Hivi wafanyabiashara wenzangu, mliwezaje kudeal na mpinzani wako ambaye kakuzidi kila kitu!

Hivi wafanyabiashara wenzangu, mliwezaje kudeal na mpinzani wako ambaye kakuzidi kila kitu!

Nishafanya biashara za aina hio mkuu mwaka 2011 moja ya sababu kubwa ya kuuza sana sio kwamba anawateja wengi , mara nyingi unakuwa na wateja wako ambao wananunua kwako kila siku yaani hawa hata usipate mteja wao watakuja kununua tu... kwa mfano wakati huu wateja wetu wakubwa walikuwa nje ya eneo duka lilipo na biashara zao zilikuwa migahawa maana yake mchele wanahitaji mwingi.
Hivyo kabla ya kusubiria mteja kuja kununua kwako wafuate na ongea nao uwashawishi , tengeneza namna ambayo wataona ni faida kuchukua mchele kwako kuliko kwa wengine , huu tunaita urafiki wa kibiashara.

Mimi nilikuwa nakaa dukani enzi hizo , ila Bi mkubwa yeye anatembekea waumini wenzake kanisani na watu anao wajua ambao wanabiashara anawapa pitch nzuri ndio wanakuja kununua mzigo mkubwa(Hapa kuna namna nzuri ya kuwavutia mfano unawapa mchele na wanalipa baada ya mauzo n.k)
Biashara za Nafaka hasa hizi za jumla hazitaki ukae dukani na usubirie mteja akutafute , mteja mkubwa unamtafuta wewe , kaa dukani subiria wateja wa reja reja tu akija mkubwa ni bahati yako .

Mambo mengine ni ya kiimani plus mazindiko sitaki kuyazungumzia
Bi mkubwa alikuwa anamwaga sana maji yaliombewa na kunipaka mafuta kabla sijaenda kufungua duka[emoji23][emoji23]
 
Lakwanza kabsa anza kwa kuchunguza jiran yako wateja wake anaishi nao vp, je bei zake vp je quality ya mzgo wake vp

Lapili jipe mda kua mvumilivu
La tatu acha kuangalia wengne jipange na biashara yako kla mtu na njia zake zakufanya biashara
 
Nishafanya biashara za aina hio mkuu mwaka 2011 moja ya sababu kubwa ya kuuza sana sio kwamba anawateja wengi , mara nyingi unakuwa na wateja wako ambao wananunua kwako kila siku yaani hawa hata usipate mteja wao watakuja kununua tu... kwa mfano wakati huu wateja wetu wakubwa walikuwa nje ya eneo duka lilipo na biashara zao zilikuwa migahawa maana yake mchele wanahitaji mwingi.
Hivyo kabla ya kusubiria mteja kuja kununua kwako wafuate na ongea nao uwashawishi , tengeneza namna ambayo wataona ni faida kuchukua mchele kwako kuliko kwa wengine , huu tunaita urafiki wa kibiashara.

Mimi nilikuwa nakaa dukani enzi hizo , ila Bi mkubwa yeye anatembekea waumini wenzake kanisani na watu anao wajua ambao wanabiashara anawapa pitch nzuri ndio wanakuja kununua mzigo mkubwa(Hapa kuna namna nzuri ya kuwavutia mfano unawapa mchele na wanalipa baada ya mauzo n.k)
Biashara za Nafaka hasa hizi za jumla hazitaki ukae dukani na usubirie mteja akutafute , mteja mkubwa unamtafuta wewe , kaa dukani subiria wateja wa reja reja tu akija mkubwa ni bahati yako .

Mambo mengine ni ya kiimani plus mazindiko sitaki kuyazungumzia
Bi mkubwa alikuwa anamwaga sana maji yaliombewa na kunipaka mafuta kabla sijaenda kufungua duka[emoji23][emoji23]
Duuuh shukranii bro umemwaga cheche na kwa hakika nitaanza kuzifanyia kazii
 
Lakwanza kabsa anza kwa kuchunguza jiran yako wateja wake anaishi nao vp, je bei zake vp je quality ya mzgo wake vp

Lapili jipe mda kua mvumilivu
La tatu acha kuangalia wengne jipange na biashara yako kla mtu na njia zake zakufanya biashara
Shukraniii sana bro
 
Shukuru umeanzisha biashara yako,pambana usikate tamaa.
Pia biashara ya mazao Siri iko Kwenye quality ya mzigo na price.
Usitake kuingia Kwenye ligi na MTU aliyekuzidi kila kitu....learn from him .

Kama anaingilika sio Kwamba hamsalimiani then ask him akupe ABC ya eneo husika.
Yawezekana wateja wake ni WA mbali sio WA hapo ilipo....au labda anauza Mali kauli. Never know
 
Mimi ni mfanyabiashara wa nafaka hapa jijini Dar es Salaam. Sio mgeni katika kufanya biashara ila naweza sema ni mgeni katika kufanya biashara ya kwangu. Kwa sababu hapo awalii nilikuwa nafanya biashara za watu tuu.

Na sikujua kama biashara zina changamoto hivi hasa ukiwa wewe ndio mwenye biashara.

Mpaka sasa huu ni mwezi wa tatu nipo katika biashara yangu mpya ya nafaka nauza mchele na maharage nimepitia changamoto nyingi sana haswa matapelii, dalali kukutumia mzigo mbaya ambao unachukua kwa bei ya juu halafu ukifika sokoni lazima ukakate hela unauza bei ya chini kurudisha hela mda mwingine unaokoa tu hela. Changamoto ni nyingi kwakwelii ila sijakata tamaa napambana.

Sasa kuna hili swala.. ninapouza kuna jirani yangu naye anauza biashara kama yangu nimemkuta na inaonesha ana muda mrefu sana katika biashara, ana wateja wa kutosha na ana mtajii wa kutosha kiufupi kanizidii pakubwa sana.

Changamoto ipo kwenye wateja hivi wenzangu huwa mnahisi vipi mwenzako mmefungua duka sawa mna biashara zinazofanana ila chakushangaza mwenzako anauza gunia kumi asubuhi wewe ndo kwanza hata kilo moja hujauza 😁😁 mikokoteni inapaki kila muda plus mapikipiki muda wote hayakaukii yananunua mizigo pale wewe bado ngoma ngumuu.

Hivi wafanyabiashara wenzangu mliwezaje kudeal na mpinzani wako ambaye kakuzidiii kila kitu na ukizingatia wewe ndio kwanza unaanza ila miezi ndio hivyo mwezi watatu? Msaada wenu tafadhali

Nyongeza: Biashara ya mchele ni pasua kichwa sana walioweza sijui wanafanya vipi aiseee toka nimeanzaa faida siioni.

Nawatamani sana wateja wa jumla ila wanataka mchele mzuri halafu kwa bei mteremko bila kujua mimi nakochukua nachukua bei kubwa.

Swali lingine kwa wafanyabiashra wana mchele faida inabidi iwe sh ngapi kwa gunia kwa kawaida huenda mimi naweka faida kubwa halafu sijui.
Wewe ni mgeni katika biashara, umekosa maeneo yote, unakwenda kufungua biashara jirani na mtu mzoefu na mshindani wako?
 
Mimi ni mfanyabiashara wa nafaka hapa jijini Dar es Salaam. Sio mgeni katika kufanya biashara ila naweza sema ni mgeni katika kufanya biashara ya kwangu. Kwa sababu hapo awalii nilikuwa nafanya biashara za watu tuu.

Na sikujua kama biashara zina changamoto hivi hasa ukiwa wewe ndio mwenye biashara.

Mpaka sasa huu ni mwezi wa tatu nipo katika biashara yangu mpya ya nafaka nauza mchele na maharage nimepitia changamoto nyingi sana haswa matapelii, dalali kukutumia mzigo mbaya ambao unachukua kwa bei ya juu halafu ukifika sokoni lazima ukakate hela unauza bei ya chini kurudisha hela mda mwingine unaokoa tu hela. Changamoto ni nyingi kwakwelii ila sijakata tamaa napambana.

Sasa kuna hili swala.. ninapouza kuna jirani yangu naye anauza biashara kama yangu nimemkuta na inaonesha ana muda mrefu sana katika biashara, ana wateja wa kutosha na ana mtajii wa kutosha kiufupi kanizidii pakubwa sana.

Changamoto ipo kwenye wateja hivi wenzangu huwa mnahisi vipi mwenzako mmefungua duka sawa mna biashara zinazofanana ila chakushangaza mwenzako anauza gunia kumi asubuhi wewe ndo kwanza hata kilo moja hujauza 😁😁 mikokoteni inapaki kila muda plus mapikipiki muda wote hayakaukii yananunua mizigo pale wewe bado ngoma ngumuu.

Hivi wafanyabiashara wenzangu mliwezaje kudeal na mpinzani wako ambaye kakuzidiii kila kitu na ukizingatia wewe ndio kwanza unaanza ila miezi ndio hivyo mwezi watatu? Msaada wenu tafadhali

Nyongeza: Biashara ya mchele ni pasua kichwa sana walioweza sijui wanafanya vipi aiseee toka nimeanzaa faida siioni.

Nawatamani sana wateja wa jumla ila wanataka mchele mzuri halafu kwa bei mteremko bila kujua mimi nakochukua nachukua bei kubwa.

Swali lingine kwa wafanyabiashra wana mchele faida inabidi iwe sh ngapi kwa gunia kwa kawaida huenda mimi naweka faida kubwa halafu sijui.
Usi deal na mfanyabiashara mwenzako, deal na wateja
 
Huwezi kuanzisha biashara Leo hii hii na ufanikiwe hapo hapo.... asilimia kubwa ya wafanya biashara wengi wa dar es salaam ni either wanaaminiwa na wakulima au wanalima wenyewe mazao yao...!

Hapo ndio ilipo tafsiri ya subutu kulima uone bei tutakupangia🤣🤣🤣​
 
Mimi ni mfanyabiashara wa nafaka hapa jijini Dar es Salaam. Sio mgeni katika kufanya biashara ila naweza sema ni mgeni katika kufanya biashara ya kwangu. Kwa sababu hapo awalii nilikuwa nafanya biashara za watu tuu.

Na sikujua kama biashara zina changamoto hivi hasa ukiwa wewe ndio mwenye biashara.

Mpaka sasa huu ni mwezi wa tatu nipo katika biashara yangu mpya ya nafaka nauza mchele na maharage nimepitia changamoto nyingi sana haswa matapelii, dalali kukutumia mzigo mbaya ambao unachukua kwa bei ya juu halafu ukifika sokoni lazima ukakate hela unauza bei ya chini kurudisha hela mda mwingine unaokoa tu hela. Changamoto ni nyingi kwakwelii ila sijakata tamaa napambana.

Sasa kuna hili swala.. ninapouza kuna jirani yangu naye anauza biashara kama yangu nimemkuta na inaonesha ana muda mrefu sana katika biashara, ana wateja wa kutosha na ana mtajii wa kutosha kiufupi kanizidii pakubwa sana.

Changamoto ipo kwenye wateja hivi wenzangu huwa mnahisi vipi mwenzako mmefungua duka sawa mna biashara zinazofanana ila chakushangaza mwenzako anauza gunia kumi asubuhi wewe ndo kwanza hata kilo moja hujauza 😁😁 mikokoteni inapaki kila muda plus mapikipiki muda wote hayakaukii yananunua mizigo pale wewe bado ngoma ngumuu.

Hivi wafanyabiashara wenzangu mliwezaje kudeal na mpinzani wako ambaye kakuzidiii kila kitu na ukizingatia wewe ndio kwanza unaanza ila miezi ndio hivyo mwezi watatu? Msaada wenu tafadhali

Nyongeza: Biashara ya mchele ni pasua kichwa sana walioweza sijui wanafanya vipi aiseee toka nimeanzaa faida siioni.

Nawatamani sana wateja wa jumla ila wanataka mchele mzuri halafu kwa bei mteremko bila kujua mimi nakochukua nachukua bei kubwa.

Swali lingine kwa wafanyabiashra wana mchele faida inabidi iwe sh ngapi kwa gunia kwa kawaida huenda mimi naweka faida kubwa halafu sijui.
Habari chief,
Nikirejea uzi wako hapo juu inaonesha unahitaji misingi ya game na elimu ya biashara angalau kutoka kwa mfanyabiashara mzoefu awe mentor ili kukupa experiance ya game. Binafsi nitachangia kidogo kulingana na uelewa wangu naamini itasaidiapo haha.
Umeandika kuwa umewahi kufanya biashara kwakuajiriwa kwa mtu lakini kimsingi hapo ulikua muajiriwa si mfanya biashara.
Katika biashara zingatia yafuatayo:

1) Lijue soko lako (wateja) kwa kufanya utafiti kujua walaji wako ni watu wa namna/kipato gani hii itakusadia/kukuanda na aina ya mzigo wakuweka usije ukawa unaleta mchele grade 1 kumbe soko linataka mchele wa kitonga kwa bei yakutupa

2) Mahusiano,
Biashara ni watu tufuta watu wanaofanya biashara kama yako hususani walio karibu/maeneo ya jirani ongea nao itakusaidia kulielewa game la eneo husika na tabia za wateja wake pia zungumza na wateja wako utajifunza kitu na pia mahusiano mazuri yatakusaidia kupata dalali wa kuaminika angalau.

3) Biashara ni imani na inaitaji uwe na muscle kupigania ndoto yako hususani ikiwa kwenye hatua za awali na upepo ukayumba, kikubwa usikate tamaa kama umejiridhisha kwenye point 1, 2 hapo juu.
Imani inaenda mbali zaidi kushirikisha Mungu/Ushirikina utachagua wewe

4) Ubunifu na jitihada
Usisubiri mteja akufuate, weka jitihada kutafuta mteja mpe sababu ya kununua kwako zingatia mteja ni mfalme na ukimpata jitahidi kumtunza kwa kuzingatia matakwa yake na hapa ndio utaelewa kwanini makampuni yanayo jielewa yanatenga bajeti kubwa kwenye upande wa masoko (marketing) na upande wa tafiti (R&D)

Wadau wataongezea mengine,

Mwisho nikupongeze kwa uthubutu na kila lakheri kwenye safari yako ya mapambano.
 
Upo Step 1 then kujifananisha au kutaka kupambana na mtu aliye step 30 mbele ni ujinga
Everything is a process huyo jamaa hakufika hapo ndani ya miezi 3 mpk mwaka ilimchukua miaka

It take skill and time to be a good agent(subway surfers kiloo QUOTE)

Namba 1 kuza msingi kwanza pole pole(inahitaji kuwa mbahili na mvumilivu na muda pia)

2 Tengeneza wateja wako (achana kwanza na wateja wa JUMLA watakuja wenyewe muda ukifika wewe Tengeneza ROYAL CUSTOMER kwanza hao hao wa robo robo nusu nusu kilo kilo hao ndio watakuletea wateja zaidi mteja MMOJA ana wateja 10 nyuma yake

3 ukishajua mzunguko wako kwa wiki mpka mwenzi unahitaji gunia ngapi
Anza kusafiri directly unapopatikana mchele( ili utoboe BIASHARA ya NAFAKA Kuna mda Unafika ni lazima ufate zinakotoka ili kupunguza msululu wa madalall) na kujenga strong bond na madalali wa Uhakika

4 ukishaenda sasa unakotoka na ukawa kidogo na msingi mnzuri n ukajuana wanaonunua directly kwa wakulima inanbidi sasa uwafahani wakulima
Na deal nzuri kipindi Cha mavuno kuweka katika ghala

Ni hayo kwa Leo kwa uchache
 
Kwanini ulipeleka product sawia na uliyemkuta ktk huo mtaa?
Swali la kipuuzi hili

Moja katika njia za kufanikiwa kibiashara ni KUTAKE RISK
huyo ameamua kufanya BIASHARA
ingekuwa wote wanawaza hvyo HILL WATER AFYA wasingeingiza PRODUCT zao mtaani 7bu AZAM MASAFI wapo na wanatosheleza mahitaji ya maji
Na AZAM asingeingiza maji mtaan 7bu. Maji safi tulikuwa tunayaamini ni KILIMANJARO TU
 
Mimi ni mfanyabiashara wa nafaka hapa jijini Dar es Salaam. Sio mgeni katika kufanya biashara ila naweza sema ni mgeni katika kufanya biashara ya kwangu. Kwa sababu hapo awalii nilikuwa nafanya biashara za watu tuu.

Na sikujua kama biashara zina changamoto hivi hasa ukiwa wewe ndio mwenye biashara.

Mpaka sasa huu ni mwezi wa tatu nipo katika biashara yangu mpya ya nafaka nauza mchele na maharage nimepitia changamoto nyingi sana haswa matapelii, dalali kukutumia mzigo mbaya ambao unachukua kwa bei ya juu halafu ukifika sokoni lazima ukakate hela unauza bei ya chini kurudisha hela mda mwingine unaokoa tu hela. Changamoto ni nyingi kwakwelii ila sijakata tamaa napambana.

Sasa kuna hili swala.. ninapouza kuna jirani yangu naye anauza biashara kama yangu nimemkuta na inaonesha ana muda mrefu sana katika biashara, ana wateja wa kutosha na ana mtajii wa kutosha kiufupi kanizidii pakubwa sana.

Changamoto ipo kwenye wateja hivi wenzangu huwa mnahisi vipi mwenzako mmefungua duka sawa mna biashara zinazofanana ila chakushangaza mwenzako anauza gunia kumi asubuhi wewe ndo kwanza hata kilo moja hujauza 😁😁 mikokoteni inapaki kila muda plus mapikipiki muda wote hayakaukii yananunua mizigo pale wewe bado ngoma ngumuu.

Hivi wafanyabiashara wenzangu mliwezaje kudeal na mpinzani wako ambaye kakuzidiii kila kitu na ukizingatia wewe ndio kwanza unaanza ila miezi ndio hivyo mwezi watatu? Msaada wenu tafadhali

Nyongeza: Biashara ya mchele ni pasua kichwa sana walioweza sijui wanafanya vipi aiseee toka nimeanzaa faida siioni.

Nawatamani sana wateja wa jumla ila wanataka mchele mzuri halafu kwa bei mteremko bila kujua mimi nakochukua nachukua bei kubwa.

Swali lingine kwa wafanyabiashra wana mchele faida inabidi iwe sh ngapi kwa gunia kwa kawaida huenda mimi naweka faida kubwa halafu sijui.
Deal na biashara yako kwasababu hata ukienda kwa mganga hata badili mchele mbovu kuwa mzuri tena mshukuru jirani kukusogezea wateja karibu unachohitaji ni kuboresha biashara yako
 
Back
Top Bottom