Hivi wafanyakazi wa Clouds radio/tv hamna sehemu nyingine ya kujipiga picha?

Hivi wafanyakazi wa Clouds radio/tv hamna sehemu nyingine ya kujipiga picha?

swahili is too cheap and very easy to use its abusive words when engaging with a person who's above your level.
even a local girl at manzese can do that.

but not english because it's a classy language for special people.

that being said, i'm requesting you mr kilaza aka mpenda kitonga to attack me in queen's language. leggo girl. [emoji23] [emoji23]
Wowowow Give each other respect pls....In JF Queen's language is Kiswahili,...We are not proud of colonial language in in here,...We have travel so far,climbing so many mountains to reach to the destination,please don't take u back to the colonial errors,..we are proud for what we are..

My advice is:Emancipate your self from mental slavery non but your self can free your mind,..

Stay black mate..<3
 
Kuna harufu ya chuki kwa Clouds kutoka kwa huyu shabiki lialia wa WASAFI. Acheni hizo mazee, both WASAFI na Clouds watapeleka mziki huu wa bongo fleva next level, tuendelee kuwasapoti
 
Nipo katika likizo ya kiajira, hivo basi nimeona nitumie likizo yangu kuchangamsha ubongo kwa hoja nyepesi nyepesi.

Nipo hapa maskani kwangu nikitazama wasafi tv wakati huo huo nikitembelea kurasa mbalimbali za macebrity wa kibongo huku nikiji update kuhusu story mbalimbali zinazo trend town.

Nikiwa katika mitandao ya kijamii, nakutana na baadhi ya picha za watangazaji mbalimbali wa clouds radio/tv.

Baada ya kuunganisha dot, nagundua picha zao japo zimepigwa nyakati tofauti tofauti,zote zimepigwa katika eneo moja katika jengo lao.

Nimejiuliza, ina maana jengo la clouds ni dogo sana au lina uhaba wa eneo kubwa kiasi kwamba watangazi hao wapige picha eneo hilo hilo kila siku?

Watangazi wa clouds, nauliza , hapo nyuma kwenye huo mnara panawavutia nini karibuni tujadili hoja ya kikuda hoja nyepesi.

hizi ni baadhi tu ya picha. View attachment 736025View attachment 736026View attachment 736027View attachment 736028View attachment 736030View attachment 736032
 
studio za redio hazihitaji jengo kubwa...so wanakula kwa urefu wa kamba yao
 
Sema kuna mavazi mengine asee sio sawa kwa mwanaune huyo Jamaa alovaa kipensi hivi anajihisi poa kabisa!!mwanaumenkuachia mapaja namba hiyo lazima ukikutana na mtu anaejua kutupa ndoano vizuri hata kama sio Tabia zako unaweza kugawa jicho.
Ukionaa mwanaume anagawaaa hilo jicho ujue kapenda na nitabiaaa yake wanaume kibao siku hizi wanvyaa shots ni fashion zina trnd .....sasa ikionaa anayefanya huo uchafu jua ni tabiaa yake
 
Sema kuna mavazi mengine asee sio sawa kwa mwanaune huyo Jamaa alovaa kipensi hivi anajihisi poa kabisa!!mwanaumenkuachia mapaja namba hiyo lazima ukikutana na mtu anaejua kutupa ndoano vizuri hata kama sio Tabia zako unaweza kugawa jicho.
lakulia au lakushoto
 
Nipo katika likizo ya kiajira, hivo basi nimeona nitumie likizo yangu kuchangamsha ubongo kwa hoja nyepesi nyepesi.

Nipo hapa maskani kwangu nikitazama wasafi tv wakati huo huo nikitembelea kurasa mbalimbali za macebrity wa kibongo huku nikiji update kuhusu story mbalimbali zinazo trend town.

Nikiwa katika mitandao ya kijamii, nakutana na baadhi ya picha za watangazaji mbalimbali wa clouds radio/tv.

Baada ya kuunganisha dot, nagundua picha zao japo zimepigwa nyakati tofauti tofauti,zote zimepigwa katika eneo moja katika jengo lao.

Nimejiuliza, ina maana jengo la clouds ni dogo sana au lina uhaba wa eneo kubwa kiasi kwamba watangazi hao wapige picha eneo hilo hilo kila siku?

Watangazi wa clouds, nauliza , hapo nyuma kwenye huo mnara panawavutia nini karibuni tujadili hoja ya kikuda hoja nyepesi.

hizi ni baadhi tu ya picha. View attachment 736025View attachment 736026View attachment 736027View attachment 736028View attachment 736030View attachment 736032
Sasa umewaficha sura tutajuaje kama hao ni wafanyakazi kweli wa Clouds?
 
Kaaaazi kwelikweli


Hivi yule mista sikuizi hapatikani kabisa humu mana dah imebidi nimkumbuke
 
29415467_160163841285866_5570204396840550400_n.jpg
 
Back
Top Bottom