To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣Jibu zuriutajiju nyolo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Jibu zuriutajiju nyolo
Ndani ya DK 45 haja zote unaeza kuzuia labda kama waumwa tumbo ,Hivi umewahi kuona wachezaji wanatoka kwenda kujisajidia?ndani mchezo ukiwa unaendelea iwe dakika 45 za mchezo ama zile 45 za kipindi cha pili.
Toka nijue mpira sijaona hata aliepata haja akaomba atoke kujisaidia
Nawaza tu wanakulaga dawa wasioate haja ama!
Didier Drogba pia aliwahi kutoka kwenda haja na kurejea uwanjani kwenye mechi moja ya Chelsea.Nilimuonaga Eric Dier wa Tottenham Hotspur alitoka mchezo unaendelea akaenda chooni baadae akarejea
Hajasoma shule mtoa mada na wachangiaji hili ndo jibuJasho na mkojo:
Mwili unapotoa jasho jingi kiwango cha mkojo hupungua!
Kuvuja jasho dakika 45 huo mkojo unaanzia wapi? Maji yenyewe huwa hawanywi ni wanalamba tu kulowanisha mdomo na kooMpya hii mpwa watakuwa wanakitu wanakula...kuzuia dk 90 usiende haja sio mchezo
Na matraffick wanakojoaga wapi
Zamani ilikuwa marufuku mchezaji kuwa shoga ndio maana ulikuwa huwezi kuona hayo matukio,ila kwa sasa kutokana na mambo haya kuruhusiwa,tegemea kuona wachezaji wakienda kuukweka katikati ya mchezoHivi umewahi kuona wachezaji wanatoka kwenda kujisajidia?ndani mchezo ukiwa unaendelea iwe dakika 45 za mchezo ama zile 45 za kipindi cha pili.
Toka nijue mpira sijaona hata aliepata haja akaomba atoke kujisaidia
Nawaza tu wanakulaga dawa wasioate haja ama!
Sayansi ya darasa la Tano inajibu swali lako vizuri . Mwili unapotoa jasho . Kama mtu ametulia ndo haja ndogo inajikusanya Kwa kibofuHivi umewahi kuona wachezaji wanatoka kwenda kujisajidia?ndani mchezo ukiwa unaendelea iwe dakika 45 za mchezo ama zile 45 za kipindi cha pili.
Toka nijue mpira sijaona hata aliepata haja akaomba atoke kujisaidia
Nawaza tu wanakulaga dawa wasioate haja ama!