Hivi wachezaji wakibanwa haja ndogo au kubwaa mchezo ukiwa unaendelea anaweza kutoka au kuna vitu wanakula?

Ndani ya DK 45 haja zote unaeza kuzuia labda kama waumwa tumbo ,
 
Nilimuonaga Eric Dier wa Tottenham Hotspur alitoka mchezo unaendelea akaenda chooni baadae akarejea
Didier Drogba pia aliwahi kutoka kwenda haja na kurejea uwanjani kwenye mechi moja ya Chelsea.
 
Mpya hii mpwa watakuwa wanakitu wanakula...kuzuia dk 90 usiende haja sio mchezo
Kuvuja jasho dakika 45 huo mkojo unaanzia wapi? Maji yenyewe huwa hawanywi ni wanalamba tu kulowanisha mdomo na koo
 
Hawezi pata mkojo asee, japo ikitojea kiac unakichafua tuu.
 
Hajasoma shule mtoa mada na wachangiaji hili ndo jibu
We uliosomaa kanywe konyagi uone jasholake na vita u ayopambana nayooo choooon
 
Kuna wachezaji wakibanwa na mavi wanakwenda kujigongesha kwa makusudi kwa wachezaji wenzao na wanapoanguka huwa wanaomba sub wakitolewa wanawahi fasta chooni.Maana kila mtu humu ooh mkojo ukitoka jasho haya tumbo la kuhara kwenye biology kunasemaje?
 
Kuna mchezaji wa timu moja kati ya Spurs au United alitoka kwenda kujisadia, Morinho alichukia sana akiwa Coach
 
Zamani ilikuwa marufuku mchezaji kuwa shoga ndio maana ulikuwa huwezi kuona hayo matukio,ila kwa sasa kutokana na mambo haya kuruhusiwa,tegemea kuona wachezaji wakienda kuukweka katikati ya mchezo
 
Huwez pata mkojo huku jasho lingi linakutoka utakuwa mgonjwa pale uwanjan s mchezo labda uwe na tumbo la kuhara
 
Mtu nakaa masaa hata manne hajakojoa sembuse dk 90? ambazo ndani yake kuna mapumziko, ukiwa unaharisha huo ni ugonjwa unaomba usipangwe kwani unaharisha
 
Kayokoooo kazikwakoo
 
Hata ramos imewai kumkuta hiyo
 

Attachments

  • Screenshot_20241017_163622_Chrome.jpg
    346.2 KB · Views: 1
Miaka ya themanini Simba ilikuwa msumbuji kwenye mashindano ya klabu bingwa mchezaji wao Nico Njohole alibanwa na mkojo akaenda kujisaidia pembeni ya uwanja.
 
Sayansi ya darasa la Tano inajibu swali lako vizuri . Mwili unapotoa jasho . Kama mtu ametulia ndo haja ndogo inajikusanya Kwa kibofu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…