Shukraniii sana mkuuuSio lazima kwa simu.
Kwenye mtaa unakoishi hakuna wamama wanauza migahawa?anza nao hao kuwashawishi kwa bei na ubora wa bidhaa yako yaani kwa mfano ukimpa punguzo la shilingi 200 tu kwa kila kilo moja maana yake anajua akinunua kilo 10 kwako ataokoa shilingi elfu 2 lazima aje kununua kwako.
Haya majirani zako unakoishi hawapiki mchele?watembelee mmoja mmoja na kuwaonyesha sampo ya mchele wako ukiwatangazia watu 10 kuna uwezekano mkubwa wa kuwanasa angalau watatu na wengine watakupa ahadi za siku zijazo.
Biashara ni kujiongeza ndugu ukisubiria ufundishwe kila kitu utachelewa sana kufanikiwa
Aondoke nna hiliUmesema jirani yako ana muda mwingi katika biashara hiyo halafu unapΓ nic kuona ana wateja wengi.
Kwanza, atoe punguzo la 200 p/kg wakati faida p/kg ni 180. Unataka apate lose?Sio lazima kwa simu.
Kwenye mtaa unakoishi hakuna wamama wanauza migahawa?anza nao hao kuwashawishi kwa bei na ubora wa bidhaa yako yaani kwa mfano ukimpa punguzo la shilingi 200 tu kwa kila kilo moja maana yake anajua akinunua kilo 10 kwako ataokoa shilingi elfu 2 lazima aje kununua kwako.
Haya majirani zako unakoishi hawapiki mchele?watembelee mmoja mmoja na kuwaonyesha sampo ya mchele wako ukiwatangazia watu 10 kuna uwezekano mkubwa wa kuwanasa angalau watatu na wengine watakupa ahadi za siku zijazo.
Biashara ni kujiongeza ndugu ukisubiria ufundishwe kila kitu utachelewa sana kufanikiwa
Ngoja nikufundishe polepole utaelewa inavyoonekana wewe una uwezo mdogo wa kujiongeza unaishi kwa kukariri,ukishaona kichwa chako kipo hivyo wewe hufai kuwa mfanyabiashara maana biashara haikubembelezi ukibweteka utaaKwanza, atoe punguzo la 200 p/kg wakati faida p/kg ni 180. Unataka apate lose?
Pili, kwa miaka yangu 31 sijawahi kuona mfanyabiashara akija kugonga kwetu na baadae kwangu akiomyesha sample ya mchele ili tukanunua dukani kwake.
Hizi biashara za mitandaoni kuna watu mnafanya zionekane ni ujinga.
Apunguze shilingi 200 kwa kilo?Sio lazima kwa simu.
Kwenye mtaa unakoishi hakuna wamama wanauza migahawa?anza nao hao kuwashawishi kwa bei na ubora wa bidhaa yako yaani kwa mfano ukimpa punguzo la shilingi 200 tu kwa kila kilo moja maana yake anajua akinunua kilo 10 kwako ataokoa shilingi elfu 2 lazima aje kununua kwako.
Haya majirani zako unakoishi hawapiki mchele?watembelee mmoja mmoja na kuwaonyesha sampo ya mchele wako ukiwatangazia watu 10 kuna uwezekano mkubwa wa kuwanasa angalau watatu na wengine watakupa ahadi za siku zijazo.
Biashara ni kujiongeza ndugu ukisubiria ufundishwe kila kitu utachelewa sana kufanikiwa
Mchele ambao bei ya sokoni ni 1800 na wewe ukauuza 1600 maana yake unafanya charity na wala hufanyi biashara. Its either wewe ni NGO au ni idara ya serikali una ruzuku na una msamaha wa kodi na tozo na unatoa huduma sio kupata faida. Tofauti na hapo hii kitu sio realistic kwenye industy ya mchele.Ngoja nikufundishe polepole utaelewa inavyoonekana wewe una uwezo mdogo wa kujiongeza unaishi kwa kukariri,ukishaona kichwa chako kipo hivyo wewe hufai kuwa mfanyabiashara maana biashara haikubembelezi ukibweteka utaa
mbulia sifuri na wenzako wanauza kama kawaida.
Haya chukulia mama ntilie alikuwa ananunua mchele kwa mangi kwa bei ya 1800 kwa kilo moja wewe unaenda kumwambia nitakuuzia kwa 1600 hii nayo hadi upelekwe shule kujiongeza?
Hapo mwanzon nilikuwa siwajui wateja wang ila kwa sas nimejua wateja wang ni watu wa halii ya chini kwaiyo wanapenda mchele kitonga lakini pia uwe mzuriii ko nazanii asaiv nitaenda moja kwa moja mashineni na kuwachukulia mchele wanaohitajii
Mkuu mtoa mada kuna mahali amekiri mwenyewe kuwa wateja wake wanapenda bei za kitonga hana namna ni lazima aangalie jinsi ya kupunguza bei hata kama sio 200 niliyoitaja hapo kama mfano.Apunguze shilingi 200 kwa kilo?
Sasa mzee narudia kuwaambia kile ambacho huwa nasema humu JF. Ukiona muuza mchele anapata faida 200 kwa kilo ujue huyo ni gangwe kwenye field. Kama zingekuwa ndege hapo tunawataja Boeing na Airbus.
Hiyo ya majirani kununua mchele ni ngumu na hata wakinunua si ni kilo mojamoja sasa hiyo iendeshe duka. Ila kuhusu mamantilie hao almost kila muuza mchele mwenye akili timamu huwatafuta. Ila kwa taarifa tu hakuna watu wababaishaji na wapuuzi kama mamantilie. Yaani mnadai mafundi wa kibongo wababaishaji? Wajaribu mamantilie wa mtaani uone. Unaenda kudai hela yako anakuonyesha sufuria la wali ambavyo haujaisha anadai atauza kiporo kwa hasara.
Nimekumbuka jinsi nilivyotumia jumuiya na waumini kuuza mchele wangu. Mama yangu ni mtu wa kanisa alinitafutia wateja uko nikawakopesha, pia jumuiya yetu huwa siwakwepi hivyo walinunua sana.
Nilikuwa na kama tani moja ya kutest mitambo hapo soko la Tandika wamenipa bei ndogo sawa na niliyonunulia.
Hizo boiashara ulizosema hazina ushindani, unajijengea hisia zisizo kuwepo.Mimi ni mfanyabiashara wa nafaka hapa jijini Dar es Salaam. Sio mgeni katika kufanya biashara ila naweza sema ni mgeni katika kufanya biashara ya kwangu. Kwa sababu hapo awalii nilikuwa nafanya biashara za watu tuu.
Na sikujua kama biashara zina changamoto hivi hasa ukiwa wewe ndio mwenye biashara.
Mpaka sasa huu ni mwezi wa tatu nipo katika biashara yangu mpya ya nafaka nauza mchele na maharage nimepitia changamoto nyingi sana haswa matapelii, dalali kukutumia mzigo mbaya ambao unachukua kwa bei ya juu halafu ukifika sokoni lazima ukakate hela unauza bei ya chini kurudisha hela mda mwingine unaokoa tu hela. Changamoto ni nyingi kwakwelii ila sijakata tamaa napambana.
Sasa kuna hili swala.. ninapouza kuna jirani yangu naye anauza biashara kama yangu nimemkuta na inaonesha ana muda mrefu sana katika biashara, ana wateja wa kutosha na ana mtajii wa kutosha kiufupi kanizidii pakubwa sana.
Changamoto ipo kwenye wateja hivi wenzangu huwa mnahisi vipi mwenzako mmefungua duka sawa mna biashara zinazofanana ila chakushangaza mwenzako anauza gunia kumi asubuhi wewe ndo kwanza hata kilo moja hujauza ππ mikokoteni inapaki kila muda plus mapikipiki muda wote hayakaukii yananunua mizigo pale wewe bado ngoma ngumuu.
Hivi wafanyabiashara wenzangu mliwezaje kudeal na mpinzani wako ambaye kakuzidiii kila kitu na ukizingatia wewe ndio kwanza unaanza ila miezi ndio hivyo mwezi watatu? Msaada wenu tafadhali
Nyongeza: Biashara ya mchele ni pasua kichwa sana walioweza sijui wanafanya vipi aiseee toka nimeanzaa faida siioni.
Nawatamani sana wateja wa jumla ila wanataka mchele mzuri halafu kwa bei mteremko bila kujua mimi nakochukua nachukua bei kubwa.
Swali lingine kwa wafanyabiashra wana mchele faida inabidi iwe sh ngapi kwa gunia kwa kawaida huenda mimi naweka faida kubwa halafu sijui.
Jaribu kuweka dogo au mke dukani wewe mwenyewe nenda shambani kwa wakulima wenyewe. Usichukuwe kwa dalali wengi wao wapo kimaslahi tu sio kibiasharaNawatamani sana wateja wa jumla ila wanataka mchele mzuri halafu kwa bei mteremko bila kujua mimi nakochukua nachukua bei kubwa
Hama eneoMimi ni mfanyabiashara wa nafaka hapa jijini Dar es Salaam. Sio mgeni katika kufanya biashara ila naweza sema ni mgeni katika kufanya biashara ya kwangu. Kwa sababu hapo awalii nilikuwa nafanya biashara za watu tuu.
Na sikujua kama biashara zina changamoto hivi hasa ukiwa wewe ndio mwenye biashara.
Mpaka sasa huu ni mwezi wa tatu nipo katika biashara yangu mpya ya nafaka nauza mchele na maharage nimepitia changamoto nyingi sana haswa matapelii, dalali kukutumia mzigo mbaya ambao unachukua kwa bei ya juu halafu ukifika sokoni lazima ukakate hela unauza bei ya chini kurudisha hela mda mwingine unaokoa tu hela. Changamoto ni nyingi kwakwelii ila sijakata tamaa napambana.
Sasa kuna hili swala.. ninapouza kuna jirani yangu naye anauza biashara kama yangu nimemkuta na inaonesha ana muda mrefu sana katika biashara, ana wateja wa kutosha na ana mtajii wa kutosha kiufupi kanizidii pakubwa sana.
Changamoto ipo kwenye wateja hivi wenzangu huwa mnahisi vipi mwenzako mmefungua duka sawa mna biashara zinazofanana ila chakushangaza mwenzako anauza gunia kumi asubuhi wewe ndo kwanza hata kilo moja hujauza ππ mikokoteni inapaki kila muda plus mapikipiki muda wote hayakaukii yananunua mizigo pale wewe bado ngoma ngumuu.
Hivi wafanyabiashara wenzangu mliwezaje kudeal na mpinzani wako ambaye kakuzidiii kila kitu na ukizingatia wewe ndio kwanza unaanza ila miezi ndio hivyo mwezi watatu? Msaada wenu tafadhali
Nyongeza: Biashara ya mchele ni pasua kichwa sana walioweza sijui wanafanya vipi aiseee toka nimeanzaa faida siioni.
Nawatamani sana wateja wa jumla ila wanataka mchele mzuri halafu kwa bei mteremko bila kujua mimi nakochukua nachukua bei kubwa.
Swali lingine kwa wafanyabiashra wana mchele faida inabidi iwe sh ngapi kwa gunia kwa kawaida huenda mimi naweka faida kubwa halafu sijui.
Huu mstari wa mwisho ndo umebeba mafanikio YA Biashara huwez fanikiwa Biashara kama spiritually una mikosi Na nuksi laanaNishafanya biashara za aina hio mkuu mwaka 2011 moja ya sababu kubwa ya kuuza sana sio kwamba anawateja wengi , mara nyingi unakuwa na wateja wako ambao wananunua kwako kila siku yaani hawa hata usipate mteja wao watakuja kununua tu... kwa mfano wakati huu wateja wetu wakubwa walikuwa nje ya eneo duka lilipo na biashara zao zilikuwa migahawa maana yake mchele wanahitaji mwingi.
Hivyo kabla ya kusubiria mteja kuja kununua kwako wafuate na ongea nao uwashawishi , tengeneza namna ambayo wataona ni faida kuchukua mchele kwako kuliko kwa wengine , huu tunaita urafiki wa kibiashara.
Mimi nilikuwa nakaa dukani enzi hizo , ila Bi mkubwa yeye anatembekea waumini wenzake kanisani na watu anao wajua ambao wanabiashara anawapa pitch nzuri ndio wanakuja kununua mzigo mkubwa(Hapa kuna namna nzuri ya kuwavutia mfano unawapa mchele na wanalipa baada ya mauzo n.k)
Biashara za Nafaka hasa hizi za jumla hazitaki ukae dukani na usubirie mteja akutafute , mteja mkubwa unamtafuta wewe , kaa dukani subiria wateja wa reja reja tu akija mkubwa ni bahati yako .
Mambo mengine ni ya kiimani plus mazindiko sitaki kuyazungumzia
Bi mkubwa alikuwa anamwaga sana maji yaliombewa na kunipaka mafuta kabla sijaenda kufungua duka[emoji23][emoji23]
Plus unyenyekevuninachojua mimi ni swala la mdaa tubkwa sasa kubari kuwa mgeni hutapata tu wateja wako ambao watakuamini ni mdaa tu na usisahau bonas na uchangamfu kwa kila mteja anae kuja
Pokea maua yako brooo hiko kitu ndicho nachopitia mimi asaivii naenda shamba hukohuko ila bei kule sawa na mjini tuMkuu mtoa mada kuna mahali amekiri mwenyewe kuwa wateja wake wanapenda bei za kitonga hana namna ni lazima aangalie jinsi ya kupunguza bei hata kama sio 200 niliyoitaja hapo kama mfano.
Halafu mkuu kwenye biashara nyingi za kitanzania bei ndio kigezo namba moja na hapo ndipo uchawi wa biashara ulipo.
Labda nikuulize swali moja wewe hujawahi kuona au kusikia mtu kaenda china kufuata mzigo kaumwaga kariakoo halafu baadae anagundua kuwa bei wanayouza wapinzani wake ni sawasawa na bei aliyouziwa china?Sasa jiulize wamenunua wapi bidhaa,
Sasa kwenye biashara yoyote ukiweza kufanya haya maajabu kwenye bei basi jua wewe tayari umeshatoboa na utajiri unapiga hodi
Hapo ndipo ufundi na uchawi wa biashara ulipolala na hawawezi kukupa hiyo siri hadi siku umpate mtu wako wa karibu sana kisha akuonee huruma ndio atakupa hiyo siriππππππPokea maua yako brooo hiko kitu ndicho nachopitia mimi asaivii naenda shamba hukohuko ila bei kule sawa na mjini tu
Dah nahangaika sana mwezi wa tatu huu nimeagiza trip 4 na zote nimekula loss nauza kwa bei ambayo soko linahitajii ukisema uweke faida yako huuzi hupatiii wateja mpka inafikia stage nataka kukata tamaaa aisee. tena muda mwingine unaenda shamba unarud na mchele uuze labda 1500 afu unakuta wafanyabiashra wengine mchele unaotaka kuuza 1500 wao wanauza 1300 mpka unajiuliza hawa watu wanachukua wapiii mzgo naumiza kichwa mamamke hadiii nahisii kuumwaHapo ndipo ufundi na uchawi wa biashara ulipolala na hawawezi kukupa hiyo siri hadi siku umpate mtu wako wa karibu sana kisha akuonee huruma ndio atakupa hiyo siriππππππ