Hivi wachezaji wakibanwa haja ndogo au kubwaa mchezo ukiwa unaendelea anaweza kutoka au kuna vitu wanakula?

Hivi wachezaji wakibanwa haja ndogo au kubwaa mchezo ukiwa unaendelea anaweza kutoka au kuna vitu wanakula?

Nilimuonaga Eric Dier wa Tottenham Hotspur alitoka mchezo unaendelea akaenda chooni baadae akarejea
Sergio Ramos pia na hivi karibuni msimu uliopita Lamine Yamal aliofanya hivyo.

Ni jambo la kawaida na inaruhusiwa sema tu huwa haitokei mara kwa mara.
 
Back
Top Bottom