Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 2,582
- 4,554
Unakuta mdada ana mahusiano ya kimapenzi na wanaume zaidi ya kumi na wote anawahudumia na anawapiga vizinga na wanamuamini hivi mnawezaje?
Unakuta msela anajiaminisha kabisa kuwa fulan ni manzi yake wakati kwenye ground haipo ivo cjui mnawezaje kuwaaminisha hao wote hadi wakuamini?
NB, am boy but am curious to know, naona majamaa zangu wanapigwa vizinga na hawaambiliki upuuzi!
Unakuta msela anajiaminisha kabisa kuwa fulan ni manzi yake wakati kwenye ground haipo ivo cjui mnawezaje kuwaaminisha hao wote hadi wakuamini?
NB, am boy but am curious to know, naona majamaa zangu wanapigwa vizinga na hawaambiliki upuuzi!