocco?

Kila mtu ana timu yake ya kushabikia, ila point yangu timu za waarabu ni asilimia chache kuletwa matokeo ukilinganisha na timu za weusi, hii ndio point yangu, ingia page ya shaffih dauda kama utakuta matokeo ya morocco siku tatu za nyuma, na si mara ya kwanza kwa timu za kaskazini
 
Kila mtu ana timu yake ya kushabikia, ila point yangu timu za waarabu ni asilimia chache kuletwa matokeo ukilinganisha na timu za weusi, hii ndio point yangu, ingia page ya shaffih dauda kama utakuta matokeo ya morocco siku tatu za nyuma, na si mara ya kwanza kwa timu za kaskazini
Ukiona hivyo ujue demand ni ndogo alf si usha pata matokeo unataka uchambuzi gani tena?
 
Ukiona hivyo ujue demand ni ndogo alf si usha pata matokeo unataka uchambuzi gani tena?

Wewe hapo yasipoletwa matokeo ya timu yako mfano simba and then yanga yaletwe utajiskiaje! Mpira haupo hivyo, na sports journalist hawatakiwi kuwa biased

Wivu❌
Chuki❌
Ubaguzi❌
 
Hope nyote wazima, wa afya tele!

Kuna wachambuzi hapa bongo huwa siwaelewi linapokuja suala la mpira, je! Ni mimi tu!

Hapo nyuma kulikua na mechi za ku Qualify kombe la dunia, na mashindano mengine, na nadhani wengi wenu mliangalia mechi hizo, ila baada ya mechi kuisha sijaona timu kubwa kama Morocco n.k tukiwekewa matokeo, na hii sio mara ya kwanza kwa timu za kiarabu kutowekewa matokeo pale tu wanaposhinda, ila wakifungwa utaona wachambuzi hawa wakiwahi kupost, hivyo sijajua shida ni nini, chuki ama ubaguzi kwa hawa wenzetu!

Mtu anaacha kupost matokeo ya mechi muhimu za ku Qualify kombe la dunia tena ya Morocco aliekiwasha, na akazisumbua timu kubwa kama Portugal na ufaransa w/cup 2022, na kutuwakilisha wa afrika 😄 halafu anakuja kutuwekea matokeo ya friendly matches za akina Portugal, Finland, Iceland, Luxembourg n.k 😃 aisee!

Hivi huwa mnawaelewa wachambuzi hawa? Hata kama utawachukia na kutotuwekea matokeo ya timu zao ilaa wachambuzi wakubwa na waliobobea wanatambua ubora wao hawa jamaa, so, wamebarikiwa kwanzia timu za taifa hadi vilabu wako vizuri,especially Morocco, egypt, Raja na Al Ahly. Mimi ni mmoja wa mafans wa Morocco 🇲🇦

So, Napinga sana ubaguzi, Mungu aniepushie mbali ubaguzi, wivu na chuki.

Usiku mwema!
Wewe ndio una shida yani unampangia mtu cha kupost...Post wewe hayo matokeo yao kwani huna bundle
 
Kumbe ulimtazama Mbona, Taribo West, Davor Suker, Rivaldo Zizou na golden era players halafu habari ya Morocco hiyo hukuifatilia!
Cambiasso, Zanett, samwel walter, Petit, deschamps, oriel ortega, batistuta, de lima, bebeto, zambrota, del piero, francoo zola, sol Campbell, okocha, kanu, hassan sas, suker, Baggio n.k

Makipa
Bartez
Seaman
Peter schmeichel
Buffon n.k
 
Cambiasso, Zanett, samwel walter, Petit, deschamps, oriel ortega, batistuta, de lima, bebeto, zambrota, del piero, francoo zola, sol Campbell, okocha, kanu, hassan sas, suker, Baggio n.k

Makipa
Bartez
Seaman
Peter schmeichel
Buffon n.k
Kuna mdau kauliza swali zuri mbona huko Morocco hawapost habari za Taifa stars kuifunga Zambia... Kumbuka Zambia ni timu kubwa na imechukua Afcon muongo mmoja uliopita... Hivo kumbe hata wao n wabaguzi kwann Sisi tuhangaike na habari zao?
 
Kwani ni Morocco tu ndio kacheza WC qualification matches peke mbona hauja ulizia Senegal, Kenya,Ivory coast, Nigeria what so special for Morocco?

Morocco wapo kundi moja na Taifa Stars, kwa wenzetu tungekuwaona wanatumia muda mwingi kuchambua mechi kama hiyo ambayo waliocheza ni washindani wetu kwenye kundi.
 
Acha kuhangaika na waarab!
Kumbuka hawana inshu na mtu mweusi...hata hiyo robo fainali unayosema walisema ni dedicated kwa Arabs achana nao

sasa kama walisema ni dedicated kwa arabs wewe unaumia nini mkuu?
 
Jamaini eeh ! Tuheshimu maamuzi ya kila mtu.Akiamua kuchambu TZ sawa akiamua Ug sawa akiamua Brazil sawa ili mradi asiseme uongo.Na wewe anza uchambuzi ili uicahmbue hiyo Morroco
 
Kuna mdau kauliza swali zuri mbona huko Morocco hawapost habari za Taifa stars kuifunga Zambia... Kumbuka Zambia ni timu kubwa na imechukua Afcon muongo mmoja uliopita... Hivo kumbe hata wao n wabaguzi kwann Sisi tuhangaike na habari zao?

ulifuatilia vyombo vya habari vya Morocco au unajipimia tu?
 
Morocco wenyewe hawakupendi wala hawana muda na wewe. Unajishobokea tu

Hawa si walishinda mechi world cup wakasema wao sio waafrika ni waarabu!

Wakafie mbele huko
 
Kuna mdau kauliza swali zuri mbona huko Morocco hawapost habari za Taifa stars kuifunga Zambia...
Uingereza, spain au italy wanapost timu yetu? Au clubs zetu!

Na je! Ulisikiliza au kuangalia journalists wao kama hawapost au kuchambua timu zetu?


Acha ubaguzi, morocco akitwaa kombe la dunia atakua ametuakilisha
 
Morocco wenyewe hawakupendi wala hawana muda na wewe. Unajishobokea tu

Hawa si walishinda mechi world cup wakasema wao sio waafrika ni waarabu!

Wakafie mbele huko

Ghana, burundi na congo wanakupenda? Wale kwakua ni waarabu ndio utasema hawatupendi na hawana muda na sisi, mpaka hapo wewe ni mbaguzi.
 
Uingereza, spain au italy wanapost timu yetu? Au clubs zetu!

Na je! Ulisikiliza au kuangalia journalists wao kama hawapost au kuchambua timu zetu?


Acha ubaguzi, morocco akitwaa kombe la dunia atakua ametuakilisha
Hizo nchi wachezaji wa kiafrika wetu wanacheza huko na tuna access ya kuangalia ligi zao so ni automatic tunajikuta tuna fatilia kinacho endelea huko, Je ligi ya Morocco inaonywesha kwenye king'amuzi gani na tunawafatilia kina nani?
 
Hizo nchi wachezaji wa kiafrika wetu wanacheza huko na tuna access ya kuangalia ligi zao so ni automatic tunajikuta tuna fatilia kinacho endelea huko, Je ligi ya Morocco inaonywesha kwenye king'amuzi gani na tunawafatilia kina nani?
Hujajibu swali, huko uingereza unakoshabikia timu zao, je! Wanahabari na sisi? Media au blog zao wanaleta matokeo ya taifa stars au clubs zetu simba na yanga! Au hata kuchambua timu zetu!

Kama wewe ni mzalendo wa kweli bila kujali RACE, zikikutana fainali UINGEREZA NA MOROCCO 🇲🇦 utaenda na nani hapo???
 
Back
Top Bottom