Hivi wachambuzi wa bongo huwa mnawaelewa kweli?

Hivi wachambuzi wa bongo huwa mnawaelewa kweli?

Ulisikia wakitamka hayo maneno? Au na wewe umewekewa caption na wabongo ukaingia mkingi bila kufanya research!
Oya Oya huyo. Muulize akicheza Senegal na Algeria anashangilia timu ipi na kwasababu zipi utasikia majibu yake.

Sisi tunaona sawa tukisema Yanga atacheza na Waarabu, Ila Al Ahly akisema anacheza na Watu Weusi inakua nongwa. Hatujawahi kuwa proud kabisa na rangi yetu.

Angalia saizi Algeria anafikiria kujitoa CAF kisa upendeleo kwa Morocco ila angalia wanaongoza kwa kumshambulia ni Watu Weusi. Hata kureason anachopigania Algeria mtu mweusi kashindwa. Wamebaki kumuita Mbaguzi. Huyo Algeria moja ya uwanja wanaochezea timu ya Taifa unaitwa Nelson Mandela. Jenga bongo ita jina la Mwarabu uone moto wake.

Sikatai Waarabu ni wabaguzi kama zilivyo races zote ila mtu mweusi sio tu mbaguzi bali pia ni mbinafsi.

Akisikia mtu mweusi kapewa uongozi pale London anakenua meno yote, ila huku akipewa Bongo Zozo hakuna rangi ataacha kuiona.
 
Hujajibu swali, huko uingereza unakoshabikia timu zao, je! Wanahabari na sisi? Media au blog zao wanaleta matokeo ya taifa stars au clubs zetu simba na yanga! Au hata kuchambua timu zetu!

Kama wewe ni mzalendo wa kweli bila kujali RACE, zikikutana fainali UINGEREZA NA MOROCCO 🇲🇦 utaenda na nani hapo???
Ligi za kasikazini zinaoneshwa channel gani ili hao wachambuzi wafatilie na issue ya kushabikia timu haina uhusiano na race mimi world cup hua nashabikia Brazil hata icheze na nani England na Morocco watajuana wenyewe mimi nita angalia mpira
 
Oya Oya huyo. Muulize akicheza Senegal na Algeria anashangilia timu ipi na kwasababu zipi utasikia majibu yake.

Sisi tunaona sawa tukisema Yanga atacheza na Waarabu, Ila Al Ahly akisema anacheza na Watu Weusi inakua nongwa. Hatujawahi kuwa proud kabisa na rangi yetu.

Angalia saizi Algeria anafikiria kujitoa CAF kisa upendeleo kwa Morocco ila angalia wanaongoza kwa kumshambulia ni Watu Weusi. Hata kureason anachopigania Algeria mtu mweusi kashindwa. Wamebaki kumuita Mbaguzi. Huyo Algeria moja ya uwanja wanaochezea timu ya Taifa unaitwa Nelson Mandela. Jenga bongo ita jina la Mwarabu uone moto wake.

Sikatai Waarabu ni wabaguzi kama zilivyo races zote ila mtu mweusi sio tu mbaguzi bali pia ni mbinafsi.

Akisikia mtu mweusi kapewa uongozi pale London anakenua meno yote, ila huku akipewa Bongo Zozo hakuna rangi ataacha kuiona.
Hahhhaaa, nimekuelewa kamanda wangu 😄
 
Mtu mweusi ni kiumbe mbaguzi kuliko viumbe wote duniani ni vile hana maendeleo tu.
 
kulalamika ni ishara ya kuumia
Nani alalamikie waarabu? Nilikuwa nampa facts aache kunyenyekea wa Moroko ambao hawajibainishi kwa vyovyote kuwa sawa na mtoa mada. Kuwa ni heri aangalie mambo yake na si hao waarab
 
Ujumbe umewafikia wachambuzi ambao wenye elements za ubaguzi, chuki na wivu+mashabiki, so badilikeni!

Stop Racism
 
Back
Top Bottom