Hari?Nishawahi kuwa mwanariadha wa mita 800, sijui haya mambo yalikuwa yananitokea mimi tu, kwenda haja saana kabla yakuingia mchezoni hari hiyo ilikuwa ikinipata sana. Hivyo hivyo na kwenye mpira wa kimashidano nilikuwaga namba 7 ya mbio sana
1. Hujiandaa kabla ya mchezoHivi umewahi kuona wachezaji wanatoka kwenda kujisajidia?ndani mchezo ukiwa unaendelea iwe dakika 45 za mchezo ama zile 45 za kipindi cha pili.
Toka nijue mpira sijaona hata aliepata haja akaomba atoke kujisaidia
Nawaza tu wanakulaga dawa wasioate haja ama!
Kumbe hata mpira hujawahi kucheza na unavyojidai shabiki mandazi wewe.Hivi umewahi kuona wachezaji wanatoka kwenda kujisajidia?ndani mchezo ukiwa unaendelea iwe dakika 45 za mchezo ama zile 45 za kipindi cha pili.
Toka nijue mpira sijaona hata aliepata haja akaomba atoke kujisaidia
Nawaza tu wanakulaga dawa wasioate haja ama!
Dk 45 huyo atakuwa mgonjwa hata hastaili kucheza mpiraHivi umewahi kuona wachezaji wanatoka kwenda kujisajidia?ndani mchezo ukiwa unaendelea iwe dakika 45 za mchezo ama zile 45 za kipindi cha pili.
Toka nijue mpira sijaona hata aliepata haja akaomba atoke kujisaidia
Nawaza tu wanakulaga dawa wasioate haja ama!
utajiju nyoloHari?
Mkubwa nje ya mada kidogo. Fanya mchakato ubadili hili jina lako manake hali imekorogeka kidogo!Hivi umewahi kuona wachezaji wanatoka kwenda kujisajidia?ndani mchezo ukiwa unaendelea iwe dakika 45 za mchezo ama zile 45 za kipindi cha pili.
Toka nijue mpira sijaona hata aliepata haja akaomba atoke kujisaidia
Nawaza tu wanakulaga dawa wasioate haja ama!
Winga terezaNishawahi kuwa mwanariadha wa mita 800, sijui haya mambo yalikuwa yananitokea mimi tu, kwenda haja saana kabla yakuingia mchezoni hari hiyo ilikuwa ikinipata sana. Hivyo hivyo na kwenye mpira wa kimashidano nilikuwaga namba 7 ya mbio sana
Mwili unakuwa upo kwenye temper ya juu hivyo vyote vinajifunga kwa sisi tuliochezaHivi umewahi kuona wachezaji wanatoka kwenda kujisajidia?ndani mchezo ukiwa unaendelea iwe dakika 45 za mchezo ama zile 45 za kipindi cha pili.
Toka nijue mpira sijaona hata aliepata haja akaomba atoke kujisaidia
Nawaza tu wanakulaga dawa wasioate haja ama!
Huwa hawanyi ovyo ovyo hao.Hivi umewahi kuona wachezaji wanatoka kwenda kujisajidia?ndani mchezo ukiwa unaendelea iwe dakika 45 za mchezo ama zile 45 za kipindi cha pili.
Toka nijue mpira sijaona hata aliepata haja akaomba atoke kujisaidia
Nawaza tu wanakulaga dawa wasioate haja ama!
Dunia inaenda kasi sana, wenzio wana calculate nani kapiga pasi ngapi wewe unatafiti kwanini hakuna choo kati kati ya uwanja!Hivi umewahi kuona wachezaji wanatoka kwenda kujisajidia?ndani mchezo ukiwa unaendelea iwe dakika 45 za mchezo ama zile 45 za kipindi cha pili.
Toka nijue mpira sijaona hata aliepata haja akaomba atoke kujisaidia
Nawaza tu wanakulaga dawa wasioate haja ama!