900 Itapendeza zaidi JF-Expert Member Joined Nov 19, 2017 Posts 7,704 Reaction score 9,186 Oct 18, 2024 #61 ngara23 said: Nilimuonaga Eric Dier wa Tottenham Hotspur alitoka mchezo unaendelea akaenda chooni baadae akarejea Click to expand... nakumbuka aliporudi ku puu kafunga na goli
ngara23 said: Nilimuonaga Eric Dier wa Tottenham Hotspur alitoka mchezo unaendelea akaenda chooni baadae akarejea Click to expand... nakumbuka aliporudi ku puu kafunga na goli
M Muhimbu JF-Expert Member Joined Nov 7, 2023 Posts 1,886 Reaction score 3,557 Oct 18, 2024 #62 ngara23 said: Nilimuonaga Eric Dier wa Tottenham Hotspur alitoka mchezo unaendelea akaenda chooni baadae akarejea Click to expand... Sergio Ramos pia na hivi karibuni msimu uliopita Lamine Yamal aliofanya hivyo. Ni jambo la kawaida na inaruhusiwa sema tu huwa haitokei mara kwa mara.
ngara23 said: Nilimuonaga Eric Dier wa Tottenham Hotspur alitoka mchezo unaendelea akaenda chooni baadae akarejea Click to expand... Sergio Ramos pia na hivi karibuni msimu uliopita Lamine Yamal aliofanya hivyo. Ni jambo la kawaida na inaruhusiwa sema tu huwa haitokei mara kwa mara.